Wana Simba SC wote mnaomtukana, kumdharau na kutomtaka Kibu Denis akirejea kutoka Kampala mkamuombe Radhi

Wana Simba SC wote mnaomtukana, kumdharau na kutomtaka Kibu Denis akirejea kutoka Kampala mkamuombe Radhi

Jana kajitahidi sana ndie aliekua mwiba wa safu ya ulinzi ya vipers.Kibu hua ana energy siku zote na nimzuri sana hewani shida yake kubwa ni brain,anakosa maarifa na hua hana utulivu kabisa.kwangu bado anabaki kua mchezaji wa kawaida tu.
 
Kibu ni mchezaji mzuri tuu kikubwa ambacho anapaswa kushauliwa ni kutanguliza akili then mwili ufuate na sio kuanza na mwili akili Iko nyuma...
 
Katika uzi wangu wa leo ambao pia nilijaribu kupanga vikosi vyangu viwili tofauti ambavyo niliona vingetupa matokeo na mwishoni, nilisisitiza mno kuwa mechi ya leo kwa uchezaji wa kutumia nguvu nyingi walionao waganda ingemfaa sana na angeisaidia Simba SC kimchezo.

Huhitaji kupoteza muda au kubisha kuwa kama kuna mchezaji wa Simba SC ambaye leo amejitoa na amepambana kwa nguvu zake zote kuipambania Simba SC hadi tone lake la mwisho ni Kibu Denis (Kibunenga).

Kwa takribani dakika 80 alizocheza leo Kibu Denis aliweza kushambulia, kukaba, kusumbua mabeki wa Vipers FC huku akihaha karibu uwanja mzima hali iliyowafanya wachezaji wavivu (ila kwa unafiki wetu) hatuwasemi (japo leo wameharibu mno) akina Clatous Chama na Saido Ntibanzokinza wapumue na wasikabe pia.

Bado sijaona shida ya kihivyo ya Kibu Denis isipokuwa naona tu kuwa ana nyota ya kuchukiwa bila sababu za msingi na mashabiki wa Simba SC kwani kama ni kuwa na mapungufu Pape Sakho ana mapungufu mengi ya kumzidi isipokuwa tu magoli yake ya kipekee na yanayompa tunzo ndiyo yanamfunika asisemwe au asichukiwe ila hana msaada kwa timu kama alionao Kibu Denis.

Nikiwa kama psychologist kitaaluma na wa asili ninachokiona tu ni kwamba endapo mashabiki wa Simba SC (hasa wale wanaomchukia na wasiojua mpira) siku wakimkopa tu imani yao Kibu Denis na yeye pia atawalipa ufanisi wake wa 100% uwanjani na kama GENTAMYCINE nina imani nae kubwa mno na hayuko mbali kutufunga midomo yetu kwa mpira wake mkubwa na wenye msaada mkubwa kwa timu tofauti na anavyochukuliwa na wengi.

Hongera Simba SC, hongereni wana Simba SC kwa ushindi wetu muhimu huko Kampala nchini Uganda dhidi ya Vipers FC na asante sana na mno mchezaji Kibu Denis kwa kujitoa kwako kwa nguvu zako zote ili kuipambania Simba SC kwa mchezo wa leo na hata kwa mechi dhidi ya Azam FC ambayo tayari Simba SC tulikuwa tunaenda kuumbuka na kutafutana uchawi.
mtani nakupa hongera kwa ushindi wa jana
 
Kwa ujumla Simba ilipwaya sana eneo la kati na mbele, viungo na washambuliaji wake hawakuwa na uwezo wa kuhold mpira...

Vipers timu ya kawaida sana, ila mechi ya pili Dar watakuwa aggressive hivyo ni rahisi kufanya makosa...Simba itumie huo mwanya kuchukua tena points 3
 
Nikiwa kama psychologist kitaaluma na wa asili ninachokiona tu ni kwamba endapo mashabiki wa Simba SC (hasa wale wanaomchukia na wasiojua mpira) siku wakimkopa tu imani yao Kibu Denis na yeye pia atawalipa ufanisi wake wa 100% uwanjani na kama GENTAMYCINE nina imani nae kubwa mno na hayuko mbali kutufunga midomo yetu kwa mpira wake mkubwa na wenye msaada mkubwa kwa timu tofauti na anavyochukuliwa na wengi.
Kumbe Mkuu GENTAMYCINE/MINOCYCLINE ni mwanasaikolojia? Naheshimu sana wataalamu wa pyschology.
-I believe everything is about people's psychology(Social life, politics, Sales, Marketing, e.t.c)

Kuhusu uzi: Kibu Denis ni Super B.

N.B. Pasipo kuathiri content za uzi huu, but I discovered ukiwa kwenye hii I.D atleast akili yako inatulia, ila yule wa MINOCYLINE ni mjinga mjinga sana. Tuliza akili yako Mkuu.
 
Acha unafiki,kukosea kupo, kama hukosei basi wewe siomwanadam!

Hakuna beki zaidi yake dogo Hussein anajitoa sana.... basi tutest mtambo akae benci mechi 3 tuone! 😂
Sasa unafiki uko wapi wakati nimeweka mawazo yangu wazi. Wanafiki ni wale wanaoogopa kumwambia ukweli halafu kila siku timu ina suffer na wenzake wanahaha kucover mapungufu yake. Macaptain wa Simba ndiyo wanaongoza kwa mapungufu, jambo la ajabu sana hili.
 
Katika uzi wangu wa leo ambao pia nilijaribu kupanga vikosi vyangu viwili tofauti ambavyo niliona vingetupa matokeo na mwishoni, nilisisitiza mno kuwa mechi ya leo kwa uchezaji wa kutumia nguvu nyingi walionao waganda ingemfaa sana na angeisaidia Simba SC kimchezo.

Huhitaji kupoteza muda au kubisha kuwa kama kuna mchezaji wa Simba SC ambaye leo amejitoa na amepambana kwa nguvu zake zote kuipambania Simba SC hadi tone lake la mwisho ni Kibu Denis (Kibunenga).

Kwa takribani dakika 80 alizocheza leo Kibu Denis aliweza kushambulia, kukaba, kusumbua mabeki wa Vipers FC huku akihaha karibu uwanja mzima hali iliyowafanya wachezaji wavivu (ila kwa unafiki wetu) hatuwasemi (japo leo wameharibu mno) akina Clatous Chama na Saido Ntibanzokinza wapumue na wasikabe pia.

Bado sijaona shida ya kihivyo ya Kibu Denis isipokuwa naona tu kuwa ana nyota ya kuchukiwa bila sababu za msingi na mashabiki wa Simba SC kwani kama ni kuwa na mapungufu Pape Sakho ana mapungufu mengi ya kumzidi isipokuwa tu magoli yake ya kipekee na yanayompa tunzo ndiyo yanamfunika asisemwe au asichukiwe ila hana msaada kwa timu kama alionao Kibu Denis.

Nikiwa kama psychologist kitaaluma na wa asili ninachokiona tu ni kwamba endapo mashabiki wa Simba SC (hasa wale wanaomchukia na wasiojua mpira) siku wakimkopa tu imani yao Kibu Denis na yeye pia atawalipa ufanisi wake wa 100% uwanjani na kama GENTAMYCINE nina imani nae kubwa mno na hayuko mbali kutufunga midomo yetu kwa mpira wake mkubwa na wenye msaada mkubwa kwa timu tofauti na anavyochukuliwa na wengi.

Hongera Simba SC, hongereni wana Simba SC kwa ushindi wetu muhimu huko Kampala nchini Uganda dhidi ya Vipers FC na asante sana na mno mchezaji Kibu Denis kwa kujitoa kwako kwa nguvu zako zote ili kuipambania Simba SC kwa mchezo wa leo na hata kwa mechi dhidi ya Azam FC ambayo tayari Simba SC tulikuwa tunaenda kuumbuka na kutafutana uchawi.
tahira ww,kwenda kwa utopolo wenzio
 
Sasa unafiki uko wapi wakati nimeweka mawazo yangu wazi. Wanafiki ni wale wanaoogopa kumwambia ukweli halafu kila siku timu ina suffer na wenzake wanahaha kucover mapungufu yake. Macaptain wa Simba ndiyo wanaongoza kwa mapungufu, jambo la ajabu sana hili.
Hayo mawazo mgando ya wiki nzima!
 
Back
Top Bottom