Wana yanga wenzangu tukubali tu kuwa hapa tumepigwa

Wana yanga wenzangu tukubali tu kuwa hapa tumepigwa

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Mimi kama mwanayanga lialia nimeumia sana na hizi jezi za msimu huu. Hivi aliyedizain ni nani? Mbona analeta masighara na brand yetu?

Hivi kweli sisi ni wa kutuwekea magodauni kwenye jezi zetu? Msimu uliopita mlituvalisha misukule msimu huu mmeamua kutuletea magofu na machinjio hii haikubaliki.

BB828149-67F5-4203-95B0-C8EA35D18C6F.jpeg


934EDC70-05C7-4F27-AED4-62E66E843CF7.jpeg
 
Wewe umewahi kuwa mbunifu hata wa chupi Yako?, Ushabiki maandazi wakudhani WATU wote wanafikiria kipuuz kama!!. Hebu tuletee wazo lako ulilolitoa kichwan na kuliwasilisha katika muonekano Ili tukupime na huu ukosoaji wakijinga!
 
Wewe umewahi kuwa mbunifu hata wa chupi Yako?, Ushabiki maandazi wakudhani WATU wote wanafikiria kipuuz kama!!. Hebu tuletee wazo lako ulilolitoa kichwan na kuliwasilisha katika muonekano Ili tukupime na huu ukosoaji wakijinga!
Kama kitu ni kibaya tusiseme kisa hatuna taaluma hiyo?kama jezi ni mbaya ni mbaya bwana
 
Kama kitu ni kibaya tusiseme kisa hatuna taaluma hiyo?kama jezi ni mbaya ni mbaya bwana
Wewe kama umeona n kibaya ni upande wako, usitake Kila mtu aamini unachoamin wewe. Afu mbona sio lazima kununua wewe kama shabiki usinunue basi tuone kama hazitanunulika. Unapoteza muda Kwa vitu vya kipumbavu kujadili jambo ambalo hakikuingizi kitu 😊. Upuuzi
 
Mimi kama mwanayanga lialia nimeumia sana na hizi jezi za msimu huu. Hivi aliyedizain ni nani? Mbona analeta masighara na brand yetu?

Hivi kweli sisi ni wa kutuwekea magodauni kwenye jezi zetu? Msimu uliopita mlituvalisha misukule msimu huu mmeamua kutuletea magofu na machinjio hii haikubaliki.

View attachment 2308067

View attachment 2308068
Alisikika mat1akipayuka
 
Kinachoshangaza ni kuwa Simba wamepaniki na Jezi za Yanga. Kutwa kuzitoa kasoro as if wameombwa wavae wao.

Yanga wenyewe wako poa ila makolo-solo sasa!
Tatzio sisi Yanga ni wanafiki

Jana kuna kolo alianzisha uzi wa jezi zilizo leak kabla ya kutangazwa rasmi

Asilimia kubwa ya wana Yanga tuliziponda zile jezi na kusema haiwezekani tukawa na uchafu kama huo

Lakini baada ya kutambulishwa na kuona ni zile zile ambazo mdau alizi post masaa machache kabla ya uzinduzi, watu wote tumebadilisha kauli zetu na saizi tunaanza kuwaona wanaoziita mbaya ni haters.
 
Wewe kama umeona n kibaya ni upande wako, usitake Kila mtu aamini unachoamin wewe. Afu mbona sio lazima kununua wewe kama shabiki usinunue basi tuone kama hazitanunulika. Unapoteza muda Kwa vitu vya kipumbavu kujadili jambo ambalo hakikuingizi kitu [emoji4]. Upuuzi
Punguza jazba,unawafokea watu kisa tu wanatoa maoni ambayo wewe hupendi kuyasikia.
 
Wewe umewahi kuwa mbunifu hata wa chupi Yako?, Ushabiki maandazi wakudhani WATU wote wanafikiria kipuuz kama!!. Hebu tuletee wazo lako ulilolitoa kichwan na kuliwasilisha katika muonekano Ili tukupime na huu ukosoaji wakijinga!
Acha makasiriko ile misukule ya mwaka jana imepata pa kuhamia 😅😅😅
 
Mimi kama mwanayanga lialia nimeumia sana na hizi jezi za msimu huu. Hivi aliyedizain ni nani? Mbona analeta masighara na brand yetu?

Hivi kweli sisi ni wa kutuwekea magodauni kwenye jezi zetu? Msimu uliopita mlituvalisha misukule msimu huu mmeamua kutuletea magofu na machinjio hii haikubaliki.

View attachment 2308067

View attachment 2308068
Pole sana mkuu,Watu wabaya sana.
 
Shida ya Yanga ni kuwa na uswahiba na CCM! Siku wakitofautisha siasa na mpira hii timu itafika mbali!! Sasa eti unajaza jezi makolokolo ya ajabu eti timu inaitangaza nchi ??
 
Mimi kama mwanayanga lialia nimeumia sana na hizi jezi za msimu huu. Hivi aliyedizain ni nani? Mbona analeta masighara na brand yetu?

Hivi kweli sisi ni wa kutuwekea magodauni kwenye jezi zetu? Msimu uliopita mlituvalisha misukule msimu huu mmeamua kutuletea magofu na machinjio hii haikubaliki.

View attachment 2308067

View attachment 2308068
Sasa magodown ya magodoro yetu tutayatangazia wapi? Pesa zetu mnataka, lakini malizetu hamtaki tutangaze.
Ukipenda boga penda na maua take.
 
Back
Top Bottom