Pre GE2025 Wana Ruangwa tunajua kushukuru, wanawake wagalagala mbele ya Majaliwa kama shukrani kwa utendaji wake!

Pre GE2025 Wana Ruangwa tunajua kushukuru, wanawake wagalagala mbele ya Majaliwa kama shukrani kwa utendaji wake!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wa kusifia humu wanalipwa 7k

Hao wa kugaragara wanapewa 10k na usafiri wa kwenda na kurudi na madebe ya pombe ya kienyeji yani hapo inaonekana bonge la heshima kwao.

Ila Tanzanja kuna ujinga sana.
Inaumiza sana sana
 
Hizi ni Kelele za chura.
Wagaregare tu kwani tunafuata utamaduni na maadili ya nani hapa?
 
Tusipoangalia kizazi chetu kitapita bila kuliondoa hili jinamizi kwenye uongozi.

It's shame kuendelea kuongozwa na kundi la walafi na wezi wa mali za watanzania namna hii.
 
Inajulikana kanda ya kusini hususani Mtwara na Lindi walivyo wajinga!.
 
Njaa ndio inawafanya wagaregare. Sidhani Kama asiye na njaa anaweza kufanya huo ujinga.
 
Zawadi ya kugalagala chini,wamepewa ubwabwa na 2000
 

View: https://youtu.be/ldflyzj-0S4?si=KSG3nRgnKOUhTRrM

CCM wenye akili kidogo ndo wanapenda mambo kama haya sasa - kuongoza watu walio wajinga na wapumbavu.

Ni vigumu sana kwa mtu mwenye akili zake timamu, mwenye busara na hekima tu za kawaida, kufanya upumbavu wa kugalagala chini mbele ya viongozi.

Na ithibati ya kuthibitisha kwamba hao viongozi wachache wa CCM walio na vijiakili kidogo kuwa wanapenda kuona mambo kama hayo toka kwa watu wanaowaongoza, ni ukimya wao dhidi ya huo upumbavu.

Mtu mwenye akili akiona watu wapumbavu na walio wajinga wakifanya mambo ya kipumbavu na kijinga, ana wajibu wa kimaadili wa kuyakemea na kuyapinga na kutoa fundisho kuwa hayo mambo si sawa.

Kwa vile haya mambo yanajirudia rudia sana, nashawishika kabisa kuamini kuwa viongozi wa CCM wanayapenda.

Wangekuwa wanayapinga, yasingekuwa yanajirudia rudia sehemu mbalimbali nchini.

CCM ni janga kwa mustakabali wa nchi.

Lakini janga kubwa zaidi ni idadi ya watu walio wajinga na walio wapumbavu.

Lucas Mwashambwa ni yupi Kati ya hao wakinamama
 
Hakuna sheria waliyokiuka.

Ujinga na upumbavu hauko kinyume na sheria yoyote ile ya nchi, kwa kadri nijuavyo.

Watu wana haki ya kuwa wa wajinga na haki ya kuwa wapumbavu, pia.
🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom