Kina nani hao?Makiseo kumbe humu ndani kuna watu mna mabifu yenu
Kwani wewe umeelewa nini?au comment yako inasadifu nini?
ulitegemea yatokeeKwani wewe umeelewa nini?
Nilichoandika hapo umeona kinasadifu nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Utakuwa umeelewa vyema..ulitegemea yatokee
Hii wiki ni ya nenda kwa usalama barabarani[emoji23]Sasa nimeamini nilipata kusikia ile id ni ya kiume. Kumbe ww ndiye unaimiliki pia.
Nilitaka nikutag Tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unawashwa angle gani?
Naona amekuja kuwachokoza Tena.[emoji3][emoji3][emoji3] hivi humkumbuki huyo?
Muache tu aendelee kujitekenyaNaona amekuja kuwachokoza Tena.
Sasa sijui amewaingizaje kwenye huu uzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena wewe cha upole ushapata kabisa hiyo nafasi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muache tu aendelee kujitekenya