montegobay
Senior Member
- May 4, 2016
- 114
- 132
Mwandishi wa hii habari anatafutwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwandishi wa hii habari anatafutwa
[emoji23][emoji23]"Siba guvu moya" by Muamedi
Hizi akili zako mgawie ndugu yako GENTAMYCINE maana hana hata kdogoHuu mwaka wanasimba tutaoga kila aina ya kejeli na dharau.
minachojua msimu huu ni wa maumivu tu kwa Simba tumeanzia CAF mpaka kwenye ligi kuboronga, acha twende tutakaa sawa tu msimu unaokuja.
Lakini natoa pongezi kwa Utopolo watani zetu timu yenu ipo sawa.wachezaji wa Uto wanajituma kwa jasho na damu awapaki poda kwenye mechi,ni kazi kazi.
Simba nguvu moja.
Mbona huyu kocha kafanana na amjadi Khan au tumepigwa mudi kamleta mjomba ake halafu ana makasiliko sana
Usijumuishe wenzako ongea wewe kama weweYAAAANI BADO TUNAAMINI.
.
KWANZA TUKO NAFASI ya 2 sio kwamba tupo chini uko kwa prisons
Pili, Hakuna mwekezaji aliejitolea kama MWAMEDI,MUDI,MO,KANJIBAI (Vyovyote mtavyomuita) lakini MO DEWJI Kajitolea sanaaaa kwa SIMBA na TUNAMUAMINI......
La tatu, MANCITY msimu uliopita na ata msimu huu ametoka kuanzia wa Tano mpaka kileleni...msimu uliopita ndo kabsaa katokea wa saba uko mpaka kubeba kombe....BADO TUNAAMINI SIMBA HIIHII ITAWASHANGAZA KWA KUCHUKUA UBINGWA MARA YA 5 MFULULIZO
Tujajenga uwanja ilo halipingwi na vyura watatamani na wanatamani
La nne, BADO TUNAAMINI,,TUNAIMANI,,TUNAJIAMINI na TUNAAMINI KIKOSI CHA MSIMBAZI
KELELE ZA VYURA,HAZIMZUII SIMBA KUBEBA UBINGWA
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Kajitolea au anafanya biashara?? Mudi hawezi kufanya kazi ya hasara. Endelea kupigwa na kitu kizito huku ukiona Mudi najitoleaYAAAANI BADO TUNAAMINI.
.
KWANZA TUKO NAFASI ya 2 sio kwamba tupo chini uko kwa prisons
Pili, Hakuna mwekezaji aliejitolea kama MWAMEDI,MUDI,MO,KANJIBAI (Vyovyote mtavyomuita) lakini MO DEWJI Kajitolea sanaaaa kwa SIMBA na TUNAMUAMINI......
La tatu, MANCITY msimu uliopita na ata msimu huu ametoka kuanzia wa Tano mpaka kileleni...msimu uliopita ndo kabsaa katokea wa saba uko mpaka kubeba kombe....BADO TUNAAMINI SIMBA HIIHII ITAWASHANGAZA KWA KUCHUKUA UBINGWA MARA YA 5 MFULULIZO
Tujajenga uwanja ilo halipingwi na vyura watatamani na wanatamani
La nne, BADO TUNAAMINI,,TUNAIMANI,,TUNAJIAMINI na TUNAAMINI KIKOSI CHA MSIMBAZI
KELELE ZA VYURA,HAZIMZUII SIMBA KUBEBA UBINGWA
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app