njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Siku zote tunawaambia wanayanga kwamba Hajj Manara ndiye mwenye uchungu na team hiyo anayoipigania kwa moyo mmoja bila kujali maslahi ya pesa
Kitendo cha kuweza kuvitoa virusi sugu viitwavyo Nugaz na Bumbuli hapo klabuni vimemuongezea credit sana kwa wanazi wa yanga, jinsi alivyompa makavu Karia kule Arusha ilidhihirisha ni mwanajeshi kwelikweli aliye tayari kuipigania klabu yake hiyo ya utotoni
Sasa baada ya visa vyote vya Tff kumfungia Manara, kusimamisha biashara yake ya pafyumu, kufungia wachezaji wa yanga hovyohovyo bado Rais Hersi anasema hawana shida na TFF? kweli jamani?
Haya, wewe endelea tu utakipata unachokitaka, mitaa imekasirika inasimama na Jenerali Manara maana hata ahadi yako ya kujenga uwanja wa kisasa pale jangwani ushaanza kuichengesha
Kitendo cha kuweza kuvitoa virusi sugu viitwavyo Nugaz na Bumbuli hapo klabuni vimemuongezea credit sana kwa wanazi wa yanga, jinsi alivyompa makavu Karia kule Arusha ilidhihirisha ni mwanajeshi kwelikweli aliye tayari kuipigania klabu yake hiyo ya utotoni
Sasa baada ya visa vyote vya Tff kumfungia Manara, kusimamisha biashara yake ya pafyumu, kufungia wachezaji wa yanga hovyohovyo bado Rais Hersi anasema hawana shida na TFF? kweli jamani?
Haya, wewe endelea tu utakipata unachokitaka, mitaa imekasirika inasimama na Jenerali Manara maana hata ahadi yako ya kujenga uwanja wa kisasa pale jangwani ushaanza kuichengesha