Wana Mbeya shitukeni, CHADEMA wamegeuza jiji lenu maabara ya sera zao

Wana Mbeya shitukeni, CHADEMA wamegeuza jiji lenu maabara ya sera zao

Stuxnet

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
13,417
Reaction score
23,310
Mwanzilishi wa CHADEMA ni Edwin Mtei na nyumbani kwake ni Tengeru, Arusha. Mwenyekiti wa muda wote wa CHADEMA ni Freeman Mbowe na kwao ni Hai, Kilimanjaro.

Katibu Mkuu wa CHADEMA ni John Mnyika kutoka Singida lakini mama yake ni wa Moshi Vijijini. Makamu Mwenyekiti Lissu kwao ni Singida.

Lakini kila wakitaka kutest mitambo ya siasa zao za vurugu wanakuja Mbeya.

Mbeya kwa kipindi cha Sugu 2010-20 pamekuwa ni mahali pa migomo ya biashara na kukosa maendeleo.

Wana Mbeya sasa hivi jiji lenu limeteremka hadhi kabisa kwa sababu wamegundua kuwa kuna WAJINGA wengi. Ukiwaambia maandamano wanakuja.

Jiulize kwa nini wasipeleke Moshi? Wanajuwa Moshi watu ni wajanja hawatakubali kuacha kazi zao na kwenda kuunga mkono upuuzi.
 
Mwanzilishi wa cha ni Edwin Mtei na nyumbani kwake ni Tengeru, Arusha. Mwenyekiti wa myda wote wa CHADEMA ni Freeman Mbowe na kwao ni Hai, Kilimanjaro.

Katibu Mkuu wa CHADEMA ni John Mnyika kutoka Singida lakini mama yake ni wa Moshi Vijijini. Makamu Mwenyekiti kwao ni Singida.

Lakini kila wakitaka kutest mitambo ya siasa zao za vurugu wanakuja Mbeya.

Mbeya kwa kipindi cha Sugu 2010-20 pamekuwa ni mahali pa migomo ya biashara na kukosa maendeleo.

Wana Mbeya sasa hivi jiji lenu limeteremka hadhi kabisa kwa sababu wamegundua kuwa kuna WAJINGA wengi. Ukiwaambia maandamano wanakuja.

Jiulize kwa nini wasipeleke Moshi? Wanajuwa Moshi watu ni wajanja hawatakubali kuacha kazi zao na kwenda kuunga mkono upuuzi.
Badilisha wimbo, hiyo hoja imekosa mashiko this days
 
Mwanzilishi wa cha ni Edwin Mtei na nyumbani kwake ni Tengeru, Arusha. Mwenyekiti wa myda wote wa CHADEMA ni Freeman Mbowe na kwao ni Hai, Kilimanjaro.

Katibu Mkuu wa CHADEMA ni John Mnyika kutoka Singida lakini mama yake ni wa Moshi Vijijini. Makamu Mwenyekiti kwao ni Singida.

Lakini kila wakitaka kutest mitambo ya siasa zao za vurugu wanakuja Mbeya.

Mbeya kwa kipindi cha Sugu 2010-20 pamekuwa ni mahali pa migomo ya biashara na kukosa maendeleo.

Wana Mbeya sasa hivi jiji lenu limeteremka hadhi kabisa kwa sababu wamegundua kuwa kuna WAJINGA wengi. Ukiwaambia maandamano wanakuja.

Jiulize kwa nini wasipeleke Moshi? Wanajuwa Moshi watu ni wajanja hawatakubali kuacha kazi zao na kwenda kuunga mkono upuuzi.
Kabla ya Uhuru nchi ingekuwa na watu ainayako na yenu , leo hii isingekuwa huru.
Kwa tabia zenu hizi haihitaji DNA kujua kwamba hamna uhusiano na watanzania wale wa kabla ya Uhuru, inaonyesha watanzania wa leo wengi wenu mlipatikana baada ya mmoja wa wazazi wenu kuchepuka na Wakingo, Wamalawi, wazambia na waganda, hamfanani chochote na wanaume wa tanzania ya kabla ya uhuru
 
Kwa asiye elewa anaweza kufikiri wewe mtoa post ni Tulia!
Mbeya ni moja ya mikoa ambayo sasa hivi imeelimika kwa maswala ya Demokrasia.
Haya ni matusi kwangu kunifananisha na Tulia i! Ngoja nikuwekee post zangu hapa luhusu Tulia:

1.https://www.jamiiforums.com/threads/tulia-ackson-ameshashindwa-kabla-hata-kampeni-hazijaanza.1771438/

2.https://www.jamiiforums.com/threads/takukuru-anzeni-na-tulia-ackson.1631334/

3.https://www.jamiiforums.com/threads/mdude-nyagali-anadai-dkt-tulia-anataka-kumuua.2142126/
 
Kabla ya Uhuru nchi ingekuwa na watu ainayako na yenu , leo hii isingekuwa huru.
Kwa tabia zenu hizi haihitaji DNA kujua kwamba hamna uhusiano na watanzania wale wa kabla ya Uhuru, inaonyesha watanzania wa leo wengi wenu mlipatikana baada ya mmoja wa wazazi wenu kuchepuka na Wakingo, Wamalawi, wazambia na waganda, hamfanani chochote na wanaume wa tanzania ya kabla ya uhuru
Ma snich hua hawakosekani sehem yoyote lazima tu wawepo ndo kama huyo jamaaa anashindwa kupiga kelele kwa nn kodi ya magari iwe sawa na bei uliyo nunulia gari?Yeye haoni hilo anadhani n8 chadema tu ndo wanao nunua magari ....nchi hii ina machizi🥶🥶
 
Kabla ya Uhuru nchi ingekuwa na watu ainayako na yenu , leo hii isingekuwa huru.
Kwa tabia zenu hizi haihitaji DNA kujua kwamba hamna uhusiano na watanzania wale wa kabla ya Uhuru, inaonyesha watanzania wa leo wengi wenu mlipatikana baada ya mmoja wa wazazi wenu kuchepuka na Wakingo, Wamalawi, wazambia na waganda, hamfanani chochote na wanaume wa tanzania ya kabla ya uhuru
Na wewe unajifanganya unagombea uhuru!! Ndiyo maana unaitwa jina mgomba
 
Mwanzilishi wa cha ni Edwin Mtei na nyumbani kwake ni Tengeru, Arusha. Mwenyekiti wa myda wote wa CHADEMA ni Freeman Mbowe na kwao ni Hai, Kilimanjaro.

Katibu Mkuu wa CHADEMA ni John Mnyika kutoka Singida lakini mama yake ni wa Moshi Vijijini. Makamu Mwenyekiti kwao ni Singida.

Lakini kila wakitaka kutest mitambo ya siasa zao za vurugu wanakuja Mbeya.

Mbeya kwa kipindi cha Sugu 2010-20 pamekuwa ni mahali pa migomo ya biashara na kukosa maendeleo.

Wana Mbeya sasa hivi jiji lenu limeteremka hadhi kabisa kwa sababu wamegundua kuwa kuna WAJINGA wengi. Ukiwaambia maandamano wanakuja.

Jiulize kwa nini wasipeleke Moshi? Wanajuwa Moshi watu ni wajanja hawatakubali kuacha kazi zao na kwenda kuunga mkono upuuzi.
Wamejua Mbeya ina wajinga wengi ndiyo maana hata Mwabukusi na Mdude na Slaa walianzisha maandamano ya bandari/ DP WORLD huko huko.

Wachaga hawakubali kuburuzwa, wako busy wanafukuzia noti/ hela
 
Mbeya bado manyumbu ngoja kwanza wagonganishwe kama misukuli..watakuja kusanuka ila ni baadaye kidogo...chedema huku kaskazini watu wameshawastukia..ni kampuni iliyovaa koti la chama cha siasa....ina ukabila hapa Arusha kama wewe sio mchagga hauteuliiwa kugombea udiwani na nafasi nyeti za uongozi wakati hspa kuna makabila mengi kama Waarusha,wameru,wamasai,wasomali,warangi n.k
 
Mwanzilishi wa cha ni Edwin Mtei na nyumbani kwake ni Tengeru, Arusha. Mwenyekiti wa myda wote wa CHADEMA ni Freeman Mbowe na kwao ni Hai, Kilimanjaro.

Katibu Mkuu wa CHADEMA ni John Mnyika kutoka Singida lakini mama yake ni wa Moshi Vijijini. Makamu Mwenyekiti kwao ni Singida.

Lakini kila wakitaka kutest mitambo ya siasa zao za vurugu wanakuja Mbeya.

Mbeya kwa kipindi cha Sugu 2010-20 pamekuwa ni mahali pa migomo ya biashara na kukosa maendeleo.

Wana Mbeya sasa hivi jiji lenu limeteremka hadhi kabisa kwa sababu wamegundua kuwa kuna WAJINGA wengi. Ukiwaambia maandamano wanakuja.

Jiulize kwa nini wasipeleke Moshi? Wanajuwa Moshi watu ni wajanja hawatakubali kuacha kazi zao na kwenda kuunga mkono upuuzi.

..Mbona Samia anauza mali za Tanganyika lakini za Zanzibar hauzi?

..Mbona Samia anafukuza Wamaasai akidai ardhi ya Ngorongoro ni ndogo, lakini hafukuzi Wazanzibari wakati nao ardhi yao ni ndogo?
 
Back
Top Bottom