BANDOKITITA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,484
- 2,852
Ha ha ha ha, 👍Hapa mada ni yanga na sio mporomoko wa jengo kkoo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha ha, 👍Hapa mada ni yanga na sio mporomoko wa jengo kkoo.
Hakika sifa zimemzidia adi anaanza kuharibu, Gamondi hata kama angeondolewa haikupaswa kuwa wakati huu.Tena mimi nataka tupoteze sasa, viongozi wajifunze kufanya maamuzi kwa busara.
Hersi sifa zimempanda kichwani, bado sioni kosa la kuondolewa Gamondi.
Ngoja tuone hii german machine itatupa nini cha kumzidi gamondi, na huyu akipoteza mechi kadhaa zijazo anaweza akauona mwaka mpya kwa taabu sana.Nimemsikia akisema siku 6 hazitoshi kwa kocha yeyote yule duniani.
Lakini hilo sijui kama wanajali waajiri wake. Sidhani kama wana huo uvumilivu wa kupoteza mechi mbili na bado wakaendelea kubaki na kocha.
Kamfate Gamondi huko alipo achana na Yanga tuone kama kuna kitu utakipunguzaHuu ni msimu wa 3 sijawahi kukosa mechi yoyote ya Yanga ya kimataifa hapa nyumbani ila hii sitoenda, uamuzi wa kumfuta kazi Gamondi umenikera sana.
Timu ikishinda sawa, isiposhinda sawa pia.
Kumbe wewe ulikuwa unampenda mtu na sio timu, sasa Gamondi kafukuzwa na moto ndio unawashwa tena ni kama betri linalochajiwa na upya baada ya charge kuisha. Uchawi wako na unafiki wenu mtashushuka, aliyemleta Gamondi ndio huyo huyo aliyemleta Saed.Tena mimi nataka tupoteze sasa, viongozi wajifunze kufanya maamuzi kwa busara.
Hersi sifa zimempanda kichwani, bado sioni kosa la kuondolewa Gamondi.
Unasemaa!?!Kama kawaida tunasubiri tiketi za buree
Wanateseka sana