Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Urusi wamefanya yaoChombo cha Starliner kilichoundwa na kampuni ya Boieng hatimae kimeweza kuaondoka kutoka kituo cha anga cha ISS lakini bila kuwabeba abiria wake wawili kutokana na hofu za kiusalama baada ya chombo hicho kupata hitilafu tangu kiwasili huko.
Wanaanga wawili wa kimarekani mmoja mwanamume aitwaye Butch na mwengine mwanamke aitwaye Sunni Williams wataendelea kubaki kwenye kituo hicho mpaka mwezi Februari mwakani ambapo chombo kingine cha Space X kinatarajiwa kupelekwa kuwarudisha nyumbani.Wanaanga hao tayari wameshakaa muda mrefu huko kinyume na muda waliopangiwa kukaa.
View attachment 3089237
Hapo walipo hapo ni anga za juu ya dunia tu.na hao wanaopigwa vimondo ni majini wanaokwenda kwa masuala ya kutafuta umbeya wa kufitinisha duniani.Allah doesn't know jamaa wapo huko maana alisema atakayekaribu kwenda anga za juu anampiga na vimondo..
Jaribu kufuatilia hizi habari za kisayansi ndio utamjua huyo dada sunni williams na hata utatembea ndani ya kituo cha ISS
View: https://www.youtube.com/watch?v=XD4T2zr6vt8
Jaribu kufuatilia hizi habari za kisayansi ndio utamjua huyo dada sunni williams na hata utatembea ndani ya kituo cha ISS
View: https://www.youtube.com/watch?v=XD4T2zr6vt8
Kwahiyo binadamu anaweza kuumba
nisaidie kunipendekezeaUngependa wende na nani ili usijihisi mpweke.
Gender equalityHivi Kwa nini Huwa wanawapeleka Wanaanga Jinsia tofauti....!?
Ww mpumbavu na urusi walio na chombo chao huko utasemaje? Urusihood acha ushamba bhana ww endelea kusema anaupiga mwingiNajua na nanafatalia nasa ni wango hy ni hollywood movie hamna jipya fatilia