- Thread starter
- #21
Kabisa mkuu yani inashangaza sana. Upendo huu umetoka wapi?Mkuu upo sawa ,yani post za wanaccm mpaka nashangaa ,imekuaje wamekua washauri ghafla wa chadema , wapenzi na wakereketwa? inashangaza sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuu yani inashangaza sana. Upendo huu umetoka wapi?Mkuu upo sawa ,yani post za wanaccm mpaka nashangaa ,imekuaje wamekua washauri ghafla wa chadema , wapenzi na wakereketwa? inashangaza sana
Ukistaajabu ya Mchungaji Msigwa utayaona ya ccm hata aibu hawana hawa jamaaKabisa mkuu yani inashangaza sana. Upendo huu umetoka wapi?
Mabwabwa ya mama anaupiga mwingi yamekuwa machiz na mandondocha baada ya kusikia lissu anagombea chadema.Hakuna mwenye akili Timamu na anayejitambua anayeweza kuunga mkono Lissu awe Mwenyekiti wa CHADEMA wakati anajua wazi kuwa hawezi kuongoza chama na wala hana uwezo huo.
Hawana aibu hao ili mradi jambo lao limetimia. CHADEMA ijitafakari kwanini CCM wanapenda Mbowe abakie mwenyekiti.Ukistaajabu ya Mchungaji Msigwa utayaona ya ccm hata aibu hawana hawa jamaa
Kwani mbowe anatafuta nini tena?? Hakubali tu kuwa muda wake umeisha?Tangu Lisu atangaze nia ya kugombea nafasi ya uwenyekiti ndani ya CHADEMA chama tawala hakina amani kabisa. WanaCCM wanaona bora Mbowe aendelee kuongoza chama.
Maswali ya kujiuliza.
- Kwanini CCM wametikisika baada Lisu kutangaza nia ya kugombea uwenyekiti wa CHADEMA?
- CCM inafaidika na nini Mbowe kubakia mwenyekiti wa Chadema?
- Huu umoja wao wakati wa uchaguzi una mlengo gani haswa?
Soma pia (CCM lialia ameandika)
Pre GE2025 - Itakuwa ni uwendawazimu mkubwa kwa CHADEMA kumpa Lissu uenyekiti na kumuacha mwamba Mbowe
Ndugu zangu Watanzania, Nikiri wazi kuwa sijawahi kufikiria wala kuwazia wala kutizamia wala kuota wala kutarajia wala kuona Eti Lissu akichukua Fomu ya Kuomba Kuongoza CHADEMA kama Mwenyekiti wake Taifa. huu ni utani ,huu ni Mzaha anaoufanya Lissu kwa sababu hana uwezo huo wa kuongoza...www.jamiiforums.com
Kweli mkuuHawana aibu hao ili mradi jambo lao limetimia. CHADEMA ijitafakari kwanini CCM wanapenda Mbowe abakie mwenyekiti.
CCM hawataki Mbowe atoke.Kwani mbowe anatafuta nini tena?? Hakubali tu kuwa muda wake umeisha?
Chadema mnatafuta sababu za kumfukuza Lissu, CCM wanahusikaje? Ina maana Chadema hakiwezi kujisimamia hadi muwahusishe CCM?Tangu Lisu atangaze nia ya kugombea nafasi ya uwenyekiti ndani ya CHADEMA chama tawala hakina amani kabisa. WanaCCM wanaona bora Mbowe aendelee kuongoza chama.
Maswali ya kujiuliza.
- Kwanini CCM wametikisika baada Lisu kutangaza nia ya kugombea uwenyekiti wa CHADEMA?
- CCM inafaidika na nini Mbowe kubakia mwenyekiti wa Chadema?
- Huu umoja wao wakati wa uchaguzi una mlengo gani haswa?
Soma pia (CCM lialia ameandika)
Pre GE2025 - Itakuwa ni uwendawazimu mkubwa kwa CHADEMA kumpa Lissu uenyekiti na kumuacha mwamba Mbowe
Ndugu zangu Watanzania, Nikiri wazi kuwa sijawahi kufikiria wala kuwazia wala kutizamia wala kuota wala kutarajia wala kuona Eti Lissu akichukua Fomu ya Kuomba Kuongoza CHADEMA kama Mwenyekiti wake Taifa. huu ni utani ,huu ni Mzaha anaoufanya Lissu kwa sababu hana uwezo huo wa kuongoza...www.jamiiforums.com
Tunashangaa urafiki wa CCM kwa timu Mbowe unatoka wapi? Kwanini CCM imuogope Lisu hadi iungane na timu Mbowe.Chadema mnatafuta sababu za kumfukuza Lissu, CCM wanahusikaje? Ina maana Chadema hakiwezi kujisimamia hadi muwahusishe CCM?
Kuingiza Ccm katika mapambano yenu ni kutafuta huruma kwa wanachama wenu pambaneni wenyewe kwa wenyewe.Tangu Lisu atangaze nia ya kugombea nafasi ya uwenyekiti ndani ya CHADEMA chama tawala hakina amani kabisa. WanaCCM wanaona bora Mbowe aendelee kuongoza chama.
Maswali ya kujiuliza.
- Kwanini CCM wametikisika baada Lisu kutangaza nia ya kugombea uwenyekiti wa CHADEMA?
- CCM inafaidika na nini Mbowe kubakia mwenyekiti wa Chadema?
- Huu umoja wao wakati wa uchaguzi una mlengo gani haswa?
Soma pia (CCM lialia ameandika)
Pre GE2025 - Itakuwa ni uwendawazimu mkubwa kwa CHADEMA kumpa Lissu uenyekiti na kumuacha mwamba Mbowe
Ndugu zangu Watanzania, Nikiri wazi kuwa sijawahi kufikiria wala kuwazia wala kutizamia wala kuota wala kutarajia wala kuona Eti Lissu akichukua Fomu ya Kuomba Kuongoza CHADEMA kama Mwenyekiti wake Taifa. huu ni utani ,huu ni Mzaha anaoufanya Lissu kwa sababu hana uwezo huo wa kuongoza...www.jamiiforums.com
Sio kweli mkuu. Upendo CCM kwa Mbowe unatia mashaka.Kuingiza Ccm katika mapambano yenu ni kutafuta huruma kwa wanachama wenu pambaneni wenyewe kwa wenyewe.
Inawezekana maana naona wachache washaingia kwenye beat ya ccm.chadema ni kama wamepoteza fahamu
wanewashitukia ni kijiwe cha wahuni wasio na athari chanya kwa jamiiInawezekana maana naona wachache washaingia kwenye beat ya ccm.
ALishalitolea ufafanuzi hilo la kusajili Chama kipya...Msajili wa vyama atakubali kusajili Chama cha Lisu??Lissu yupo serious na kwenda ikulu. Namshauri kama Chadema wakizingua aanzishe chama kipya fasta,2025 anaingia ikulu kwa kishindo cha asilimia 95%.
🤔wanewashitukia ni kijiwe cha wahuni wasio na athari chanya kwa jamii
Kabisa inawezekana wanalipana fadhila. WanaCHADEMA shutukeni mapema.Sio jipya. CDM iliwahi ungana na CCM dhidi ya Magufuli. Nadhani majizi yanalipana fadhila sasa.
Kwamba CCM wanaona ni rahisi kuhandle Mbowe kuliko Lisu ama?Ni baada ya kutafakari hotuba ya Lissu,.ndio wamegunddua bora Mbowe kuliko Lissu.
CCM walipaswa kulijua hili mapema ila hiyo akili hawana.
Umezingatia matakwa ya sheria ama umejiandikia tu?Kama yupo serious na kwenda ikulu, akiona chadema wanazingua aanzishe chama chake. Atapata ushindi wa kishindo kwenye uchaguzi ujao kuanzia 95%