WanaCCM na 'Team Mbowe' waungana kumkabili Tundu Lissu

WanaCCM na 'Team Mbowe' waungana kumkabili Tundu Lissu

Omukisa

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
642
Reaction score
1,305
Tangu Lisu atangaze nia ya kugombea nafasi ya uwenyekiti ndani ya CHADEMA chama tawala hakina amani kabisa. WanaCCM wanaona bora Mbowe aendelee kuongoza chama.

Maswali ya kujiuliza.
  1. Kwanini CCM wametikisika baada Lisu kutangaza nia ya kugombea uwenyekiti wa CHADEMA?
  2. CCM inafaidika na nini Mbowe kubakia mwenyekiti wa Chadema?
  3. Huu umoja wao wakati wa uchaguzi una mlengo gani haswa?

Soma pia (CCM lialia ameandika)

 
Lissu yupo serious na kwenda ikulu. Namshauri kama Chadema wakizingua aanzishe chama kipya fasta,2025 anaingia ikulu kwa kishindo cha asilimia 95%.
Kabisa Lisu yupo serious ndiyo wapinzani wake wanaweweseka.
 
Hakuna mwenye akili Timamu na anayejitambua anayeweza kuunga mkono Lissu awe Mwenyekiti wa CHADEMA wakati anajua wazi kuwa hawezi kuongoza chama na wala hana uwezo huo.
 
Hakuna mwenye akili Timamu na anayejitambua anayeweza kuunga mkono Lissu awe Mwenyekiti wa CHADEMA wakati anajua wazi kuwa hawezi kuongoza chama na wala hana uwezo huo.
Tangu wanaccm mkawa na upendo kwa mpinzani hadi muwashauri mtu gani anafaa kuongoza CHADEMA?
 
Hakuna mwenye akili Timamu na anayejitambua anayeweza kuunga mkono Lissu awe Mwenyekiti wa CHADEMA wakati anajua wazi kuwa hawezi kuongoza chama na wala hana uwezo huo.
Kwani uongozi ni one man show au ni teamwork?
Mi nadhani atachangua team yake nzuri ya kumshauri na itafanya vizuri zaidi

Acha kukariri dogo
 
Tangu Lisu atangaze nia ya kugombea nafasi ya uwenyekiti ndani ya CHADEMA chama tawala hakina amani kabisa. WanaCCM wanaona bora Mbowe aendelee kuongoza chama.

Maswali ya kujiuliza.
  1. Kwanini CCM wametikisika baada Lisu kutangaza nia ya kugombea uwenyekiti wa CHADEMA?
  2. CCM inafaidika na nini Mbowe kubakia mwenyekiti wa Chadema?
  3. Huu umoja wao wakati wa uchaguzi una mlengo gani haswa?

Soma pia (CCM lialia ameandika)

Mkuu upo sawa ,yani post za wanaccm mpaka nashangaa ,imekuaje wamekua washauri ghafla wa chadema , wapenzi na wakereketwa? inashangaza sana
 
Back
Top Bottom