Wana MMU nisaidieni, nifanyeje?

Mpeleke hospital
Akitoka njoo nikupe kakitu ka kuoshea uke unanukia vizuuuuuri
 
Hii umeokoteza mahali ila inaweza kusaidia wengine. Pekua hapa hapa kuna nyuzi nyingi tu zinazungumzia solution. i.e unavyoweza kumwambia bila kumuudhi.
 
Sijasema nimewanusa wala kuwagusa lakini kwa michango yenu inaonyeshe mnajitambua
ephen_
Hapa tunapeana mbinu za kimaisha, kunuka jambonla kawaida, mtu yeyote anaweza kuwa na hali hiyo.
Tupeane mbinu tu kujiweka sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…