Ngorunde
Platinum Member
- Nov 17, 2006
- 4,672
- 9,806
Hii post imenikumbusha Donald TrumpWapelekeane moto tu kama wapo honeymoon maana hadi warudi sijui lini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii post imenikumbusha Donald TrumpWapelekeane moto tu kama wapo honeymoon maana hadi warudi sijui lini
Mkuu, na kutekana tu.Nikiangalia vitu kama hivi najikuta mnyonge sana kuujua ukweli kwamba sisi weusi na wazungu tunacho-share nao ni pumzi tu hakuna kingine(Africans kwa ujumla)
Yaani sisi toka tumejiita tumejitambua karne ya 20 huko leo tupo 21 century bado vipaumbele vyetu ni vile vile maji,barabara sijui kuboresha elimu elimu zenyewe kuboresheka haziboresheki wazungu wao wanawaza kuhama sayari sisi tunawaza tufanyeje tusiwe na mgao wa umeme.
Kiwango cha mionzi kwenye miili yao wanaweza wakakauka kama samaki wa mbano kabla kurudi duniani.
Mkuu ni kama vile wewe wa Kigoma lakini unatamani kwenda LondonBinadamu bwana! Kwa hiyo wao wanataka wawe wanaenda na kurudi wanavyotaka wao,Kwanza unaenda kufanyaje kama hutaki kubakia? We kwako sayari yako ni duniani huko kungine mnadhani ndio mliumbwa kutawala kila kitu?
Kigoma kuna wakubwa wake na London kuna wakubwa na taratibu zake,usiende na kurudi unavyotaka wwMkuu ni kama vile wewe wa Kigoma lakini unatamani kwenda London
Mrusi tena awasaidie hawa wajinga??Msosi upo alafu hawako pekeyao kuna waliokwenda hivi karibuni so kinachotakiwa ni wao kurudi kwani muda wao kisheia kukaa kule umeisha alafu kabla ya wao kurudi kuna chombo kingine kitaenda cha nasa au au cha mrusi ila havitarudi nao kwani ni vya mizigo sio kupakia watu vyrnyewe ndo vitapeleka mahitaji
Niliposoma hiyo habari tu. Kilichonijia akilini ni hiki ulichoandika...Wapelekeane moto tu kama wapo honeymoon maana hadi warudi sijui lini
Jaribu kufuatilia hizi habari za kisayansi ndio utamjua huyo dada sunni williams na hata utatembea ndani ya kituo cha ISS
View: https://www.youtube.com/watch?v=XD4T2zr6vt8
Wapambane na hali zao ,,,,....mrusi aendeleze kichapo tu UkraineAnaweza kuwasaidia.Kwani kwenye ISS ni kama wageni wake tu ambao amewapa hadhi maalumu.
ISS siyo ya Mrusi peke yake, ni nchi zaidi ya 10 zinashirikiSio hivyo.Ni aibu tu Marekani peke yao.Kwani hicho kituo ni cha warusi na wao Wamarekani wamepewa eneo tu kwa hadhi maalum.
Wapo hapa hapa duniani wala siyo sayari nyingine. Sayari iliyo karibu na dunia ni Zuhura (umbali wa kilomita 40,000,000)Mi nadhani tungedeal na maswala ya duniani peke yake..hizo sayari nyingine zingeachwa kama zilivyo
Nani amekata tamaa?Chombo cha Starliner kilichoundwa na kampuni ya Boieng hatimae kimeweza kuaondoka kutoka kituo cha anga cha ISS lakini bila kuwabeba abiria wake wawili kutokana na hofu za kiusalama baada ya chombo hicho kupata hitilafu tangu kiwasili huko.
Wanaanga wawili wa kimarekani mmoja mwanamume aitwaye Butch na mwengine mwanamke aitwaye Sunni Williams wataendelea kubaki kwenye kituo hicho mpaka mwezi Februari mwakani ambapo chombo kingine cha Space X kinatarajiwa kupelekwa kuwarudisha nyumbani.Wanaanga hao tayari wameshakaa muda mrefu huko kinyume na muda waliopangiwa kukaa.
View attachment 3089237
Kilijengwa na Urusi.Na nchi zote zilizopewa maeneo humo ISS wakienda wanatumia vyombo vya warusi na wanaondokea Urusi eneo la Kazakhstan.Marekani baada ya miaka mingi ya majaribio ndio sasa wametengeneza vyombo vyao wenyewe kuwafikisha kwenye eneo lao.Kabla ya hapo wote walikuwa wanabebwa na mrusi mwenyewe.ISS siyo ya Mrusi peke yake, ni nchi zaidi ya 10 zinashiriki
Russia
Marekani
Canada
Japan
Nchi za Ulaya
Wengi mno na ccm ndo wanawapendaaasee bado kuna watu wana mawazo ya hivi 2024
Wapi na lini na nani kasema ,we ulimsikia????Allah doesn't know jamaa wapo huko maana alisema atakayekaribu kwenda anga za juu anampiga na vimondo..
HIyo nimeipata kwa AIKilijengwa na Urusi.Na nchi zote zilizopewa maeneo humo ISS wakienda wanatumia vyombo vya warusi na wanaondokea Urusi eneo la Kazakhstan.Marekani baada ya miaka mingi ya majaribio ndio sasa wametengeneza vyombo vyao wenyewe kuwafikisha kwenye eneo lao.Kabla ya hapo wote walikuwa wanabebwa na mrusi mwenyewe.