kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,305
- 6,341
Wengine wameona shikamoo hazitoki kwa wakati wameamua kuwagonga makofi benchi la ufundi,mana nalo linapaswa kutoa shikamoo kila asubuhiMugalu kaingia mitini [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine wameona shikamoo hazitoki kwa wakati wameamua kuwagonga makofi benchi la ufundi,mana nalo linapaswa kutoa shikamoo kila asubuhiMugalu kaingia mitini [emoji23] [emoji23] [emoji23]
𝚗𝚊𝚘𝚗𝚊 𝚣𝚒𝚕𝚎 4𝙶 𝚋𝚊𝚍𝚘 𝚣𝚒𝚗𝚊𝚔𝚞𝚙𝚊 𝚠𝚎𝚗𝚐𝚎Bwana Mungalu hapendi ujinga ujinga! Ujanja Wa kizamani zamani hauna nafasi tena shwain!View attachment 1557431
𝚠𝚎 𝚞𝚝𝚘𝚙𝚘𝚕𝚘 𝙺𝚠𝚊𝚗 𝚞𝚗𝚊𝚝𝚎𝚜𝚎𝚔𝚊Wengine wameona shikamoo hazitoki kwa wakati wameamua kuwagonga makofi benchi la ufundi,mana nalo linapaswa kutoa shikamoo kila asubuhi
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Naona laana za Makonda zishaanza kukuandama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂Nikiwa kama mwana Yanga SC tena Mwanachama wake kabisa GENTAMYCINE mapema kabisa kabla hata 'Dirisha' la Usajili halijafungwa Usiku wa leo nakuwa wa Kwanza kabisa Kupinga 'Usajili' huu 'Mbovu' kabisa wa hawa Wachezaji akina Kisinda, Sarpong na Tonombe badala yake nataka akina Yikpe, Molinga na Tshishimbi 'warejeshwe' Kikosini upesi sana tu.
Endapo tu Uongozi wa Yanga SC hautanisikiliza Mimi GENTAMYCINE basi huenda leo hii hii nikajiunga rasmi kuwa Mshabiki wa Simba SC iliyo bora.