Watu wa Mbeya ni MAZEZETA na hili Mbowe analijua.
Nikukumbushe tu kati ya mwaka 2010 na 2020 wakati CHADEMA ilikuwa na viti vingi bungeni huku ikiwa na Mbeya ikiwa na wabunge wa kuchaguliwa wawili (Silinde & Sugu), lakini ilipokuja kwenye mgawo wa viti maalum Mbeya haikufikiriwa. Walijaza wachaga watupu ambao ni hawara na dada zao kama Chritina Lissu, Owenya, Suzan Lyimo, Grace, Kiwelu, Joyce Mukya etc.
Wewe unaniona sina akili lakini ambaye hana akili ni Sugu anayekubali maandamano yaletwe Mbeya kuvuruga uchumi na utulivu huku akijenga sintofahamu ya wana Mbeya dhidi ya Serikali.
Mwenye akili kajenga nyumba hii kwao Machame mara alipotoka Segerea baada ya kuonana na Rais mwaka 2021
View attachment 3072294
Endeleeni tu kumsindikiza wakati anazindua mali zake huko Machame kama alivyosindokizwa hapa.
View attachment 3072297
Huku nyinyi watu wa Mbeya mkisifiwa kuwa mna MSIMAMO mkali dhidi ya Serikali na kukubali kuwa uwanja wa maandamano