Twamo
JF-Expert Member
- May 27, 2017
- 2,884
- 5,016
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Napongeza sana chama langu Simba Sc lakini je kwenye mpira inaruhusiwa kuanzisha mpira kabla refa hajaruhusu? Ka kurejea kilichotokea muda mfupi ulio pita!! Mimi sijui vizuro sheria zote za mpira
Mi sijaangalia mechi, nisaidie kuelezea tukio hilo lilikuwaje?Napongeza sana chama langu Simba Sc lakini je kwenye mpira inaruhusiwa kuanzisha mpira kabla refa hajaruhusu? Ka kurejea kilichotokea muda mfupi ulio pita!! Mimi sijui vizuro sheria zote za mpira
Refa alishaamuru mpira upigwa lakini wale washamba wakawa wanabishana na refa badala ya kuweka ukuta. Somo zuri sana kwa wachezaji washamba.Napongeza sana chama langu Simba Sc lakini je kwenye mpira inaruhusiwa kuanzisha mpira kabla refa hajaruhusu? Ka kurejea kilichotokea muda mfupi ulio pita!! Mimi sijui vizuro sheria zote za mpira
Crap....Mioyo yetu si vibaya sana kama tukianza Kuizoesha Asubuhi hii kwa kupokea Habari ( Taarifa ) yote tu ile iwe ni mbaya au nzuri kuanzia Saa 12 Kamili jioni ya leo.
Nawatakieni kila la Kheri ila tu tusiumie.
Stupid.Crap....
Pumbavu nionyeshe ni wapi nimesema au nilisema Simba SC leo inafungwa?Leo ramli imegoma[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wamemaliza Kukukaza au niwaite waje?Kaka saa 1.23 hii. Vipi tena
Sasa mkuu mi si nimeuliza tu. Labda una updates zozote? Sina ubaya na wewe kakaWamemaliza Kukukaza au niwaite waje?
Ninazo za Wewe tu Kukazwa je nikupe?Sasa mkuu mi si nimeuliza tu. Labda una updates zozote? Sina ubaya na wewe kaka
Simba ya wapiSimba lazima afungwe ujiandae au usijiandae
Stupid fishStupid.