Wana Yanga wenzangu kinachoenda kufanyika Sudan na Al Hilal siyo mpira ni vita!

Hivi kwanini hawa Wasudani wanaachiwa kufanya watakalo kwenye michuano hii ya CAF..!

Kipindi kile Al Ahly Shendi walifanya vurugu sana dhidi ya Simba SC

Hata kama Yanga wanawakusudia kuwanyonga, ndo wawanyonge kwenye giza kweli...?!
Ngoja waoneshwe fitna zilivyo wao SI mabingwa wa fitna bongo!
 
Hiyo mechi haitoonyeshwa utakuja kunambia [emoji28] it's matter of time

Lisemwalo lipo kama halipo laja
Master mechi lazima itaoneshwa na tena taarifa ya approval itatolewa muda mfupi kukiwa kumesalia masaa kadhaa ya mchezo kuanza
 
Tumepagawa na nini sasa! Just wait and see.
 
Imagine mchezaji kama Bernard Morrison, eti unamtishia nyau! Aisee anakumaliza. Yaani hao Wasudan waombee Nabi aanzishe tu kikosi dhaifu!

Ila akipanga kikosi chake kwa usahihi, kiukweli uwezekano wa kufuzu ni mkubwa sana.
Uwezekano wa kuwapiga kama ngoma, sio? Mtakuja kukataana humu ndani[emoji23]
 
Kwasababu gani.. kwani sheria za Fifa zinasemaje?

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Haijalishi. Yanga ina wachezaji wenye uzoefu na haya mashindano. Hivyo kubali tu lolote linaweza kutokea. Huo mchecheto wa hao Waarab, ni ushahidi tosha wamewaheshimu wapinzani wao.
Tutaona
 
Wiki ngumu hii kwa Yanga aisee
 
Yanga ni nzuri akichezesha Arajiga
 
Kwahiyi mwamba alivyosema Yanga ni team kubwa kuliko Al Hilal kakosea? Si nyinyi ndo mlikuwa mkijinadi hivyo?
 
Sio kwamba wanawahofia la

Hapo ni kama wanazoofisha na kuwaua psychologically usishangae wakaongeza vitisho zaidi ili wachezaji kuwatia wasi wasi
Sasa mkuu hii dunia ya sasa nani asiyezijua mind games mpaka saivi? Hawa wana mambo yao tu hawataki yawe addressed kwenye tv.

Au niambie wewe unahisi ni kwa sababu gani wamegomea hii match kuonyeshwa kwenye tv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jipe moyo ndugu,huko ugenini mlienda lini? Zaidi ya kupigwa ndani nje na Rivers
 
Wao wanaona hii leo Hilal kafanya figisu kubwa saana, wanasahau wao waliacha uwanja mzuri wakawapekeka Pyramids Kirumba kwenye uwanja mbaya [emoji23].
 
Sisi hatutaki kujua wala kuona Yanga kafa vipi tunachotaka kujua ni kafa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…