Wana Simba SC Wenzangu tuanzeni mapema Kujiandaa 'Kisaikolojia' kwa taarifa mbaya au nzuri baada ya Saa 12 leo Jioni

Wana Simba SC Wenzangu tuanzeni mapema Kujiandaa 'Kisaikolojia' kwa taarifa mbaya au nzuri baada ya Saa 12 leo Jioni

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mioyo yetu si vibaya sana kama tukianza Kuizoesha Asubuhi hii kwa kupokea Habari ( Taarifa ) yote tu ile iwe ni mbaya au nzuri kuanzia Saa 12 Kamili jioni ya leo.

Nawatakieni kila la Kheri ila tu tusiumie.
 
Mkuu, si ungefunguka tu hiyo taarifa mbaya ni ipi?.

Kwani Babu anasemaje, timu inatolewa na Azam leo FA?.
 
Mioyo yetu si vibaya sana kama tukianza Kuizoesha Asubuhi hii kwa kupokea Habari ( Taarifa ) yote tu ile iwe ni mbaya au nzuri kuanzia Saa 12 Kamili jioni ya leo.

Nawatakieni kila la Kheri ila tu tusiumie.
Taarifa mbaya kutokana na mchezo na azam? No way!!!
 
Timu ikishinda Bwanyenye atafurahi na kutoa ela ya usajili, Timu ikifungwa Bwanyenye anasusa mojakwamoja.

Unajua Bwanyenye ameshaona upande wapili wanataka kuongeza spika kubwa yenye nguvu Sasa yeye pekeyake hawezi ku umudu mziki wa upande wa pili ukifunguliwa.
 
Nasisitiza katika Uzi wangu sijasema Simba SC itafungwa au itashinda basi nimesema Kujiandaa 'Kisaikolojia' kwa Taarifa Hasi ( Mbaya ) au Chanya ( Nzuri ) kwa Mashabiki wa Simba SC hasa kwa Siku ya leo ni Jambo muhimu na la msingi mno.

Yoyote atakayeutafsiri huu Uzi kuwa ninasema leo Simba SC atafungwa ( anafungwa ) na Azam FC atakuwa ni 'damn Fool' na asipoteze muda wake nami kwani anaweza Kupata Majibu yangu ambayo najua na nina uhakika hayatomfurahisha.

Namalizia kwa Kusisitiza kuwa kama ilivyo kwa Binadamu kuwa tayari kwa lolote ni Jambo jema basi hata kwa Mashabiki wa Simba SC nao kwa Siku ya leo wajiandae Kufurahi na Kukasirika kwa pamoja.
 
Mioyo yetu si vibaya sana kama tukianza Kuizoesha Asubuhi hii kwa kupokea Habari ( Taarifa ) yote tu ile iwe ni mbaya au nzuri kuanzia Saa 12 Kamili jioni ya leo.

Nawatakieni kila la Kheri ila tu tusiumie.
Kiongozi Kigali salama huko?
Itakua umeota wewe, haya bana.
Simba leo hatuna maneno mengi, tunataka biriani au gwaride yaani kivyovyote vile.
 
Nasisitiza katika Uzi wangu sijasema Simba SC itafungwa au itashinda basi nimesema Kujiandaa 'Kisaikolojia' kwa Taarifa Hasi ( Mbaya ) au Chanya ( Nzuri ) kwa Mashabiki wa Simba SC hasa kwa Siku ya leo ni Jambo muhimu na la msingi mno.

Yoyote atakayeutafsiri huu Uzi kuwa ninasema leo Simba SC atafungwa ( anafungwa ) na Azam FC atakuwa ni 'damn Fool' na asipoteze muda wake nami kwani anaweza Kupata Majibu yangu ambayo najua na nina uhakika hayatomfurahisha.

Namalizia kwa Kusisitiza kuwa kama ilivyo kwa Binadamu kuwa tayari kwa lolote ni Jambo jema basi hata kwa Mashabiki wa Simba SC nao kwa Siku ya leo wajiandae Kufurahi na Kukasirika kwa pamoja.
We jamaa kiazi mbatata sana.
 
Kiongozi Kigali salama huko?
Itakua umeota wewe, haya bana.
Simba leo hatuna maneno mengi, tunataka biriani au gwaride yaani kivyovyote vile.
Just prepare yourself Psychologically.
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Eti Mikia fc inaogopa kichapo kutoka kwa wadogo zao mikia fc part 2! Haya nayo sasa ni maajabu!!
 
Mimi ni simba ila simba Leo atafungwa bao 2-1 sababu simba hana muda wa kucheza mechi mfululizo na yanga, anaona anajishusha thamani kimataifa ni kama mwakinyo kukataa kupigana na dulla mbabe hadi azam wakasusa kutangaza pambano lake

Wanayanga mkitaka kucheza na sisi mfululizo tushawabeba twendeni mkifika hata nafasi ya 20 timu bora afrika tutacheza hata kila wiki
 
Back
Top Bottom