KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 4,457
- 5,454
1. Bado mnaamini mna timu bora?
2. Bado mnaamini GSM anawahujumu?
3. Bado mnaamini mnakamiwa?
4. Bado mnaamini Simba Sc itawapa raha msimu huu kwa soka safi?
5. Bado mnaamini timu yenu ipo competent kupambana shirikisho?
6. Bado mnaamini Mo ni muwekazaji kwenye timu yenu?
7. Bado mnaamini Mo aliweka 20B kwenye account yenu?
8. Bado mnaamini MTAJENGA UWANJA wenu kwa hela za kuchangishana?
9. Bado mnaamini timu yenu ilitoka sare ba Mtibwa kisa ubovu wa uwanja??
10.Bado mnaamini kocha wenu kafundisha kweli Madrid?
NAWAKUMBUSHA:Timu yenu (yenye kikosi kipana)imezurula mikoa mitatu (Mbeya,Moro na Bukoba)Sasa inarudi dar na point moja tu🤣🤣🤣🤣🤣
2. Bado mnaamini GSM anawahujumu?
3. Bado mnaamini mnakamiwa?
4. Bado mnaamini Simba Sc itawapa raha msimu huu kwa soka safi?
5. Bado mnaamini timu yenu ipo competent kupambana shirikisho?
6. Bado mnaamini Mo ni muwekazaji kwenye timu yenu?
7. Bado mnaamini Mo aliweka 20B kwenye account yenu?
8. Bado mnaamini MTAJENGA UWANJA wenu kwa hela za kuchangishana?
9. Bado mnaamini timu yenu ilitoka sare ba Mtibwa kisa ubovu wa uwanja??
10.Bado mnaamini kocha wenu kafundisha kweli Madrid?
NAWAKUMBUSHA:Timu yenu (yenye kikosi kipana)imezurula mikoa mitatu (Mbeya,Moro na Bukoba)Sasa inarudi dar na point moja tu🤣🤣🤣🤣🤣