Wana-Kagera, bila kubadilika na kukubali kuwa Kagera ni ya Watanzania wote, mtabaki kama mlivyo

Wana-Kagera, bila kubadilika na kukubali kuwa Kagera ni ya Watanzania wote, mtabaki kama mlivyo

sambulugu

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2021
Posts
4,485
Reaction score
8,562
Nasema hivyo kwa sababu makao makuu ya mkoa na wilaya zake yanasikitisha!

Kila mradi wa serkali bukoba lazima uwe na ubishani na ujuaji unaosababisha kuchelewesha mradi! mfano ujenzi wa stendi mpya hadi sasa bado haujaanza ukiulizia sababu za msingi hamna!

Ukabila na ubaguzi kwa wageni! Halimashauri za kagera zimekubuhu sana kwenye suara ya ubaguzi hususani kwa wageni na watu wasio na asili ya mkoa hui kitu kinachowafanya watu na watumishi wasio na asili ya kagera kutokiwekeza mkoano humo.

Kutoa mawazo ya kuwa mkoa wa Kagera ni wa kwenu tu na akionekana mtanzania kuwekeza au kuja kwenu na kupata mafanikio inakuwa nongwa! Kwa kifupi hamataki kabisa kuona au kusikia mtu wa kuja anapata mafaniko.

Kuendekeza migogoro kwa watu wasio na asili ya mkoa wenu mfano mtu akinunua ardhi kagera ajiandae na kesi zisizo na tika ili kumzirumu archi yake na kitu hiki kinawafanya watu wengi wasiwekeze kwenu.

Mkoa wa Kagera picha ya kuwa na wasomi kede kede lakini mpaka miaka ya hivi karibuni haukuwa na chup cha VETA na mpaka sasa halmashauri za kagera hasan bukoba hakuna SOKO wala stendi nzuri za Daladala na pia stendi kuu imejaa mashimo na matope! Mnazidiwa na mikoa mipya kama Simiyu Njombe n.k

Naomba mtumishe fursa ya ziara ya mheshimiwa Raise Samia Suluhu Hasani kuwa na ajenda ya pamoja ili kuleta msisimuko wa uchumi kwa mkoa wenu na kukamirisha miradi ya kimkakati kama walivyofanikiwa wenzenu! Mfano Singida Mwanza, Morogoro nk!
 
Muwaambie na wachaga, wazee wa moshi mji wa matambiko. Nao haukui Tehteh teheeee 😁😛🤣.
Tangu nasoma uko vile vile. Juzi juzi didemba nimepita bado tu uko vile vile.
 
Japo kuna ukweli kwenye andiko lako, ila baadhi ya matatizo uliyotaja na mikoa mingine yapo ila sijui mkoa wa Kagera uliwakosea nini watanzania na serikali kwa ujumla!! Mmezidi mno kuuandama!
 
Muwaambie na wachaga, wazee wa moshi mji wa matambiko. Nao haukui Tehteh teheeee 😁😛🤣.
Tangu nasoma uko vile vile. Juzi juzi didemba nimepita bado tu uko vile vile.
chasaka mna shida sana. Mchaga atabaki kuwa mchaga.

Ktk uumbaji Mungu alimuumba mchaga km binadamu daraja la kwanza.
 
Wahaya wapuuzi sana wakiwa kwao wakikuona unamiliki ardhi kubwa watakuzushia tuhuma za ajabu sana kama vile kusema unamiliki Eyembe wanakufyekea migomba ili ukimbilie huko kyerwa,wilaya mpya ya Kyerwa imejengwa na watu waliofukuzwa kwa uzushi na hawa wasomi wa mchongo wanaolima wakiwa wamechuchumaa
 
Wakora Mmesikia hiyo haswa Wanyambo....kuna mradi nilikwenda kùuratibu Karagwe nilipata changamoto sana ikabidi nitumime ile NYENZO yetu ya Ujirani mwema .
 
Nilifika Bukoba nikapapenda mno, haswa mandhari yake na utulivu.

Hapo mjini asilimia kubwa wanaishi wenyeji na lugha kuu pale ni kihaya, ila hilo halikunisumbua sana.
Nilijiwekea mkakati wa kurudi hapo na kuweka makazi kabisa....asante mdau kwa kunifumbua macho, inabidi nitafakari upya.
 
Mhaya unaweza uchukue mali yake yoyote lakini sio ardhi yake. Ardhi ya Uhayani Mungu aliipendelea sana,mazao aliyopanda babu mpaka wajukuu wanavuna utaipata wapi ardhi hiyo? Ukitaka kumchokoza Mhaya gusa ardhi yake.
 
chasaka mna shida sana. Mchaga atabaki kuwa mchaga.

Ktk uumbaji Mungu alimuumba mchaga km binadamu daraja la kwanza.
Mungu habagui hata siku moja hilo grade mmejipa wenyewe .Mungu hatoi madaraja kwa wanadamu bali Mungu alimwumba binadamu kwa mfano wake.iweje Mungu amwumbe binadamu kwa mfano wake halafu aje ajibague mwenyewe.hii ni akili mbovu ambayo haiwezi kupimwa na vipimo vyovyote hapa duniani.ni upumbavu ambao JPM aliukemea kwa nguvu zote.mtu mwenye akili finyu na duni ndo anayewaza hayo uwazayo lkn mwenye akili timamu hawazi kuwa Mungu huweka madaraja kwa binadamu.Mungu hapendelei,habagui bali hutoa hukumu sawa kwa kila kiumbe.
 
chasaka mna shida sana. Mchaga atabaki kuwa mchaga.

Ktk uumbaji Mungu alimuumba mchaga km binadamu daraja la kwanza.
Huo ni ujinga wa mawazo hakuna mahali popote katika Biblia Takatifu alipotajwa Mchaga,kwa hiyo hilo daraja la kwanza limetokea wapi,acheni ubaguzi na dharau zisizo na tija.
 
Mji Moshi ni tofauti sana na Mji bukoba- tuanzie tu idadi ya Vyuo na Mashule hata ISM na tawi wana Arusha -mji wa Moshi ni daraja la juu viwanda- (soda bonite, bia Serengeti nk), stend mpya nzuri - huu ni mji wa kitalii na una mahoteli mazuri na ni mji msafi. Mahospitali KCMC ndo rufaa kwa kanda yoye ya kaskazini, kuna matawi ya mabenki mengi yaliyopo Tanzania. Ukiniuliza leo nitatalii au kupumzika kati Moshi au Bkb Watz wengi wangechagua Moshi maana KIA fasta umefika Moshi. Achilia mbali vijijini ambako kumejegwa balaa! Kwa Human Devlment Indcex na utajiri Kilimanjaro ni wa pili baada ya Dar na ndo mkoa una shule nying na nzuri kwa kwa Tanzania kuliko mikoa yuote!

Achani hayo- Wahaya jengeni mji wa Bkb acheni ubishi na maneno mengi!
 
Mungu habagui hata siku moja hilo grade mmejipa wenyewe .Mungu hatoi madaraja kwa wanadamu bali Mungu alimwumba binadamu kwa mfano wake.iweje Mungu amwumbe binadamu kwa mfano wake halafu aje ajibague mwenyewe.hii ni akili mbovu ambayo haiwezi kupimwa na vipimo vyovyote hapa duniani.ni upumbavu ambao JPM aliukemea kwa nguvu zote.mtu mwenye akili finyu na duni ndo anayewaza hayo uwazayo lkn mwenye akili timamu hawazi kuwa Mungu huweka madaraja kwa binadamu.Mungu hapendelei,habagui bali hutoa hukumu sawa kwa kila kiumbe.
Aliupinga kwa kuleta ukabila kupitia kwa kuwachafua wasukuma (SUKUMA GANG) sio?
 
Back
Top Bottom