Wanaanga walioko ISS washindwa kurudi ardhini. Mlango wa Boeing hautaki kufunguka

Wanaanga walioko ISS washindwa kurudi ardhini. Mlango wa Boeing hautaki kufunguka

Nikiangalia vitu kama hivi najikuta mnyonge sana kuujua ukweli kwamba sisi weusi na wazungu tunacho-share nao ni pumzi tu hakuna kingine(Africans kwa ujumla)

Yaani sisi toka tumejiita tumejitambua karne ya 20 huko leo tupo 21 century bado vipaumbele vyetu ni vile vile maji,barabara sijui kuboresha elimu elimu zenyewe kuboresheka haziboresheki wazungu wao wanawaza kuhama sayari sisi tunawaza tufanyeje tusiwe na mgao wa umeme.
Mkuu, na kutekana tu.
 
Binadamu bwana! Kwa hiyo wao wanataka wawe wanaenda na kurudi wanavyotaka wao,Kwanza unaenda kufanyaje kama hutaki kubakia? We kwako sayari yako ni duniani huko kungine mnadhani ndio mliumbwa kutawala kila kitu?
Mkuu ni kama vile wewe wa Kigoma lakini unatamani kwenda London
 
Msosi upo alafu hawako pekeyao kuna waliokwenda hivi karibuni so kinachotakiwa ni wao kurudi kwani muda wao kisheia kukaa kule umeisha alafu kabla ya wao kurudi kuna chombo kingine kitaenda cha nasa au au cha mrusi ila havitarudi nao kwani ni vya mizigo sio kupakia watu vyrnyewe ndo vitapeleka mahitaji
Mrusi tena awasaidie hawa wajinga??
 
Jaribu kufuatilia hizi habari za kisayansi ndio utamjua huyo dada sunni williams na hata utatembea ndani ya kituo cha ISS

View: https://www.youtube.com/watch?v=XD4T2zr6vt8

IMG_20220302_115525_094.jpg
 
Chombo cha Starliner kilichoundwa na kampuni ya Boieng hatimae kimeweza kuaondoka kutoka kituo cha anga cha ISS lakini bila kuwabeba abiria wake wawili kutokana na hofu za kiusalama baada ya chombo hicho kupata hitilafu tangu kiwasili huko.
Wanaanga wawili wa kimarekani mmoja mwanamume aitwaye Butch na mwengine mwanamke aitwaye Sunni Williams wataendelea kubaki kwenye kituo hicho mpaka mwezi Februari mwakani ambapo chombo kingine cha Space X kinatarajiwa kupelekwa kuwarudisha nyumbani.Wanaanga hao tayari wameshakaa muda mrefu huko kinyume na muda waliopangiwa kukaa.

View attachment 3089237
Nani amekata tamaa?
 
ISS siyo ya Mrusi peke yake, ni nchi zaidi ya 10 zinashiriki
Russia
Marekani
Canada
Japan
Nchi za Ulaya
Kilijengwa na Urusi.Na nchi zote zilizopewa maeneo humo ISS wakienda wanatumia vyombo vya warusi na wanaondokea Urusi eneo la Kazakhstan.Marekani baada ya miaka mingi ya majaribio ndio sasa wametengeneza vyombo vyao wenyewe kuwafikisha kwenye eneo lao.Kabla ya hapo wote walikuwa wanabebwa na mrusi mwenyewe.
 
Kilijengwa na Urusi.Na nchi zote zilizopewa maeneo humo ISS wakienda wanatumia vyombo vya warusi na wanaondokea Urusi eneo la Kazakhstan.Marekani baada ya miaka mingi ya majaribio ndio sasa wametengeneza vyombo vyao wenyewe kuwafikisha kwenye eneo lao.Kabla ya hapo wote walikuwa wanabebwa na mrusi mwenyewe.
HIyo nimeipata kwa AI
While Russia played a significant role in the construction and operation of the International Space Station (ISS), it wasn't created solely by Russia
The ISS is a collaborative project involving multiple countries, including:

United States: NASA
Russia: Roscosmos
Europe: ESA
Japan: JAXA
Canada: CSA
Each country has contributed modules, equipment, and expertise to the ISS, making it a truly international endeavor
 
Back
Top Bottom