ZEE LA UONGO
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,314
- 3,944
hao ndio waende kama pair au sioMimi namjua Mahandow tu dada yake Smart911.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hao ndio waende kama pair au sioMimi namjua Mahandow tu dada yake Smart911.
nichagulie mwinginez hao pair kabisa.. sitaki mambo ua kuchoma visuNakusudia uchague mmoja wao uende naye kama watapenda.
walipelekewa na chombo kingineSwali,wanakula nini na wanakunywa nini...?
aasee bado kuna watu wana mawazo ya hivi 2024Bongo movie tu hiy picha kawapiga nani
Tujikumbushe vipaumbele vya Lowasa.Bongo movie tu hiy picha kawapiga nani
Nani alithibitisha Hilo la Mtume kwenda za Mbali.Hapo walipo hapo ni anga za juu ya dunia tu.na hao wanaopigwa vimondo ni majini wanaokwenda kwa masuala ya kutafuta umbeya wa kufitinisha duniani.
Mtume saw alipaa kwenda mbali sana ambako hakuna binadamu aliyewahi kufika na hata malaika si wote wanaoweza kufika huko isipokuwa wenye kazi maalum
angalia meseji mkuu jina limesoma mura bwireHio system ipo tuma advansi
Ilikuwa ni vigumu kuamini enzi hizo safari hiyo.Watu wa Makka wakamhoji baadhi ya ishara za safari ya Israa kwanza na wakathibitisha ni kweli.Hivyo hiyo safari ya pili hakukuwa na shaka yoyote ileNani alithibitisha Hilo la Mtume kwenda za Mbali.
Tuma na ya kutoleaUmesema nini ?
Hivi wanaendaga kufanya nini eti?Kiwango cha mionzi kwenye miili yao wanaweza wakakauka kama samaki wa mbano kabla kurudi duniani.
Wanaenda kuichunguza Kizimkazi.Hivi wanaendaga kufanya nini eti?
😆😆😆Wapelekeane moto tu kama wapo honeymoon maana hadi warudi sijui lini
😀😀 nipo serious bana ningependa kujuaWanaenda kuichunguza Kizimkazi.
Hio ni maabara inayoelea angani wanafanya research ya mambo mengi sana, astronomy na meteorology, technology, biology, masuala mengi ya space n.k n.k....😀😀 nipo serious bana ningependa kujua
Mi nadhani tungedeal na maswala ya duniani peke yake..hizo sayari nyingine zingeachwa kama zilivyoHio ni maabara inayoelea angani wanafanya research ya mambo mengi sana, astronomy na metrology, technology, biology, masuala mengi ya space n.k n.k....
Hao wazungu unafikiri utawaweza, kuna mambo ya siri wanajua wao huko kwenye hizo sayari zingine na huko mwezini.Mi nadhani tungedeal na maswala ya duniani peke yake..hizo sayari nyingine zingeachwa kama zilivyo
Hakuna ubaya kwenda kule hata mimi natamani sana kwenda.Mi nadhani tungedeal na maswala ya duniani peke yake..hizo sayari nyingine zingeachwa kama zilivyo