Wana Yanga tukubaliane japo kwa hili

Wana Yanga tukubaliane japo kwa hili

BANDOKITITA

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2022
Posts
1,484
Reaction score
2,852
Kukubali ukweli siku zote siyo udhaifu bali ni sehemu ya kujisahihisha. Ukweli ni kwamba USM Algers siyo TP Mazembe, Marumo Gallants, Rivers Wala Monastry. Wakati mwingine ni ngumu kwenda vitani huku ukiamini kuwa hutarejea, lazima ufe, ila uamini usiamini ukweli utabaki kuwa kurudi kwako ukiwa hai ni % ndogo sn.

Kwa hili Wananchi na viongozi kujiaminisha kwa 💯% kuwa lazima mrudi na kombe ktk mechi ya leo ni sawa na kujitekenya mwenyewe na kucheka mwenye. Mwisho wa siku matamanio yetu yanaposhindwa kufikiwa ndiyo utaskia flani kafa kwa pressure, mara kiongozi flani hafai atupishe au kocha huyu siyo wa kimaifa, level zake ni Mbeya City nk.

Wananchi kujiandaa kisaikolojia nayo ni njia sahihi ya kutibu ugonjwa wa akili. Kulileta Tanzania kombe la shirikisho kwa mechi ya leo ni zaidi ya maajab ya ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.

NB:,
Heri kufa kiume kuliko kufa kikondoo.

Tukutane saa 4:00 usiku.
 
Ww vp hata ugiriki wakati akicheza na Ureno, uwezo ulikuwa ardhi na mbingu, Ureno walikuwa na watu wenye talent Figo na Ronaldo kwenye ubora wao kwenye ardhi ya Ureno, Fainali ya Ueropa still Ugiriki hakuingia na unyonge na still akachukua kombe kwenue ardhi ya Ureno.

Au wewe unataka tuingie uwanjani na mentality ya tutafungwa tayari? Wewe hujiulizi kwa nini kila mzazi anamwambia mtoto wake alikuwa wa kwanza unajua kisaikojia ina maana gani.

Arsenal na ubovu wake wote ila ilipindua matokeo ya 3-1 aliyofungwa na Inter Highbury, akampiga Inter Milan ktk ubora wake San Ciro 5-1.


Japo chance ni ndogo ila sio kwamba haiwezekani, watu wengine mpira hamu hujui bora mtuachie timu yetu.
 



WAARABU WAKIWAKARIBISHA UARABUNI.
 
Ww vp hata ugiriki wakati akicheza na Ureno, uwezo ulikuwa ardhi na mbingu, Ureno walikuwa na watu wenye talent Figo na Ronaldo kwenye ubora wao kwenye ardhi ya Ureno, Fainali ya Ueropa still Ugiriki hakuingia na unyonge na still akachukua kombe kwenue ardhi ya Ureno.

Au wewe unataka tuingie uwanjani na mentality ya tutafungwa tayari? Wewe hujiulizi kwa nini kila mzazi anamwambia mtoto wake alikuwa wa kwanza unajua kisaikojia ina maana gani.

Arsenal na ubovu wake wote ila ilipindua matokeo ya 3-1 aliyofungwa na Inter Highbury, akampiga Inter Milan ktk ubora wake San Ciro 5-1.


Japo chance ni ndogo ila sio kwamba haiwezekani, watu wengine mpira hamu hujui bora mtuachie timu yetu.
Nimesema
Ww vp hata ugiriki wakati akicheza na Ureno, uwezo ulikuwa ardhi na mbingu, Ureno walikuwa na watu wenye talent Figo na Ronaldo kwenye ubora wao kwenye ardhi ya Ureno, Fainali ya Ueropa still Ugiriki hakuingia na unyonge na still akachukua kombe kwenue ardhi ya Ureno.

Au wewe unataka tuingie uwanjani na mentality ya tutafungwa tayari? Wewe hujiulizi kwa nini kila mzazi anamwambia mtoto wake alikuwa wa kwanza unajua kisaikojia ina maana gani.

Arsenal na ubovu wake wote ila ilipindua matokeo ya 3-1 aliyofungwa na Inter Highbury, akampiga Inter Milan ktk ubora wake San Ciro 5-1.


Japo chance ni ndogo ila sio kwamba haiwezekani, watu wengine mpira hamu hujui bora mtuachie timu yetu.
Haya yote nayajua ila kukaa kisaikolojia kunaongeza afya ya akili.
 
Wewe ulitaka viongozi waongeje au ulitaka awambie sisi huku tumekuja kufungwa,si ndio unacho maanisha.
Wangewaambia "tupo kwenye mapambano, lolote linaweza kutokea hivyo tuwe tayari maana mpira una matokeo ya ajabu na kikatili sn". Kwa mashaabiki wangesema "mpira una matokeo 3, kushinda, kushindwa, na kudroo/sare hivyo uvumilivu unahitajika". Siyo muda wote useme positively tu. Na kusema Kila kitu positively hata km ni kwa mtoto wako wakati unajua hana huo uwezo inakuwa kejeli/dhihaka kwake kutoka kwako. Je viongozi wanakejli/kudhihaki mashaabiki na wachezaj? Maana hadi sasa matokeo wanayajua.
 
Wangewaambia "tupo kwenye mapambano, lolote linaweza kutokea hivyo tuwe tayari maana mpira una matokeo ya ajabu na kikatili sn". Kwa mashaabiki wangesema "mpira una matokeo 3, kushinda, kushindwa, na kudroo/sare hivyo uvumilivu unahitajika". Siyo muda wote useme positively tu. Na kusema Kila kitu positively hata km ni kwa mtoto wako wakati unajua hana huo uwezo inakuwa kejeli/dhihaka kwake kutoka kwako. Je viongozi wanakejli/kudhihaki mashaabiki na wachezaj? Maana hadi sasa matokeo wanayajua.
Kuyajua matokeo si kwamba huwezi kupindua matokeo,japo chance ni ndogo.

Bila kusema positively Furgusion hasingeitwa Sir,alikuwa na uwezo si kuongea na mtu mmoja mmoja,alikuwa na uwezo wakumjenga mtu ambaye ana uwezo wa kawaida na akaperform kwenye mechi kubwa. Bila kuwa kusema positively leo Leicester City hasingekuwa bingwa,bila kuongea positively leo hii Ugiriki hisinge andika history ya kuchukua ubingwa,kwenye ardhi ya Ureno walio andaa kombe, bila Gerald kuongea na wenzake Liverpool wasinge chomoa goli tatu ndani ya dk 7 kwenye fainali ya UEFA dhidi ya AC milan ,goli la kwanza akifunga yy mwenyewe Gerald kwa mpira wa kona.

Kwenye mechi zenye maamuzi always lazima uongee tena kwa kumaanisha kwamba tunaenda kuchukua trophy na ndivyo leo hii tuna wakina Claudio Raniel, Steve Gerald, Alex Ferguson, Paulo Maldini,Sergio Ramos hawa pamoja walikuwa bora kwenye kazi zao ila wana uwezo mkubwa wa kuongea nawachezaji,hawa walikuwa wanaongea tena kwa amri wakati timu ipo kwenye hali mbaya kuboost hali za wachezaji na ndio maana leo malegend.

Mechi ya leo ni ya maamuzi so lazima uamue na kwa Yanga hamna maamuzi mengine zaidi ya kushinda zaidi ya mbili au tofauti ya goli moja kuanzia magoli matatu,tukikosa basi ila lazima kila mchezaji akilini mwake aweke Yanga inataka kombe.
 
Ni mfano tu! Burudi waazisha Vita na Afrika kusini, jibu la haraka ni nani atakuwa mshindi? Burundi = Yanga, Afrika kusini = Algeria.
 
Naaaam sheheeeeeee,arba bin sufur sheeh naaam naam naaam!al wahida mujarabu waila adhin wasalatu sheikh.
 
Kukubali ukweli siku zote siyo udhaifu bali ni sehemu ya kujisahihisha. Ukweli ni kwamba USM Algers siyo TP Mazembe, Marumo Gallants, Rivers Wala Monastry. Wakati mwingine ni ngumu kwenda vitani huku ukiamini kuwa hutarejea, lazima ufe, ila uamini usiamini ukweli utabaki kuwa kurudi kwako ukiwa hai ni % ndogo sn.

Kwa hili Wananchi na viongozi kujiaminisha kwa 💯% kuwa lazima mrudi na kombe ktk mechi ya leo ni sawa na kujitekenya mwenyewe na kucheka mwenye. Mwisho wa siku matamanio yetu yanaposhindwa kufikiwa ndiyo utaskia flani kafa kwa pressure, mara kiongozi flani hafai atupishe au kocha huyu siyo wa kimaifa, level zake ni Mbeya City nk.

Wananchi kujiandaa kisaikolojia nayo ni njia sahihi ya kutibu ugonjwa wa akili. Kulileta Tanzania kombe la shirikisho kwa mechi ya leo ni zaidi ya maajab ya ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.

NB:,
Heri kufa kiume kuliko kufa kikondoo.

Tukutane saa 4:00 usiku.
Kolomatako uwa mnajua kudandia sherehe zisizowahusu, nani kakwambia kwamba tunaitaji ushauri wenu? Ebu tuonyeshe ata medali yà kuiba ya caf cònfederation cup? Wenzako wameweka alama isiyofutika nyie mmebaki kuwa na wivu wa kike kuna siku mtavalishwa madela kisha mpelekewe moto kwampalange
 
Yanga kaingia makundi kwa kushinda ugenini.
Yanga kaongoza kundi kwa kushinda mechi za ugenini.
Yanga kavuka robo kwa kushinda ugenini.
Yanga kaingia fainali kwa kushinda ugenini.
Na leo anachukua kombe kwa kushinda ugenini.
 
Back
Top Bottom