Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
CluelessMkataba unavyonjwa kwa makubaliano huwa hamna malipo ni tiketi tu ya kurudi kwenu,gamondi alishaondoka bro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CluelessMkataba unavyonjwa kwa makubaliano huwa hamna malipo ni tiketi tu ya kurudi kwenu,gamondi alishaondoka bro
Tff hawakusema kuwa watamkata gamondi juu kwa juu masna hawana contact na mshahara wa gamondi bali watakata yanga juu kwa juu,kwani fedha za klabu zote za ligi kuu zinapita tffTff waliposema gamond akilipwa pesa yake wanakata juu kwa juu milioni 2 yao ya faini waliyompiga gamondi walikuwa wanamaanisha hela gani?
that is the fact,the only money that a person will have to be paid is there is any arreas,in his payment but he had been paid fully on the termination of the contract on mutual agreement,the coach is not liable to be paid anything more than the travel cost and allowancesClueless
Your English doesn't change a thingthat is the fact,the only money that a person will have to be paid is there is any arreas,in his payment but he had been paid fully on the termination of the contract on mutual agreement,the coach is not liable to be paid anything more than the travel cost and allowances
Nimekwamia hapa. Umeandika lugha inafanana na Kingereza lakini sio kingerezawill have to be paid is there is any arreas
ok hapo nimekuelewa sasaNimekwamia hapa. Umeandika lugha inafanana na Kingereza lakini sio kingereza
Dada hamia huku update AmaniHuu ni msimu wa 3 sijawahi kukosa mechi yoyote ya Yanga ya kimataifa hapa nyumbani ila hii sitoenda, uamuzi wa kumfuta kazi Gamondi umenikera sana.
Timu ikishinda sawa, isiposhinda sawa pia.
Mimi ni mnyama, lakini tendo la Kumtimua Gamondi si kizuri..Tena mimi nataka tupoteze sasa, viongozi wajifunze kufanya maamuzi kwa busara.
Hersi sifa zimempanda kichwani, bado sioni kosa la kuondolewa Gamondi.
Hapana hilo yanga halitatokeaMimi ni mnyama, lakini tendo la Kumtimua Gamondi si kizuri..
Ombeni Ramovic ashinde, la sivyo Yanga muda si Mrefu tutamsikia kocha kuwa wachezaji hawafundishiki, Kama yale yale ya BENCHIKA, tusubiri wakati utaongea
Naomba kuuliza wewe ni chizi kweli au unajifanya chizi?Tff hawakusema kuwa watamkata gamondi juu kwa juu masna hawana contact na mshahara wa gamondi bali watakata yanga juu kwa juu,kwani fedha za klabu zote za ligi kuu zinapita tff
Mbona unaongea kama namjua sana Hersi?unajua sababu za kuondoka Gamondi?Tena mimi nataka tupoteze sasa, viongozi wajifunze kufanya maamuzi kwa busara.
Hersi sifa zimempanda kichwani, bado sioni kosa la kuondolewa Gamondi.
Unampenda mtu kulikon Timu?Huu ni msimu wa 3 sijawahi kukosa mechi yoyote ya Yanga ya kimataifa hapa nyumbani ila hii sitoenda, uamuzi wa kumfuta kazi Gamondi umenikera sana.
Timu ikishinda sawa, isiposhinda sawa pia.
Nakazia hapo hapoMbona unaongea kama namjua sana Hersi?unajua sababu za kuondoka Gamondi?
Na kabla Gamond hajaja Yanga ulikuwa unamjua?
Mpira wa sasa una chanamoto sana, unaweza kuwa na kikosi bora, kocha bora lakini msisahau kuna kubeti pia. Hii kamari inachangia sana kwenye kuharibu soka letu.Nimemsikia akisema siku 6 hazitoshi kwa kocha yeyote yule duniani.
Lakini hilo sijui kama wanajali waajiri wake. Sidhani kama wana huo uvumilivu wa kupoteza mechi mbili na bado wakaendelea kubaki na kocha.
Nafikiri una huzuni kudondoka gorofa la Kariakoo, kumbe unamsema kipara ngoto.Bado tuna huzuni ya kuondoka Gamondi.
Unajipa umuhimu usiokuwa naoHuu ni msimu wa 3 sijawahi kukosa mechi yoyote ya Yanga ya kimataifa hapa nyumbani ila hii sitoenda, uamuzi wa kumfuta kazi Gamondi umenikera sana.
Timu ikishinda sawa, isiposhinda sawa pia.
Hapa mada ni yanga na sio mporomoko wa jengo kkoo.Nafikiri una huzuni kudondoka gorofa la Kariakoo, kumbe unamsema kipara ngoto.