Wana Simba SC Wenzangu tuanzeni mapema Kujiandaa 'Kisaikolojia' kwa taarifa mbaya au nzuri baada ya Saa 12 leo Jioni

Wana Simba SC Wenzangu tuanzeni mapema Kujiandaa 'Kisaikolojia' kwa taarifa mbaya au nzuri baada ya Saa 12 leo Jioni

Huyu jamaa namkubaligi sana kwakufukunyua mambo pale kwenye club pendwa tena iliyobarikiwa na MUNGU naambayo inacheza soccer lililothibitishwa kwaviwango vya kidunia na fifa yaani SIMBA SPORTS CLUB. Lakini anapoanzaga matusi huwaga silielewi kbs
 
Mioyo yetu si vibaya sana kama tukianza Kuizoesha Asubuhi hii kwa kupokea Habari ( Taarifa ) yote tu ile iwe ni mbaya au nzuri kuanzia Saa 12 Kamili jioni ya leo.

Nawatakieni kila la Kheri ila tu tusiumie.
Ulikuwa na hofu ya kufungwa sio
 
Pumbavu nionyeshe ni wapi nimesema au nilisema Simba SC leo inafungwa?

Na nalijua tu baada ya Mechi kuna 'Fools' kama Wewe mtakuja kama vile kutaka Kunishushua.

Mbona hukuja Kuchangia Uzi huu mapema na umesubiri hadi Mechi iishe? Wanafiki wakubwa nyie.

Na nawasubiri mje ili muyakoge mno tu.

Cc: TIMING
All knowing person aka mzee wa kujifanya unajua kila kitu leo umekula za mbavu shwain, we ulijua game itakua ngumu ukafanya utabiri uchwara ili mda ukifika upewe credit[emoji16][emoji16][emoji16]
 
All knowing person aka mzee wa kujifanya unajua kila kitu leo umekula za mbavu shwain, we ulijua game itakua ngumu ukafanya utabiri uchwara ili mda ukifika upewe credit[emoji16][emoji16][emoji16]
Jamaa uchwara mno
 
All knowing person aka mzee wa kujifanya unajua kila kitu leo umekula za mbavu shwain, we ulijua game itakua ngumu ukafanya utabiri uchwara ili mda ukifika upewe credit[emoji16][emoji16][emoji16]
Credits nilizopewa na Mwenyezi Mungu hadi nikawa ni "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" zinanitosha na wala sihitaji za Wapumbavu na Waswahili kama Wewe na hao Wenzako waliokupa 'Likes' hapo.

Na mlivyo na Upumbavu wa Kurithishwa mnanichukia GENTAMYCINE lakini 24/7 tu mkiingia JamiiForums ni lazima msome ama 'threads' zangu au 'comments' zangu katika 'Mada' za wengine. Kateni Rufaa kwa Mwenyezi Mungu kwa Kuniumba na 'Ubarikio' huu mkubwa huku akiwasahau 'Mashetani' nyie.

Cc: Randy orton, TIMING
 
Credits nilizopewa na Mwenyezi Mungu hadi nikawa ni "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" zinanitosha na wala sihitaji za Wapumbavu na Waswahili kama Wewe na hao Wenzako waliokupa 'Likes' hapo.

Na mlivyo na Upumbavu wa Kurithishwa mnanichukia GENTAMYCINE lakini 24/7 tu mkiingia JamiiForums ni lazima msome ama 'threads' zangu au 'comments' zangu katika 'Mada' za wengine. Kateni Rufaa kwa Mwenyezi Mungu kwa Kuniumba na 'Ubarikio' huu mkubwa huku akiwasahau 'Mashetani' nyie.

Cc: Randy orton, TIMING
Mbona bragging hivi
 
We jamaa ukiwa na stress zako unakuja kutusi watu humu,unafaidika na nini kutusi watu
 
Back
Top Bottom