[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ngowi kajua kuwapigaa kwenye mshono.Hawa ndiyo maana Ismail Aden Rage aliwaita mbumbumbu! Na ukitaka ujue ni mbumbumbu kweli; waulize tu zilipo zile bilioni 20 za mwekezaji, na mkataba mpya na mbet ni wa shilinhi ngapi!
Badala ya kujibu kwa usahihi, utashangaa wanakimbilia kutukana matusi ya nguoni! Wako busy na jezi za Yanga, badala ya kuangalia mwenendo wa timu yao huko Misri!
Kashike ukuta hukoMimi kama mwanayanga lialia nimeumia sana na hizi jezi za msimu huu. Hivi aliyedizain ni nani? Mbona analeta masighara na brand yetu?
Hivi kweli sisi ni wa kutuwekea magodauni kwenye jezi zetu? Msimu uliopita mlituvalisha misukule msimu huu mmeamua kutuletea magofu na machinjio hii haikubaliki.
View attachment 2308067
View attachment 2308068
We acha udwanzi hezi zimetengenezwa vzriMimi kama mwanayanga lialia nimeumia sana na hizi jezi za msimu huu. Hivi aliyedizain ni nani? Mbona analeta masighara na brand yetu?
Hivi kweli sisi ni wa kutuwekea magodauni kwenye jezi zetu? Msimu uliopita mlituvalisha misukule msimu huu mmeamua kutuletea magofu na machinjio hii haikubaliki.
View attachment 2308067
View attachment 2308068
Mimi kama mwanayanga lialia nimeumia sana na hizi jezi za msimu huu. Hivi aliyedizain ni nani? Mbona analeta masighara na brand yetu?
Hivi kweli sisi ni wa kutuwekea magodauni kwenye jezi zetu? Msimu uliopita mlituvalisha misukule msimu huu mmeamua kutuletea magofu na machinjio hii haikubaliki.
View attachment 2308067
View attachment 2308068
Hiyo picha kwenye profile hapo ndio wewe?Huyo ni wa upande wa pili,anajifanya eti Yanga kulia lia,mwambieni alete jezi aliyodizaini yeye,wala hatusumbui ndio kwanza wana Yanga wanazinunua hizo jezi mamia kwa mamia,ataona siku kilele cha wananchi wana yanga watakavyopendeza,wanaanga tupuuze huyo