atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Kwahiyo kutumia tekno inakudifine kuwa ww ni maskini?[emoji848][emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu alipo anatumia Samsung ya laki mbili anajioa tajiri mpuuzi sana jamaaUkumbuke pia kuna watu wanatumia Samsung, Iphone n.k lakini hawana lolote la maana.
Na usishangae kukuta mtu anatumia samsung au iphone lakini anabangaiza ameajiriwa kwa mtu anayetumia Tecno!.
Simu pekee haitoshi kumaanisha kuwa mtu huyu ni tajiri au masikini.
Pyaar aki uko mfunny.Cha muhimu mawasiliano, maisha ni kuchagua aidha kuwekeza kwenye vitu vya maana ama kuwekeza kwenye vitu visivyo maana. Tajiri ni yule anayewekeza kwenye vitu vinavyoongezeka thamani kila baada ya muda fulani.
Haya sijui maiphone,masamsung, matecno ni makopo tu.
Hahahaha!! Karibu mkuuPyaar aki uko mfunny.
Tuwe mabest humu.
Una kiranga wewe, utajiri na aina ya simu unayotumia vinahusiana nini
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikifika level ya tekino nitafurahi sana bado nipo kwenye bonatel
Sent using Jamii Forums mobile app
Relax man..muda mwingine tunahitaji nyuzi Kama hizi.unashangaa mods wanaweza vipi kuacha mada hii mpaka sasa, mtoa mada ameonyesha dhahiri uwezo wake wa kufikiri ni mdogo sana
futeni nyuzi kama hizi
Ukiachana na ukwasi ulionao ---Kuna sifa yako nyingine pia umesahau kuitaja ..Mimi natumia Tecno ila ni tajiri hata Kiduku Lilo hasogei karibu yangu.
Hahaha
Sent from iPhone x11
Naweza angukia rafik hapa type yangu ety.
Warmly welcome Mr.SuriyaI'll look at you Pyaar
Mimi niki P sawa.