Mpenda vurugu
Member
- Apr 7, 2024
- 98
- 621
Hio system ipo tuma advansi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa inaingia na huitumii ina faida gani hiyoHawana stress, pesa inaingia kwa a/c zao
Jaribu kufuatilia hizi habari za kisayansi ndio utamjua huyo dada sunni williams na hata utatembea ndani ya kituo cha ISSBongo movie tu hiy picha kawapiga nani
Jaribu kufuatilia hizi habari za kisayansi ndio utamjua huyo dada sunni williams na hata utatembea ndani ya kituo cha ISS
View: https://www.youtube.com/watch?v=XD4T2zr6vt8
Hivi Kwa nini Huwa wanawapeleka Wanaanga Jinsia tofauti....!?Chombo cha Starliner kilichoundwa na kampuni ya Boieng hatimae kimeweza kuaondoka kutoka kituo cha anga cha ISS lakini bila kuwabeba abiria wake wawili kutokana na hofu za kiusalama baada ya chombo hicho kupata hitilafu tangu kiwasili huko.
Wanaanga wawili wa kimarekani mmoja mwanamume aitwaye Butch na mwengine mwanamke aitwaye Sunni Williams wataendelea kubaki kwenye kituo hicho mpaka mwezi Februari mwakani ambapo chombo kingine cha Space X kinatarajiwa kupelekwa kuwarudisha nyumbani.Wanaanga hao tayari wameshakaa muda mrefu huko kinyume na muda waliopangiwa kukaa.
View attachment 3089237
Msosi upo alafu hawako pekeyao kuna waliokwenda hivi karibuni so kinachotakiwa ni wao kurudi kwani muda wao kisheia kukaa kule umeisha alafu kabla ya wao kurudi kuna chombo kingine kitaenda cha nasa au au cha mrusi ila havitarudi nao kwani ni vya mizigo sio kupakia watu vyrnyewe ndo vitapeleka mahitajiMpaka mwaka kesho mwezi wa pili duu msosi vipi na maji huko au mahitaji mengine
Hujalitendea haqi Hilo jina lako "BANII ISRAAIIL"😆Msosi upo alafu hawako pekeyao kuna waliokwenda hivi karibuni so kinachotakiwa ni wao kurudi kwani muda wao kisheia kukaa kule umeisha alafu kabla ya wao kurudi kuna chombo kingine kitaenda cha falcon cha nasa au soyuz cha mrusi ila havitarudi nao kwani ni vya mizigo sio kupakia watu vyrnyewe ndo vitapeleka mahitaji
🤣🤣🤣Hio system ipo tuma advansi