Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
Kumbe mechi ishachezwa? Mnawekeza kwenye ushirikina badala ya kusajili wachezaji wa maana, ushirikina utawafikisha wapi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kinachotakiwa ni Idadi ya Goli au Ushindi tu wa kukupa Alama ( Points ) Tatu ( 3 ) muhimu katika Kundi husika la CAFCL?Simba anaweza kushinda lakini sio kwa goli nyingi..
Mnajidanganya tuKwa tulichokifanya Mwenyezi Mungu tunakuomba utusamehe kwani hakuna namna tunahitaji Ushindi Kesho.
Hana pesaMungu ni WA Wote.
Matter of fact ni QUALITY.
Zile quality za akina Miquesson, Wawa, Lwanga, Morison, Bwalya, Kagere, Dilunga hazipo Tena.
Mo ANASHINDWA hata kusajili MANZOKI!!!!! SHAME
Waarabu washafungwa..japo mpaka jana saa sita usiku mzani ulikua kwa simba ila alfajiri ya leo "wazee" wanasema kuna msaliti kauza ramani..ndio wanaminyana hivi kurekebisha.Kwani kinachotakiwa ni Idadi ya Goli au Ushindi tu wa kukupa Alama ( Points ) Tatu ( 3 ) muhimu katika Kundi husika la CAFCL?
Mashabiki wakweli wachache mliobaki nchini japo kuna kipindi unazingua lakini una faida kubwa kwa mpira wa nchi hii. Uliyosema kuna watu wako Simba/Yanga hawataki yasemwe. Unakwenda kutafuta ubingwa wa Afrika kwa kutegemea KibuBoko?Mungu ni WA Wote.
Matter of fact ni QUALITY.
Zile quality za akina Miquesson, Wawa, Lwanga, Morison, Bwalya, Kagere, Dilunga hazipo Tena.
Mo ANASHINDWA hata kusajili MANZOKI!!!!! SHAME
Mpira huwa ni mrahisi sana kwa kuwataja wachezaji hivi ila shughuli halisi ipo uwanjaniKwenye kiungo cha juu, tunaanza na Phil kushoto, Chama kati na kulia Saidoo
Mbele Jean
ni kweli lakini ushindi unaanzia kwenye maandalizi na list.Mpira huwa ni mrahisi sana kwa kuwataja wachezaji hivi ila shughuli halisi ipo uwanjani