MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Kwa tulichokifanya Mwenyezi Mungu tunakuomba utusamehe kwani hakuna namna tunahitaji Ushindi Kesho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha upande upi utaangusha kilio sasa.. mwarabu au makolo?Kesho lupaso kutakua na kilio kizito sana
Saa 1 kamili usiku, kama wewe ni shabiki wa Simba nakushauri kesho usiende uwanjani.
Mechi itaaza Saa Nane Kamili Usiku mkubwa. Kuna Watu mnakera na Kuchosha.
Mashabiki wa Yanga waliambiwa wasisogee Lupaso wakati huu wa maandalizi ya game ya Simba vs Raja kama bado wanayapenda maisha yao.Duh watu wameroga sio poa uwanja upo chini ya ulinzi utafikiri kajificha osama kule ndani!!
Kwanini nisiende?Saa 1 kamili usiku, kama wewe ni shabiki wa Simba nakushauri kesho usiende uwanjani.
Jamani si nimeuliza tu muda ndugu yangu [emoji28]Mechi itaaza Saa Nane Kamili Usiku mkubwa. Kuna Watu mnakera na Kuchosha.
Kwa Wiki nzima sasa Redioni, Runingani na hata katika Social Platforms mbalimbali Matangazo yote yanasema ( yanataja ) muda wa Mechi kuanza na kama haitoshi ungeingia tu Google au katika Mtandao wa Simba SC au CAF Online ungejua muda na access hiyo unayo. Nachukia mno Mijitu Minafiki, Mivivu na ya hovyo hovyo.Jamani si nimeuliza tu muda ndugu yangu [emoji28]
Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
Punguza makasiriko mkuu wangu maisha yenyewe mafupi hayaKwa Wiki nzima sasa Redioni, Runingani na hata katika Social Platforms mbalimbali Matangazo yote yanasema ( yanataja ) muda wa Mechi kuanza na kama haitoshi ungeingia tu Google au katika Mtandao wa Simba SC au CAF Online ungejua muda na access hiyo unayo. Nachukia mno Mijitu Minafiki, Mivivu na ya hovyo hovyo.
Nenda jumuiya kaiombee SIMBA SC.Punguza makasiriko mkuu wangu maisha yenyewe mafupi haya
Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
Kamwe usitutishe.Saa 1 kamili usiku, kama wewe ni shabiki wa Simba nakushauri kesho usiende uwanjani.