Wana-Kagera, bila kubadilika na kukubali kuwa Kagera ni ya Watanzania wote, mtabaki kama mlivyo

Wana-Kagera, bila kubadilika na kukubali kuwa Kagera ni ya Watanzania wote, mtabaki kama mlivyo

Hakika mashemeji zangu wajirekekishe...bukoba imedumaa sana.
 
Wahaya wapuuzi sana wakiwa kwao wakikuona unamiliki ardhi kubwa watakuzushia tuhuma za ajabu sana kama vile kusema unamiliki Eyembe wanakufyekea migomba ili ukimbilie huko kyerwa,wilaya mpya ya Kyerwa imejengwa na watu waliofukuzwa kwa uzushi na hawa wasomi wa mchongo wanaolima wakiwa wamechuchumaa
Ushawahi kwenda kununua ardhi moshi wewe?? Ukute wewe ni mchagga na kwenu ni zaidi ya Kagera
 
Kweli pameendelea kunywa mbege [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaa Wachaga bwana eti Moshi kuna maendeleo! Hapi hayo hata wilaya ya kahama tu inawapiga gepu kubwa sana! Endeleeni kukaririshana ujinga!
 
Yaa Wachaga bwana eti Moshi kuna maendeleo! Hapi hayo hata wilaya ya kahama tu inawapiga gepu kubwa sana! Endeleeni kukaririshana ujinga!
Nafikiri tatizo kubwa ni miundombinu ambayo mingi ni ya zamani inahitaji maboresho
 
Nasema hivyo kwa sababu makao makuu ya mkoa na wilaya zake yanasikitisha!

Kila mradi wa serkali bukoba lazima uwe na ubishani na ujuaji unaosababisha kuchelewesha mradi! mfano ujenzi wa stendi mpya hadi sasa bado haujaanza ukiulizia sababu za msingi hamna!

Ukabila na ubaguzi kwa wageni! Halimashauri za kagera zimekubuhu sana kwenye suara ya ubaguzi hususani kwa wageni na watu wasio na asili ya mkoa hui kitu kinachowafanya watu na watumishi wasio na asili ya kagera kutokiwekeza mkoano humo.

Kutoa mawazo ya kuwa mkoa wa Kagera ni wa kwenu tu na akionekana mtanzania kuwekeza au kuja kwenu na kupata mafanikio inakuwa nongwa! Kwa kifupi hamataki kabisa kuona au kusikia mtu wa kuja anapata mafaniko.

Kuendekeza migogoro kwa watu wasio na asili ya mkoa wenu mfano mtu akinunua ardhi kagera ajiandae na kesi zisizo na tika ili kumzirumu archi yake na kitu hiki kinawafanya watu wengi wasiwekeze kwenu.

Mkoa wa Kagera picha ya kuwa na wasomi kede kede lakini mpaka miaka ya hivi karibuni haukuwa na chup cha VETA na mpaka sasa halmashauri za kagera hasan bukoba hakuna SOKO wala stendi nzuri za Daladala na pia stendi kuu imejaa mashimo na matope! Mnazidiwa na mikoa mipya kama Simiyu Njombe n.k

Naomba mtumishe fursa ya ziara ya mheshimiwa Raise Samia Suluhu Hasani kuwa na ajenda ya pamoja ili kuleta msisimuko wa uchumi kwa mkoa wenu na kukamirisha miradi ya kimkakati kama walivyofanikiwa wenzenu! Mfano Singida Mwanza, Morogoro nk!
Mbona kuna mambo wako mbele kuliko mikoa mingine ...mfano Uwekezaji kwenye Katerero😊
 
chasaka mna shida sana. Mchaga atabaki kuwa mchaga.

Ktk uumbaji Mungu alimuumba mchaga km binadamu daraja la kwanza.
Dada zako wa kichaga hawana huu ubaguzi ulouanzisha maana hata siyo wachoyo
 
Muwaambie na wachaga, wazee wa moshi mji wa matambiko. Nao haukui Tehteh teheeee [emoji16][emoji14][emoji1787].
Tangu nasoma uko vile vile. Juzi juzi didemba nimepita bado tu uko vile vile.
Ingia vijijin ndio paris, mchaga anathamin makaz mno vijijin uchagani kumejengeka kuliko mjini
Takriban 80% ya kila nyumba kijijin ni nzuri na ina huduma zote muhimu maji umeme
 
Wahaya wapuuzi sana wakiwa kwao wakikuona unamiliki ardhi kubwa watakuzushia tuhuma za ajabu sana kama vile kusema unamiliki Eyembe wanakufyekea migomba ili ukimbilie huko kyerwa,wilaya mpya ya Kyerwa imejengwa na watu waliofukuzwa kwa uzushi na hawa wasomi wa mchongo wanaolima wakiwa wamechuchumaa
Hahaha wanalima wamechuchumaa[emoji23][emoji23]
 
Mhaya unaweza uchukue mali yake yoyote lakini sio ardhi yake. Ardhi ya Uhayani Mungu aliipendelea sana,mazao aliyopanda babu mpaka wajukuu wanavuna utaipata wapi ardhi hiyo? Ukitaka kumchokoza Mhaya gusa ardhi yake.
Kwani wanachukua kwa kudhulumu?
 
Yaa Wachaga bwana eti Moshi kuna maendeleo! Hapi hayo hata wilaya ya kahama tu inawapiga gepu kubwa sana! Endeleeni kukaririshana ujinga!
Kahama imetupita labda kupanda mafisi,kahama ukitoka km 2 nje ya mji unakutana na watu wanachota maji kwenye malambo na mifugo
 
Back
Top Bottom