CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
- Thread starter
- #21
Robo kitu gani bwanaaaa ...alikuja Omog aliyeipa ubingwa wa kombe la shirikisho afrika AC leopards ya congo brazaville, akaaipa ubingwa simba na akafukuzwa leo yuko mtibwa , sembuse huyu mpenzi wake mugalu?Ni kocha wa kawaida ila ameifikisha timu Robo Fainali ya Klabu bingwa Africa
Ninyi ndo wale mliodai Guardiola anatembelea nyota ya Messi ila leo hii kawaprove wrong