Wana simba tukiingia robo fainali CAFL mwaka huu tuchinje tembo kabisa na kufanya party kubwa

Wana simba tukiingia robo fainali CAFL mwaka huu tuchinje tembo kabisa na kufanya party kubwa

CHIZI VITABU

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2021
Posts
1,061
Reaction score
2,477
Yes ndiyo nimesema kwa sababu ya mechi ya utopolo, nimegundua tu kwamba mzungu wetu ni very stubborn yaani ana ka system chake fulani hakana plan b

Tusijipe ugonjwa wa moyo kwamba eti nusu fainali WE SHOULD FORGET ABOUT IT hii ngoma inaweza kufia makundi kabisa hata robo fainali tukifika tuombe ruhusa ya kuchinja tembo na nyati tufanye party ya Simba day part 2 pale Taifa kwa kweli

Yaani striker number moja kwamba GOMEZ anaamka asubuhi akiwa anakata gogo yuko na pen na karatasi anaandika ni MUGALU? Lord have mercy.... dah

Haya bana aaaaaa tusubiri tu ila kila la heri kingine kinachonitisha ni kushuka kwa morale za wachezaji hawa.. Kagere, Zimbwe na mbaya zaidi Manula
 
Wachezaji hawaonyeshi kama wana ubunifu katika kukaba, kushambulia, kujipanga wakati wakiwa na mpira hata baada ya kunyang'anywa mpira.

Uthubutu na uharaka katika kutoa, na kupiga mpira hakuna.

Wachezaji wanategeana katika kukaba adui.

Sioni mshambuliaji mwenye "sharp minded" ndani ya 18 wakiwa katika eneo la adui.

Timu (ya Botswana) tunayoenda kucheza nayo ina wachezaji vijana na wanajiandaa kwa kuisoma Simba, kwa mchezo wa dharau, kutojituma uwanjani hata hatua hii kutoboa ni ngumu.
 
Bro nashanga sana kusikia malengo ni nusu fainali nafikiri hapa January Mugalu, Gomez waondoke aje kocha mwingine na Okwi basi tu kwa kweli Gomez amchukue kijana wake Mugalu wakatafute team tukubali msimu huu umekula kwetu niko tayari kumeza maneno yangu ila sioni hata utayari wa wachezaji wetu kupambana kabisaaaa ni mwisho wa reli
 
Yes ndiyo nimesema kwa sabnbu ya mechi ya utopolo ,nimegundua tu kwamba mzungu wetu ni very stubborn yaani ana ka system chake flani hakana plan b...
Unamaanisha makombe yote kayabeba kwa plan A tu na kafika Robo fainali kwa plan A hiyo hiyo ila kufungwa na Yanga eti hana plan B haya tuambie plan A ya mwalimu Da Rosa ilikuwa ipi na ulitaka acheze ipi ambayo ingeipa ushindi Simba?
 
bro nashanga asana kusikia malengo ni nusu fainali nafikiri hapa january mugalu, Gomez waondoke aje kocha mwingine na okwi basi tu kwa kweli Gomez amchukue kijana wake mugalu wakatafute team tukubali msimu huu umekula kwetu niko tayari kumeza maneno yangu ila sioni hata utayari wa wachezaji wetu kupambana kabisaaaa ni mwisho wa reli
We ulitaka malengo yawe yapi ndugu yangu? Afu ubaya wa timu ni upi? Kama hawajitumi mbona hawajafungwa 5?
 
Unamaanisha makombe yote kayabeba kwa plan A tu na kafika Robo fainali kwa plan A hiyo hiyo ila kufungwa na Yanga eti hana plan B haya tuambie plan A ya mwalimu Da Rosa ilikuwa ipi na ulitaka acheze ipi ambayo ingeipa ushindi Simba?
sawa mkuu naheshimu maoni yako ila ukisikia kigoma mwisho wa reli benchi la ufundi limegota kabisa , no plan b kubali tu utopolo kwa sasa ni moto , tusubiri miujiza ya MUGAluuuuu
 
Acha ujinga wewe kaoge kwanza
Ulitaka Nani afungwe
Yaan mpira ni kama haemophrodite yaan atakae muwahi mwenzake anamuingizia mkuyenge anabeba mimba

Kwa hiyo mikia watulie utopolo wamewawahi watulie tuli wabebe mimba
 
Acha ujinga wewe kaoge kwanza
Ulitaka Nani afungwe
Yaan mpira ni kama haemophrodite yaan atakae muwahi mwenzake anamuingizia mkuyenge anabeba mimba

Kwa hiyo mikia watulie utopolo wamewawahi watulie tuli wabebe mimba
ebanaaa congo tosimbana maboko congo elooonga eeeh Rdc congo eeee congooo eeeee , ya mugaluuuu congo eeeee maboko ya matakooo
 
Wachezaji hawaonyeshi kama wana ubunifu katika kukaba,kushambulia,kujipanga wakati wakiwa na mpira hata baada ya kunyang'anywa mpira...
Ni kweli kwa timu hii na mpira huu na kocha huyu na striker huyu, HATUTOBOI.
 
Hapa cha msingi ni kuthamini urafiki wa Gomez na Mugalu uendelee.
Nadhani wana kitu flani cha pamoja.
 
Mkuu denooJ nakupa salamu
Boss anauza chama na Miquissone halafu ananunua yutong buses used na press conference inaitishwa

Bila kusahau press conference ya match hamkuja kwa hofu ya kulogwa
 
Unamaanisha makombe yote kayabeba kwa plan A tu na kafika Robo fainali kwa plan A hiyo hiyo ila kufungwa na Yanga eti hana plan B haya tuambie plan A ya mwalimu Da Rosa ilikuwa ipi na ulitaka acheze ipi ambayo ingeipa ushindi Simba?
Gomes kocha wa kawaida ila alikuwa anatembelea uwezo wa Chama na Miqson.

Sijashangaa kusikia hana vyeti. Mugalu anakosa magoli na bado anabaki mpaka dakika tisini zinaisha.
 
Mashabiki wa Simba punguzeni munkari...msimu wa mashindano ukianza timu itakaa sawa tu.
 
Thread nyingi unajaza server ya jf kisa Simba kufungwa, hii sio mara ya kwanza muache wenge la kitoto.
Tafuta kazi ya kufanya mbona hatujui hata unazo threads ngapi kwani limit ya kuanzisha threads ipo?
Punguani wahed hujui jf ni users generated contents kama hujui kuanzisha threads tulia usome za wenzako na wapi walikuambia servers zao zimejaa?
 
sawa mkuu naheshimu maoni yako ila ukisikia kigoma mwisho wa reli benchi la ufundi limegota kabisa , no plan b kubali tu utopolo kwa sasa ni moto , tusubiri miujiza ya MUGAluuuuu
Duhhhh! Bado nahitaji uniambie plan A ilikuwa ipi na B ilipaswa kuwa ipi maana unaweza kuwa unamlaumu kocha for nothing
Kama timu inatengeneza nafasi kocha hana la ziada maana kufunga sio kazi yake ni ya walioko uwanjani
 
Mashabiki wa Simba punguzeni munkari...msimu wa mashindano ukianza timu itakaa sawa tu.
Hapana tunahoji ukaribu wa Kocha Gomes na Mugulu.
Jamaa ktk mechi kubwa zote hafanyi cha maana zaidi ya kupoteza nafasi za wadi.
Gomez hataki kabisa kumsabu,
Kuna Kagere kuna Kibu Dennis yeye kamganda Mugalu tu.
Kocha ana chuki za wazi kwa Kigere kisa
Wakala wa Kagere alimwambia kuwa anaua kiwango cha mchezaji wake kwa makusudi kwa kumsugulisha benchi.
Simba tumechoka na Jinamizi la Gomez na Mugalu.
 
Gomes kocha wa kawaida ila alikuwa anatembelea uwezo wa Chama na Miqson.

Sijashangaa kusikia hana vyeti. Mugalu anakosa magoli na bado anabaki mpaka dakika tisini zinaisha.
Ni kocha wa kawaida ila ameifikisha timu Robo Fainali ya Klabu bingwa Africa

Ninyi ndo wale mliodai Guardiola anatembelea nyota ya Messi ila leo hii kawaprove wrong
 
Duhhhh! Bado nahitaji uniambie plan A ilikuwa ipi na B ilipaswa kuwa ipi maana unaweza kuwa unamlaumu kocha for nothing
Kama timu inatengeneza nafasi kocha hana la ziada maana kufunga sio kazi yake ni ya walioko uwanjani
Hapana mimi nimekuwa muumini sana wa kocha ila jana nishaanza kuhisi kachanganyikiwa au yuko under pressure y akupanga baadhii ya wachezaji..tuanze na dilunga hakuna kitu jana kimewachanganya wana yanga kama Djuma shabani kushindwa kupanda kwa kusumbuliwa na dilunga ile sub ya HD ni uamuzi wa hovyo sana Djuma akaanza kupanda sasa Zimbwe akachanganyikiwa mwishowe kutolewa

Kuhusu Mugalu mimi sina la kusema bana nimechoka naskia anakula mtu mkubwa pale simba ukiongea tunaambiwa ni striker mkabaji

binafsi nilitarajia kibu aanze ,and why bwalya awekwe namba 10 tangu lini jamani mbaya zaidi akisaidiana na jinga kama mugalu?

jinsi dakika zilivyokuwa zinaenda ni wazi kwamba mzungu hana wasiwasi na kibarua chake wachezaji wame relax sbaabu tumewadekeza mno wanhitaji amshamasha hawa hat kuzomewa akili ziwakae sawa
 
Ni kocha wa kawaida ila ameifikisha timu Robo Fainali ya Klabu bingwa Africa

Ninyi ndo wale mliodai Guardiola anatembelea nyota ya Messi ila leo hii kawaprove wrong
Utattea sna na leo kazi unayo tembea facebook,instagram na twitter katetee mugalu na rafiki yake da Rosa watu wamechafukwa nipe sababu moja ya Mugalu kucheza dk 90 siyo jana tu na vipi kuhusu HD kutolewa?
Yule aliyekuwa anapiga chenga hadi makipa na kupasia jinga mugalu hayuko tena safari hafungi hata goals 3 msimu huu
 
Back
Top Bottom