Wana muache kuvamia Friji mkitutembelea

Ha ha ha ha pole
 
Ulikuwa hujui tabia ya Wasukuma eeh !

Wawekee gunia la unga hapo kwenye corridor na sufuria kubwa wakija getho waambie walirushe ugali hapohapo koridoni...hata mkavu watakula
 
aliyekuambia uwakaribishe nani?sehemu kibao za kukutana ,pub zotr zilizojaa hizi !wacha wajitanue na kujipanua +
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…