Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Nashangaa watu wanapotutisha hawa Waarabu koko ni wepesi tu kama tukijipanga vizuri hawatoki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea tu Kuwadanganya Wenzako.Nashangaa watu wanapotutisha hawa waarabu koko ni wepesi tu kama tukijipanga vizuri hawatoki.
View attachment 2391524
Wepesi yu hawa wala hatutishikiWACHEZAJI WENYE THAMANI
WA CLUB AFRICAIN
1. LARRY AZOUNI
Nafasi: Kiungo Mshmbuliaji...
Kwa hiyo yanga ni sawa na mazembe?Nashangaa watu wanapotutisha hawa Waarabu koko ni wepesi tu kama tukijipanga vizuri hawatoki.
View attachment 2391524
Halafu TP Mazembe ya 2019 ilikuwa tishio kweli kweli si kama hii ya sasa!!Kwavile mazembe alimfunga 8 kwahiyo na nyie mnajilinganisha na mazembe,,, kweli vyura miko nyuma inawachoma sawasawa akili zenu matope matope tu
Kaeni kwa kutulia sisi ndio yanga tutawashangaza.Halafu TP Mazembe ya 2019 ilikuwa tishio kweli kweli si kama hii ya sasa!!
Nashangaa watu wanapotutisha hawa Waarabu koko ni wepesi tu kama tukijipanga vizuri hawatoki. View attachment 2391524
Jumapili yanajirudia haya. Nimekaa naangalia mapovu
Hapo si mpaka mtakapoweza kujipanga sasa!!kila siku hiyo kauli ya KUJIPANGA"mnaisema kinachowashinda kujipanga ni nini?Nashangaa watu wanapotutisha hawa Waarabu koko ni wepesi tu kama tukijipanga vizuri hawatoki.
View attachment 2391524
Hapana umewapeleka mbali sana, waache kwanza tuwalainishe tarehe 23 ili jamaa wakija wawamalize kiulani na washike adabu ya kukurupuka na makelele ya mitandaoni na midomoni iwakae sawaDah utopolo mnaweweseka sana aisee. Nyie tulieni dawa iwaingie taratibu. Tar 2 na 9 tutapata majibu acheni kutapatapa.