Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
Uto hawanaga akili, ni kama vile walivoona TP Mazembe B kaipiga Al Hilal goal moja sijui tatu mechi ya kirafiki wakasema lazima afe apigwe kama ngoma na wafuzu makundi ila yaliyowakuta wanayajuaKwavile mazembe alimfunga 8 kwahiyo na nyie mnajilinganisha na mazembe,,, kweli vyura miko nyuma inawachoma sawasawa akili zenu matope matope tu
Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app