Wana yanga wenzangu tukubali tu kuwa hapa tumepigwa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ngowi kajua kuwapigaa kwenye mshono.
Weraaaaaaaaaah, byuti byuti.
 
Kashike ukuta huko
 
We acha udwanzi hezi zimetengenezwa vzri
 
Jezi ziwe nzuri au mbaya ni juu yao si tunataka kabumbu la kueleweka uwanjani.
 
wewe ni SIMBA TUNAKUJUA, Asante kwa kutupromotia jezi
 
Uzi wa 3rd ni mzuri ila huo wa home dah NI M BAYA KINOMA YAANI...
 
Huyo ni wa upande wa pili,anajifanya eti Yanga kulia lia,mwambieni alete jezi aliyodizaini yeye,wala hatusumbui ndio kwanza wana Yanga wanazinunua hizo jezi mamia kwa mamia,ataona siku kilele cha wananchi wana yanga watakavyopendeza,wanaanga tupuuze huyo
 
Hiyo picha kwenye profile hapo ndio wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…