Wana Teknolojia nina Swali: Bora kununua mid-ranger smartphone mpya au flagship used ya miaka 2 iliopita?

Wana Teknolojia nina Swali: Bora kununua mid-ranger smartphone mpya au flagship used ya miaka 2 iliopita?

IMG_0352.jpeg
 
Inategemea priority yako ni nini. Kama ni performance na camera basi flagship ya 2 years back ni option nzuri. Ila kama priority ni kukaa na chaji basi mid range zitafaa zaidi. Changamoto kwenye hizi flagships zilizotumika ni kupata ambayo iko kwenye condition nzuri. Matapeli nao ni wengi. Binafsi tangu 2020 natumia old flagships na hazinisumbui. Sitaki kabisa kusikia habari za A series.
 
Ishu bongo ujanjaujanja mwingi utapewa simu inaoverheat , battery haikai kuwa makini na izo used hasa ukizingatia simu wengi tunatumia 4+ years ndo kuabdili chukua mid-range kwenye official stores
 
Inategemea priority yako ni nini. Kama ni performance na camera basi flagship ya 2 years back ni option nzuri. Ila kama priority ni kukaa na chaji basi mid range zitafaa zaidi. Changamoto kwenye hizi flagships zilizotumika ni kupata ambayo iko kwenye condition nzuri. Matapeli nao ni wengi. Binafsi tangu 2020 natumia old flagships na hazinisumbui. Sitaki kabisa kusikia habari za A series.
Ni kitambo sijanunia simu, kwahiyo buying experience imebadirika esp issue ya kuuziwa simu ya wizi, na iliobambikiwa spare ambayo baada ya muda mfupi inaanza kusumbua.
 
Ishu bongo ujanjaujanja mwingi utapewa simu inaoverheat , battery haikai kuwa makini na izo used hasa ukizingatia simu wengi tunatumia 4+ years ndo kuabdili chukua mid-range kwenye official stores
Yaani hakuna muuzaji mkweli. Utabahatisha wewe itakua nzima nikienda mimi majanga.
 
Kwa Zahoro Matelephone… Galaxy S24 laki 7 na ukinunua anakupatia TV bure.
Hv huwa sielewi zile simu zake anatoa wapi? Ufafanuzi mkuu..
Niliona tangazo s22 700k plus tv aliyon kama zawadi
 
Hv huwa sielewi zile simu zake anatoa wapi? Ufafanuzi mkuu..
Niliona tangazo s22 700k plus tv aliyon kama zawadi
Dubai anasema. Unashangaa S22 shangaa S24 plus, kwa 850k.

Nawajua watu wawili wamenunua kwake.

Mmoja Note 20 mwingine S10+

Wa Note 20 ilienda Fresh.

Wa S10+ after week ikaanza majanga, akaenda akawasha moto wakambadirishia zaidi ya siku 3 ya tatu ndio anayo mwaka wa pili.

Used ni pata potea.
 
Dubai anasema. Unashangaa S22 shangaa S24 plus, kwa 850k.

Nawajua watu wawili wamenunua kwake.

Mmoja Note 20 mwingine S10+

Wa Note 20 ilienda Fresh.

Wa S10+ after week ikaanza majanga, akaenda akawasha moto wakambadirishia zaidi ya siku 3 ya tatu ndio anayo mwaka wa pili.

Used ni pata potea.
Duuh! Nilikuwa nampango wa kwenda hapo moyo ukawa unasita.
Asante
 
Ishu bongo ujanjaujanja mwingi utapewa simu inaoverheat , battery haikai kuwa makini na izo used hasa ukizingatia simu wengi tunatumia 4+ years ndo kuabdili chukua mid-range kwenye official stores
Kuna jamaa wanajiita phonepoint wapo mtaa wa samora,used zao kidogo uhakika sio kama used za aggrey
 
Midrange ya 2024 inaweza kuwa na specifications nzuri kuliko flagship ya 2020, just so you know!
 
Tafta atleast simu za mjapan mana haziko over hype ila nyingi Kali, watakuambia spare zake adimu ila zinapatikana mkuu 😁😁😁,

Hizo Flagship high end nyingi wanaziwekea viripuzi/mabomu na spyware kama zote hususani iPhone.

Samsung Kwa mmarekani akiambiwa afanye chochote hachomoi mana anaogopa kufungiwa play store.

Mmarekani na Israel ni wahuni sana waulize Lebanon...
No pun intended
 
Back
Top Bottom