Wana Yanga SC hebu 'tuchangishane' upesi 'tukamlipie' Msemaji wetu Hassan Bumbuli 'Faini' yake TFF kwani GSM na Injinia Hersi ni kama 'wamemtosa' vile

Wana Yanga SC hebu 'tuchangishane' upesi 'tukamlipie' Msemaji wetu Hassan Bumbuli 'Faini' yake TFF kwani GSM na Injinia Hersi ni kama 'wamemtosa' vile

Sitaki kuamini kuwa ni kweli hiyo faini haijalipwa TFF na yeye mwenyewe Bumbuli au klabu yake. Kiukweli kama yeye hakuwa na uwezo wa kulipa ilipaswa waajiri wake Yanga wamlipie. Iwapo waajiri wake hawajalipa basi ni kwamba hawamtaki kwa hiyo Bumbuli akatafute shughuli nyingine sasa. Kwa upande mwingine nitamlaumu sana Bumbuli iwapo alikosa pesa ya kulipa faini halafu akakaa kimya wakati Yanga ina mashabiki mamilioni ni kiasi tu cha kuondoa aibu na kuwaambia ukweli kuwa hana milioni 5 za faini na zingechangwa ndani ya dakika kumi tu kupitia mitandaoni.
 
Naomba ateuliwe Mwanachama Mmoja hapa na awe ni mwana Yanga SC Mwenzetu kabisa kama nilivyo Mimi GENTAMYCINE ili tuweze kufanya 'Mobilization' ya 'Michango' hadi ipatikane Tsh Milioni Tano na 'tumkabidhi' Msemaji wetu Hassan Bumbuli ambaye Klabu yetu ya Yanga na hadi 'Wadhamini' wetu GSM chini yake Injinia Hersi ni kama 'wamemtosa' vile na Yeye Bumbuli nae hana hata Pesa.

Wanayanga Wenzangu hebu tufuteni 'Aibu' hii haiwezekani Msemaji wa Simba SC Haji Manara Yeye ameweze Kulipa 'Faini' yake ya Tsh Milioni Tano tena zote akizitoa katika Mfuko wake ( hajasaidiwa na Klabu yake ya Simba SC ) halafu Sisi wanayanga ambao tunajua kabisa kuwa Msemaji wetu Hassan Bumbuli ni 'Choka Mbaya' mno tunamuacha tu hivi hivi.

Inauma sana wanayanga Wenzangu na sijui ni kwanini Simba SC huwa 'inatushinda' kwa kila Jambo. au Yanga SC nayo iwe ndani ya Simba SC?
Siku zote viluilui wakiwa kwenye dimbwi la matope wanarundikana pamoja na kuwa na mshikamano wa kuchezea tope, mmoja akipatwa na tatizo tu.....wengine wote wanakimbila kutoka ndani ya maji kuja nje kutafuta maji mengine, matokeo yake wanakwama mchangani na kukauka na jua kwa kukosa maji na hivi ndivyo viluilui wa Jangwani walivyo. Kelele nyingi mtandaoni ila wakipatwa na tatizo wao ni kulia tu lakini kuchangiana kwa jambo la maana hawataki.
 
Sitaki kuamini kuwa ni kweli hiyo faini haijalipwa TFF na yeye mwenyewe Bumbuli au klabu yake. Kiukweli kama yeye hakuwa na uwezo wa kulipa ilipaswa waajiri wake Yanga wamlipie. Iwapo waajiri wake hawajalipa basi ni kwamba hawamtaki kwa hiyo Bumbuli akatafute shughuli nyingine sasa. Kwa upande mwingine nitamlaumu sana Bumbuli iwapo alikosa pesa ya kulipa faini halafu akakaa kimya wakati Yanga ina mashabiki mamilioni ni kiasi tu cha kuondoa aibu na kuwaambia ukweli kuwa hana milioni 5 za faini na zingechangwa ndani ya dakika kumi tu kupitia mitandaoni.
Yanga wanadai pesa ya Tambwe, Dante zote hawajalipa halafu utegemee wamlipie bumbuli sahau hiyo kitu
 
Bumbuli angekua wa muhimu pale Yanga angeshalipiwa.
Hiyo ni pesa ya kawaida kwa mwajiriwa wa Yanga, Simba kuanzia mpate bwana wa kihindi mjini mnatembea vidole juu mkiwaza kulipiwa tu.
 
Hiyo ni pesa ya kawaida kwa mwajiriwa wa Yanga, Simba kuanzia mpate bwana wa kihindi mjini mnatembea vidole juu mkiwaza kulipiwa tu.
Na Yanga toka mumpate bwana mwarabu koko mnatembea makalio juu mkiwaza kuingiliwa tu
FB_IMG_1586931024261.jpg
 
Back
Top Bottom