Wanaanga walioko ISS washindwa kurudi ardhini. Mlango wa Boeing hautaki kufunguka

Wanaanga walioko ISS washindwa kurudi ardhini. Mlango wa Boeing hautaki kufunguka

Mi nadhani tungedeal na maswala ya duniani peke yake..hizo sayari nyingine zingeachwa kama zilivyo
Wapo duniani bado (lower orbit) sema wapo juu wanaiangalia dunia kwa mbali kiaina ukitaka kumuona vizuri tembo usimkaribie sana
 
Chombo cha Starliner kilichoundwa na kampuni ya Boieng hatimae kimeweza kuaondoka kutoka kituo cha anga cha ISS lakini bila kuwabeba abiria wake wawili kutokana na hofu za kiusalama baada ya chombo hicho kupata hitilafu tangu kiwasili huko.
Wanaanga wawili wa kimarekani mmoja mwanamume aitwaye Butch na mwengine mwanamke aitwaye Sunni Williams wataendelea kubaki kwenye kituo hicho mpaka mwezi Februari mwakani ambapo chombo kingine cha Space X kinatarajiwa kupelekwa kuwarudisha nyumbani.Wanaanga hao tayari wameshakaa muda mrefu huko kinyume na muda waliopangiwa kukaa.

View attachment 3089237
Wazungu wahuni waweza kuwa wanataka wajamiiane huko anga za juu na kujifungua halafu waje waseme huko juu binadamu anaweza kuishi ndio maana wamepeleka mwanaume na mwanamke
 
Hivi mpaka leo hawajawa wapenzi tu.
Hawaogi hawanyi nk. Kama wamo ndani ya chombo hizo huduma wanazipataje. Au kuna automatic outlet chamber.
 
Africa na waafrika tumetumwa duniani kuwasindikiza wenzetu.

People wapo so advanced kwenye sayansi.

Waseme vibaya ndio utajua intelijensia yao ipo viwango gani, ingilia madaraka yao katika kuumega mkate wa nchi uone wanavyokumaliza bila huruma.
Hakika, Inasikitisha sana
 
Wapo duniani bado (lower orbit) sema wapo juu wanaiangalia dunia kwa mbali kiaina ukitaka kumuona vizuri tembo usimkaribie sana
Ni vyema tuwapanulie elimu watu wetu.Sio akili kila siku ipo kwenye siasa tu.
 
Wazungu wahuni waweza kuwa wanataka wajamiiane huko anga za juu na kujifungua halafu waje waseme huko juu binadamu anaweza kuishi ndio maana wamepeleka mwanaume na mwanamke
Maelezo hayo subiri wafike Mars kama itawezekana.Hapo walipo bado ni duniani hata kwenye mwezi hawajafika.
Isipokuwa ni eneo zuri sana kiutalii kwani unaiona dunia yote ikizunguka chini yako.
Ukifika hapo ndio unajua kumbe dunia ni kitu kidogo sana kati ya viumbe vya Mungu.
 
Kimsingi ni mke na mume watu hao.
Haijalishi duniani wameacha baba watoto au mama watoto wao.
Kuchapiwa hakukwepeki👈
 
Kwa sayansi ya dunia najua wakishindwa warusi watachukua nafasi ya kuwarejesha duniani lakini pia hiyo kandarasi wangewapa bibi zangu wa Simiyu mbona chapu tu hakuna helcopter zinatembea kama zile
Bibi Ako mwsho wake wa kupaa ni urefu wa mnara wa simu ,kule ni mbali sana
 
Kimsingi ni mke na mume watu hao.
Haijalishi duniani wameacha baba watoto au mama watoto wao.
Kuchapiwa hakukwepeki👈
24hrs mpo kwa camera na vinasa sauti unless muwe ni amateur pornstars mcheze filam ya ngono ya ridhaa
 
Hapo walipo hapo ni anga za juu ya dunia tu.na hao wanaopigwa vimondo ni majini
So Allah akirusha vimondo na kika mpata jini anakufa? Au ndio kama mtu afukuzae nzi tu.. and Allah anarusha yeye vimondo kama mtu anayeangua maenbe au anatumi manati or something unaweza tuelezea nice story hii
wanaokwenda kwa masuala ya kutafuta umbeya wa kufitinisha duniani.
Mtume saw alipaa kwenda mbali sana ambako hakuna binadamu aliyewahi kufika na hata malaika si wote wanaoweza kufika huko isipokuwa wenye kazi maalum
Jibril ni Malaika au jini? Maana according hiyo metaphor story Mudy aliongozana na Jibril wamepanda punda buraq kama bodaboda jibril au mudy mbele na mudy mgongoni mwake And Aisha alisema usiku huo mwili wa Mudy ulikuwa kitandani hadi kunapambazuka.. story inasema alienda Kirkhope na kimwili.. bila uongo uislam unakufa..

According to Allah kuenda kwa Allah Malaika wanatumia speed ya mwanga inawachukua from lowest heaven to seven heaven miaka 1,000 kwemda na kirudi 1000.. ndio uongo Quran irusgushwa kidogo kidogo duniani kwa story hii kungekuwa na only chapter one ya Quran ambayo kwa sasa sio ya kwanza imebadilishwa wameweka Al fatiya.

Mudy ameenda kwa Allah alipanda Punda hatua moja ya punda ni mwisho wa upeo wa macho. Umbali wa mbingu ya Saba kwa calculator ya mudy bado hatafika hadi leo..

Mudy alisema mbingu moja hadi nyingine ukitumia kamba kushuka unatumia miaka 500 hahahaha
 
Iyo hofu tu walio nayo ni nzito sana ,hamu ya kupelekwa moto hakuna
Kwenye hicho kituo mpaka sasa hakujawahi kutokea vifo wala kuumwa.Sijui hali itakuwaje kwa hawa wanaanga,
 
So Allah akirusha vimondo na kika mpata jini anakufa? Au ndio kama mtu afukuzae nzi tu.. and Allah anarusha yeye vimondo kama mtu anayeangua maenbe au anatumi manati or something unaweza tuelezea nice story hii
Huoni kuwa unaharibu uzi?

Ukiyahitaji hayo fungua uzi wadau watakuja kuchangia.
 
Huoni kuwa unaharibu uzi?

Ukiyahitaji hayo fungua uzi wadau watakuja kuchangia.
Hypocrisy is a sign of Muslims. Wakifanya wao sawa ila wakifanyiwa wao sio sawa uzi unaharibika.. what is this tunaishi na kiuasilia na kiimani too... so watu wakinasa anga za juu kinachofuata ni imani. Tumeishi kwenye uongo wa kidini kwa muda mrefu now tunataka tuone kama yana ukweli au zilikuwa story za wajinga wa kale kuhadaa raia.. tusha proof hakuna Kitu Mwezini na anga za juu kweupe wadau wanasogea japo kwa shida ila mwendo mdogo mdogo na nia zipo.. Na vimondo vinaelea tu
 
Hypocrisy is a sign of Muslims. Wakifanya wao sawa ila wakifanyiwa wao sio sawa uzi unaharibika.. what is this tunaishi na kiuasilia na kiimani too... so watu wakinasa anga za juu kinachofuata ni imani. Tumeishi kwenye uongo wa kidini kwa muda mrefu now tunataka tuone kama yana ukweli au zilikuwa story za wajinga wa kale kuhadaa raia.. tusha proof hakuna Kitu Mwezini na anga za juu kweupe wadau wanasogea japo kwa shida ila mwendo mdogo mdogo na nia zipo.. Na vimondo vinaelea tu
Mkuu, ashakum si matusi!

Kama muislam akijisaidia hadharani nawe ufanye hivyo?

Sasa yupi ni yupi kama ninyi mliyo na dini mnafakamiana hivyo? Utofauti wenu utakuwa wapi?
 
Huu ndio muda wa wanaanga wa Tanzania kuingia kazini mana hawa NASA wanazingua sana
Wasukuma, waha, wazigua, Wafipa na wazee wangu waliomvutisha moshi wa bangi mzee R.I.P kule Ruangwa wapewe shift wala siyo ishu kubwa hiyo
 
Naomba kuuliza;
1. Ati ni kweli kwamba kule ISS huwezi kula mbususu kwa sababu lack of gravity inapelekea kufeli kwa Adindishile Mwakalobo hence failure of Europeans to be forcefully ejected?
 
Back
Top Bottom