Wana Teknolojia nina Swali: Bora kununua mid-ranger smartphone mpya au flagship used ya miaka 2 iliopita?

Wana Teknolojia nina Swali: Bora kununua mid-ranger smartphone mpya au flagship used ya miaka 2 iliopita?

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Nna swali kidogo.

Kwa mwaka huu mfano 2024, ukawa una Million 1 tu ya kutumia kununua simu.

Ni bora kununua hizi simu za uwezo wa kati (mid-rangers) mfano Samsung Galaxy A55 mpya kabisa…
IMG_0344.jpeg
au ni bora kwa gharama iyo iyo ukanunua flagship (high performance smartphone) ila used ya miaka miwili au mitatu iliopita mfano Galaxy S22?
IMG_0342.jpeg

Vitu vya kuzingatia:
  • Camera
  • Battery/Charge
  • Performance
  • Updates
  • Quality
 
Nna swali kidogo.

Kwa mwaka huu mfano 2024, ukawa una Million 1 tu ya kutumia kununua simu.

Ni bora kununua hizi simu za uwezo wa kati (mid-rangers) mfano Samsung Galaxy A55 mpya kabisa…View attachment 3120344au ni bora kwa gharama iyo iyo ukanunua flagship (high performance smartphone) ila used ya miaka miwili au mitatu iliopita mfano Galaxy S22?
View attachment 3120345
Vitu vya kuzingatia:
  • Camera
  • Battery/Charge
  • Performance
  • Updates
  • Quality
Unaweza kujikuta unanunua simu kwa gharama kubwa eti sababu ya camera tu.

Wakati hizo picha unazopiga wala hazikuingizii kitu chochote na huziuzi. Zaidi ya kujaza Gallary
 
Nna swali kidogo.

Kwa mwaka huu mfano 2024, ukawa una Million 1 tu ya kutumia kununua simu.

Ni bora kununua hizi simu za uwezo wa kati (mid-rangers) mfano Samsung Galaxy A55 mpya kabisa…View attachment 3120344au ni bora kwa gharama iyo iyo ukanunua flagship (high performance smartphone) ila used ya miaka miwili au mitatu iliopita mfano Galaxy S22?
View attachment 3120345
Vitu vya kuzingatia:
  • Camera
  • Battery/Charge
  • Performance
  • Updates
  • Quality
Kwani umeshapata mshahara wako 😂😂😂
 
Unaweza kujikuta unanunua simu kwa gharama kubwa eti sababu ya camera tu.

Wakati hizo picha unazopiga wala hazikuingizii kitu chochote na huziuzi. Zaidi ya kujaza Gallary
Duh! Hii comment inachekesha, maisha yanavipengele vingi, tunapozungumzia maisha mazuri ni kupata pesa na kuitumia kwa yale uyapendayo, sasa kama kazi yako ni kuuza tu uta enjoy kaburini?
 
Back
Top Bottom