Wana JF waondoka Tanga (Safiri salama)

Wana JF waondoka Tanga (Safiri salama)

Waaoh!
Mkubwa sana Mwanyasi.
Mimi nilipokuwa natazama avatar yako nilikuwa nahisi mkuu huongeagi na watu!
Bt kila kitu kimekuja kuprove very wrong baada ya kuonana.

Mkuu unastahili kila sifa ya kugombea Ukatibu wa kundi la Tanga-Wing, japokuwa KOKUTONA ameahidi kuwa yuko tayari kuyanywa maji ya kule Pangani ili asafishe nyota na kuitwaa nafasi hiyo ya ukatibu...lol!
Mkuu pokea sifa kemkem, na ili kukuonyesha shukran wana -ArushaWing wameamua kwa kauli moja kukupa ofa ya One Night Stand na sweetlady pale Seaside Community Centre, kwa Sister MariaSalome!
Bili zote ziwe directed kwa account yetu iliyopo Meridian Biao Bank.

Haha haaa ofa kabambe hii Mwanyasi usiiachie kabisa. Lakini saasaaa Smile itakuwaje?

All in all PakaJimmy pamoja na kusafisha nyota yangu bahari ya hindi kule Pangani na kuomba mizimu pale amboni bado naanimi MWAYAsi anafaa sana kwa nafasi hiyo, hata ahsubuh hii tumeongea tuna mpango wa kujipanga na kujidhatiti.
 
Last edited by a moderator:
haya basi babu Dark City napenda kuchukua muda huu kumshukuru Mungu kwaajili ya ukuu wake ambao haukupunguka na wala hakutuacha yatima.

tusali
Mungu baba mwenyezi wewe uketiye juu sana mahali palipo inuka. Tunakushukuru sana kwani ulikuwa upande wetu katika safari ya Tanga na hakika hakuna kilicho kuwa juu yetu. si ajali, wala uharibifU, wala mauti vilivyowasogelea wenzetu waliosafiri na hata waliporudi majumban kwako.Hakika leo tunakushukuru sana kwa wema wako huu na kwamba wewe hukuwa na sikio zito ili kutusikia wala mkono wako haukuwa mzito ili kutuokoa.

kipekee kabisa tunaomba upendo uliopo katikati yetu uudumu daima na kristo Yesu akae katikati yetu na pendo lake. sifa na utukufu tunakurudishia wewe bwana,

AMEN.

Aaaamen!
 
Last edited by a moderator:
Haha haaa ofa kabambe hii Mwanyasi usiiachie kabisa. Lakini saasaaa Smile itakuwaje?

All in all PakaJimmy pamoja na kusafisha nyota yangu bahari ya hindi kule Pangani na kuomba mizimu pale amboni bado naanimi MWAYAsi anafaa sana kwa nafasi hiyo, hata ahsubuh hii tumeongea tuna mpango wa kujipanga na kujidhatiti.

Tanga kunani pale!!
 
Last edited by a moderator:
waguna nini nawe??? au nitheme kule beach Pangani maana nilikuona

Eeeee.........!!!!!!!!!! Shem watu8
Unaanza eeee, Yule alikuwa mchezaji mpira wa Volley Ball, aliniona nimejiinamia ndo mana akaja pale ili kunipa kampani.
Manake naona ushaanza nongwa.........khaaaaaaaa...........!!!!!!!!!!!!
Ila yote 9 Kumi ni Ile Mbuzi ya Pale NYINDA.
Babu DC, Dark City uko Juu......... kama yule chui alielala mule juu pangoni.
Ila Acheni Mungu aitwe Mungu jamani, yaani ni kama Chui halisi...........
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha PakaJimmy bana, usione ukadhani.....!
Avatar isikutishe, mie napenda dana movies, huyu jamaa yupo smart sana, kama alivyo Preta (avatar - kucheza)
Ukatibu......... time will tell, KOKUTONA hakuwa na haja ya kunywa yale maji kwa ajili hiyo maana anafaa kabisa.
Mie labuda kutunza mabo ya fwedha.
Huyu sweetlady tena nina hamu nae sana, mimi simuogopi Mungi kama nitonye.
Mwanyasi umemaliza kila kitu, nikiongeza nitaharibu. Ushirikiano ndo muhimu uongozi ni kuonyesha njia tuuuu..

Ila hili la mwisho, ni jana tu umepewa Smile chit chat leo wamtaka sweetlady? Hala hala usije ukawa km small house wetu Arushaone.
 
Last edited by a moderator:
Eeeee.........!!!!!!!!!! Shem watu8
Unaanza eeee, Yule alikuwa mchezaji mpira wa Volley Ball, aliniona nimejiinamia ndo mana akaja pale ili kunipa kampani.
Manake naona ushaanza nongwa.........khaaaaaaaa...........!!!!!!!!!!!!
Ila yote 9 Kumi ni Ile Mbuzi ya Pale NYINDA.
Babu DC, Dark City uko Juu......... kama yule chui alielala mule juu pangoni.
Ila Acheni Mungu aitwe Mungu jamani, yaani ni kama Chui halisi...........

Poa sana kabinti ketu!

Ni faraja kuona unafunguka!

Bado tunasubiri tathmini zaidi...lol!
 
Last edited by a moderator:
Pole mkuu Mwanyasi kama umepigwa chenga....

Makamba sen. aliwahi kumweleza Mkapa kuwa,.. kule kwao usambaani wana msemo kwamba, ..ukifuga mbwa basi wewe mwenyewe hutakiwi kubweka kwa kuwa mbwa wako wanabweka.. Ila mbwa wakishindwa kubweka, basi wewe mwenye mbwa ndo unajitosa kubweka.

Sasa mie mmenitoa kimasomaso kiasi kwamba sikuwa na haja yoyote ya kubweka.....

Mmefanya kazi nzuri sana na Mungu awabariki,

Cc.. KOKUTONA, Arabela.....na wa wadau wengine wote!!

Kwa pamoja tumeweza babu Dark City
 
Last edited by a moderator:
Kitu cha NYINDA mbuzi mlaini kama biskuti iliyolowekwa!

Dah.......... ila yule Boss wa NYINDA atatukumbuka sana,
Hivi ni Group gani wanaloweza kutufikia kwa Kula na Kunywa mpaka wakafikisha Laki 4 kwa muda wa Masaa tuseme 2 au 3 zaidi yetuuuuuu...............
Aisee sisi ni Kibokoooooo............... Hakunaga...............!!!!!!!!!!! TA Nzima.
HAPANA CHEZEA WATU NA PESA ZAO, WATU NA MALENGO YAO, WATU NA MATUMIZI YAO.
 
Haha haaa ofa kabambe hii Mwanyasi usiiachie kabisa. Lakini saasaaa Smile itakuwaje?

All in all PakaJimmy pamoja na kusafisha nyota yangu bahari ya hindi kule Pangani na kuomba mizimu pale amboni bado naanimi MWAYAsi anafaa sana kwa nafasi hiyo, hata ahsubuh hii tumeongea tuna mpango wa kujipanga na kujidhatiti.
KOKUTONA usiachie hiyo nafasi kirahisirahisi bana! .. Mwanyasi si atakuwa mshika fuko la hela kama ilivyo kwa Preta anavyofanya Arusha-Wing?
Mimi niko tayari kugharamia gharama zote za kampeni, na kama kuna haja ya kutoa TAKRIMA nijulishe ili ni-draw fedha pale Uswis!

Nafasi ya Mwenyekiti Dark City isiongelewe kabisa Tafadhalini...Mwenye ndoto za kugombea uenyekiti ndoto zake hizo zitageuka jinamizi, na mizimu ya Amboni inaweza kumzuru kwa hasira!,,,lol!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
KOKUTONA usiachie hiyo nafasi kirahisirahisi bana! .. Mwanyasi si atakuwa mshika fuko la hela kama ilivyo kwa Preta anavyofanya Arusha-Wing?
Mimi niko tayari kugharamia gharama zote za kampeni, na kama kuna haja ya kutoa TAKRIMA nijulishe ili ni-draw fedha pale Uswis!

Nafasi ya Mwenyekiti Dark City isiongelewe kabisa Tafadhalini...Mwenye ndoto za kugombea uenyekiti ndoto zake hizo zitageuka jinamizi, na mizimu ya Amboni inaweza kumzuru kwa hasira!,,,lol!


Fuatilia vizuri mkuu kwenye mabandiko ya awali,

Safu imeshapangwa vizuri tu. ..... Uongozi umeshikwa na kizazi cha baada ya uhuru.

Sie kazi yetu ni kuwapa maushauri na mikakati!
 
Last edited by a moderator:
KOKUTONA usiachie hiyo nafasi kirahisirahisi bana! .. Mwanyasi si atakuwa mshika fuko la hela kama ilivyo kwa Preta anavyofanya Arusha-Wing?
Mimi niko tayari kugharamia gharama zote za kampeni, na kama kuna haja ya kutoa TAKRIMA nijulishe ili ni-draw fedha pale Uswis!

Nafasi ya Mwenyekiti Dark City isiongelewe kabisa Tafadhalini...Mwenye ndoto za kugombea uenyekiti ndoto zake hizo zitageuka jinamizi, na mizimu ya Amboni inaweza kumzuru kwa hasira!,,,lol!

Ha ha haaa PakaJimmy ahsante kwa kunikubali na kuniaminia loool.

Wakati ukifika nikitangaza nia nitakubrief. Hela za kampeni tamu i see, siko tayari kuziachia.

Ila hiyo dua ya majinamizi mmmhhhhh.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom