Pre GE2025 Wana Ruangwa tunajua kushukuru, wanawake wagalagala mbele ya Majaliwa kama shukrani kwa utendaji wake!

Pre GE2025 Wana Ruangwa tunajua kushukuru, wanawake wagalagala mbele ya Majaliwa kama shukrani kwa utendaji wake!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wawape mbinu nyingine, hii tumeizoea.
Kwa kujitoa akili huko!
Harafu na nyie viongozi, hiyo kama ni heshima mbona mama zenu hatuwaoni wakigalagala?
 
Tanzania ina makabila mengi na kila mahali wana namna zao za kuonesha furaha au kuwapokea viongozi wao.

Mikoa mingine huwezi kuta mambo kama hayo.

Hivyo wanavyofanya haimaanishi kuwa ni wajinga.

Hapana ni tamaduni.

Mwaka Jana nilikua pale ndanda, nilikua nacheka tu maana kila kitu jamaa wanasema nashukulu, nakushukulu.

Ifahamu nchi yako.
Hata kama ni utamaduni wao, bado ujinga na upumbavu uko palepale.

Si kila jambo lililovikwa jina la utamaduni ni zuri.

Kuna mambo mengi ya tamaduni ambayo hayako sawa.
 
Tanzania ina makabila mengi na kila mahali wana namna zao za kuonesha furaha au kuwapokea viongozi wao.

Mikoa mingine huwezi kuta mambo kama hayo.

Hivyo wanavyofanya haimaanishi kuwa ni wajinga.

Hapana ni tamaduni.

Mwaka Jana nilikua pale ndanda, nilikua nacheka tu maana kila kitu jamaa wanasema nashukulu, nakushukulu.

Ifahamu nchi yako.
Kwa hiyo we pia unaweza kugaragara hivyo kama hao

Ova
 
Hakuna sheria waliyokiuka.

Ujinga na upumbavu hauko kinyume na sheria yoyote ile ya nchi, kwa kadri nijuavyo.

Watu wana haki ya kuwa wa wajinga na haki ya kuwa wapumbavu.
Mtaumia sana na kutukana sana, lakini ndio sasa ishakuwa.
 
Hakuna sheria waliyokiuka.

Ujinga na upumbavu hauko kinyume na sheria yoyote ile ya nchi, kwa kadri nijuavyo.

Watu wana haki ya kuwa wa wajinga na haki ya kuwa wapumbavu.
Kigezo gani hutumika kuashiria upumbavu?
 
Kila jamii Ina namna au vitendo vya kuonyesha hisia zao. Kipindi Cha Magufuli wenyeji wa Kilimanjaro walibeba Majani kuonyesha kukubali kazi inayofanywa na Mwenyekiti wa CCM PM na pia kuomba msamaha kwa kutomchagua.

wachaga.jpg
 

View: https://youtu.be/ldflyzj-0S4?si=KSG3nRgnKOUhTRrM

CCM wenye akili kidogo ndo wanapenda mambo kama haya sasa - kuongoza watu walio wajinga na wapumbavu.

Ni vigumu sana kwa mtu mwenye akili zake timamu, mwenye busara na hekima tu za kawaida, kufanya upumbavu wa kugalagala chini mbele ya viongozi.

Na ithibati ya kuthibitisha kwamba hao viongozi wachache wa CCM walio na vijiakili kidogo kuwa wanapenda kuona mambo kama hayo toka kwa watu wanaowaongoza, ni ukimya wao dhidi ya huo upumbavu.

Mtu mwenye akili akiona watu wapumbavu na walio wajinga wakifanya mambo ya kipumbavu na kijinga, ana wajibu wa kimaadili wa kuyakemea na kuyapinga na kutoa fundisho kuwa hayo mambo si sawa.

Kwa vile haya mambo yanajirudia rudia sana, nashawishika kabisa kuamini kuwa viongozi wa CCM wanayapenda.

Wangekuwa wanayapinga, yasingekuwa yanajirudia rudia sehemu mbalimbali nchini.

CCM ni janga kwa mustakabali wa nchi.

Lakini janga kubwa zaidi ni idadi ya watu walio wajinga na walio wapumbavu.

Ukitaka kuwajua watanzania halisi basi angalia tabia za wanaccm.kuanzia yule wa juu kabisa hadi wa chini akili huwa zinafanana
 
Kila jamii Ina namna au vitendo vya kuonyesha hisia zao. Kipindi Cha Magufuli wenyeji wa Kilimanjaro walibeba Majani kuonyesha kukubali kazi inayofanywa na Mwenyekiti wa CCM PM na pia kuomba msamaha kwa kutomchagua.

View attachment 2860270
Haya maigizo ya kijinga ccm wanajua kuyapanga sana. Kipindi Cha dhalimu Magu hayo maigizo ya kupanga watu ioneka anakubalika yalifanyika sana.
 
Mimi naona hayo matusi yaende kwa hao wanaokubali kufanyiwa upumbavu huo
Hivi wake zao wanagaragara hivyo
So why wakubali wake za wengine wawafanyie hivyo?
Waume za hao kina mama na watoto wao kweli wana moyo
Wa kusifia humu wanalipwa 7k

Hao wa kugaragara wanapewa 10k na usafiri wa kwenda na kurudi na madebe ya pombe ya kienyeji yani hapo inaonekana bonge la heshima kwao.

Ila Tanzanja kuna ujinga sana.
 
Back
Top Bottom