Wana Yanga wachukizwa na kauli ya Hersi kuhusu TFF

Wana Yanga wachukizwa na kauli ya Hersi kuhusu TFF

Sema we jamaa una IQ kubwa sana.
Siku zote tunawaambia wanayanga kwamba Hajj Manara ndiye mwenye uchungu na team hiyo anayoipigania kwa moyo mmoja bila kujali maslahi ya pesa

Kitendo cha kuweza kuvitoa virusi sugu viitwavyo Nugaz na Bumbuli hapo klabuni vimemuongezea credit sana kwa wanazi wa yanga, jinsi alivyompa makavu Karia kule Arusha ilidhihirisha ni mwanajeshi kwelikweli aliye tayari kuipigania klabu yake hiyo ya utotoni

Sasa baada ya visa vyote vya Tff kumfungia Manara, kusimamisha biashara yake ya pafyumu, kufungia wachezaji wa yanga hovyohovyo bado Rais Hersi anasema hawana shida na TFF? kweli jamani?

Haya, wewe endelea tu utakipata unachokitaka, mitaa imekasirika inasimama na Jenerali Manara maana hata ahadi yako ya kujenga uwanja wa kisasa pale jangwani ushaanza kuichengesha


View attachment 2366850View attachment 2366852
Kama mna machungu sana na TFF itisheni kikao cha wanachama, Mwenyekiti awe Manara halafu mjitangaze kujitoa kwenye mashindano yote yanayosimamiwa na TFF. Ila fanyeni hivyo kama kweli ninyi ni wanaume na sio Mandonga!!
 
Siku zote tunawaambia wanayanga kwamba Hajj Manara ndiye mwenye uchungu na team hiyo anayoipigania kwa moyo mmoja bila kujali maslahi ya pesa

Kitendo cha kuweza kuvitoa virusi sugu viitwavyo Nugaz na Bumbuli hapo klabuni vimemuongezea credit sana kwa wanazi wa yanga, jinsi alivyompa makavu Karia kule Arusha ilidhihirisha ni mwanajeshi kwelikweli aliye tayari kuipigania klabu yake hiyo ya utotoni

Sasa baada ya visa vyote vya Tff kumfungia Manara, kusimamisha biashara yake ya pafyumu, kufungia wachezaji wa yanga hovyohovyo bado Rais Hersi anasema hawana shida na TFF? kweli jamani?

Haya, wewe endelea tu utakipata unachokitaka, mitaa imekasirika inasimama na Jenerali Manara maana hata ahadi yako ya kujenga uwanja wa kisasa pale jangwani ushaanza kuichengesha


View attachment 2366850View attachment 2366852
Sasa ndo nimeamini Njaakalinihatari ni nani ni ......
 
Kama mna machungu sana na TFF itisheni kikao cha wanachama, Mwenyekiti awe Manara halafu mjitangaze kujitoa kwenye mashindano yote yanayosimamiwa na TFF. Ila fanyeni hivyo kama kweli ninyi ni wanaume na sio Mandonga!!
Inamaana Manara huko Yanga keshanzq kuwashika nasikio na kujitangazia Ufalme kuliko rais wake!
Mqnara kashakuwa Boss Yanga! 😁

Hakya nani huyu mdudu lazima awalize Yanga!
 
RaIs wetu anatumia hekima na busara tofauti na Manara huwa ni mtu wa kukurupuka hii ndiyo maana ya tofauti zetu hapa duniani.
 
Back
Top Bottom