Wana yanga wenzangu tukubali tu kuwa hapa tumepigwa

Wana yanga wenzangu tukubali tu kuwa hapa tumepigwa

Safari hii wamepatikana,jamaa anataka kurusha ngumi kisa kaambiwa jezi mbayaa [emoji3][emoji3]
Wanajifanya wanaipenda ila deep inside wanatukana matusi ya nguoni😅😅😅😅
 
Nitanunua nyeusi ina nafuu,hakika wametuweza msimu huu. Tungeiba mchoro hawa wa jezi za arsenal,rangi nzuri kilichoharibu ni matando ya buibui na yale magofu.
 
Hii jezi ya magofu watavaa wachezaji tu niamini mimi wao watapambana na spider web
 
Wewe umewahi kuwa mbunifu hata wa chupi Yako?, Ushabiki maandazi wakudhani WATU wote wanafikiria kipuuz kama!!. Hebu tuletee wazo lako ulilolitoa kichwan na kuliwasilisha katika muonekano Ili tukupime na huu ukosoaji wakijinga!
Halafu kinachomshangaza hapo ni nini? Sisi wadhamini tuna maghala yetu, anataka tutangaze wapi? Kuhoji kwingine hakuna hata mantiki.
 
Mimi kama mwanayanga lialia nimeumia sana na hizi jezi za msimu huu. Hivi aliyedizain ni nani? Mbona analeta masighara na brand yetu?

Hivi kweli sisi ni wa kutuwekea magodauni kwenye jezi zetu? Msimu uliopita mlituvalisha misukule msimu huu mmeamua kutuletea magofu na machinjio hii haikubaliki.

View attachment 2308067

View attachment 2308068
Acha upumbavu iyo jezi ni kali sana acha unafiki wewe sio mwanayanga wewe
 
Mbunifu aliyekuwa anabuni jezi nzuri za Yanga ni mmoja tu tena alikuwa kiongozi, lakini baada ya kumleta huyu mbunifu wa nguo za kike ndio anatuletea jezi za round collar zenye maandishi na michoro kama gazeti la mipasho huku ushonaji na kitambaa kikiwa dhaifu sana.Wamechungulia uzwazwa wa mashabili kuwatengenezea jezi za kiwango kibovu kama yale ma korija feki na kuyauza kwa bei ile ile. Yakiwa kwenye karatasi la kifungashio yanawaka kweli litoe sasa ndio utaona yale ma nguo ya zamani yaliyoitwa mawingu
 
Ebwana nimejaribu kuangalia vizuri nimeona hadi makaburi na vyoo jamani tuseme ukweli sasa kuna uhusiano gani kati ya makaburi na vyoo na mpira kweli manara hakukosea kuwaita vinyesi
 
Mimi kama mwanayanga lialia nimeumia sana na hizi jezi za msimu huu. Hivi aliyedizain ni nani? Mbona analeta masighara na brand yetu?

Hivi kweli sisi ni wa kutuwekea magodauni kwenye jezi zetu? Msimu uliopita mlituvalisha misukule msimu huu mmeamua kutuletea magofu na machinjio hii haikubaliki.

View attachment 2308067

View attachment 2308068
Ushabiki wa kiswahili, hizi timu mbili ziba mashabiki waswahili sana na ndo kikwazo kikubwa cha wao kupiga hatua, Yanga na Simba zitakuja kupiga hatua siku huu uswahili kahawa ukiisha
 
Hamjajua tuu, Mleta uzi sio mwanaYanga..[emoji28][emoji28]
 
Tatzio sisi Yanga ni wanafiki

Jana kuna kolo alianzisha uzi wa jezi zilizo leak kabla ya kutangazwa rasmi

Asilimia kubwa ya wana Yanga tuliziponda zile jezi na kusema haiwezekani tukawa na uchafu kama huo

Lakini baada ya kutambulishwa na kuona ni zile zile ambazo mdau alizi post masaa machache kabla ya uzinduzi, watu wote tumebadilisha kauli zetu na saizi tunaanza kuwaona wanaoziita mbaya ni haters.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeeeh sanaa.
 
Shida ya Yanga ni kuwa na uswahiba na CCM! Siku wakitofautisha siasa na mpira hii timu itafika mbali!! Sasa eti unajaza jezi makolokolo ya ajabu eti timu inaitangaza nchi ??
Historia FC [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kinachoshangaza ni kuwa Simba wamepaniki na Jezi za Yanga. Kutwa kuzitoa kasoro as if wameombwa wavae wao.

Yanga wenyewe wako poa ila makolo-solo sasa!
Hawa ndiyo maana Ismail Aden Rage aliwaita mbumbumbu! Na ukitaka ujue ni mbumbumbu kweli; waulize tu zilipo zile bilioni 20 za mwekezaji, na mkataba mpya na mbet ni wa shilingi ngapi!

Badala ya kujibu kwa usahihi, na kwa kujenga hoja! utashangaa wanakimbilia kutukana matusi ya nguoni! Wako busy na jezi za Yanga, badala ya kuangalia mwenendo wa timu yao huko Misri!
 
Back
Top Bottom