WanaCCM na 'Team Mbowe' waungana kumkabili Tundu Lissu

WanaCCM na 'Team Mbowe' waungana kumkabili Tundu Lissu

Hakuna mwenye akili Timamu na anayejitambua anayeweza kuunga mkono Lissu awe Mwenyekiti wa CHADEMA wakati anajua wazi kuwa hawezi kuongoza chama na wala hana uwezo huo.
Mabwabwa ya mama anaupiga mwingi yamekuwa machiz na mandondocha baada ya kusikia lissu anagombea chadema.
 
Ukistaajabu ya Mchungaji Msigwa utayaona ya ccm hata aibu hawana hawa jamaa
Hawana aibu hao ili mradi jambo lao limetimia. CHADEMA ijitafakari kwanini CCM wanapenda Mbowe abakie mwenyekiti.
 
Tangu Lisu atangaze nia ya kugombea nafasi ya uwenyekiti ndani ya CHADEMA chama tawala hakina amani kabisa. WanaCCM wanaona bora Mbowe aendelee kuongoza chama.

Maswali ya kujiuliza.
  1. Kwanini CCM wametikisika baada Lisu kutangaza nia ya kugombea uwenyekiti wa CHADEMA?
  2. CCM inafaidika na nini Mbowe kubakia mwenyekiti wa Chadema?
  3. Huu umoja wao wakati wa uchaguzi una mlengo gani haswa?

Soma pia (CCM lialia ameandika)

Kwani mbowe anatafuta nini tena?? Hakubali tu kuwa muda wake umeisha?
 
Tangu Lisu atangaze nia ya kugombea nafasi ya uwenyekiti ndani ya CHADEMA chama tawala hakina amani kabisa. WanaCCM wanaona bora Mbowe aendelee kuongoza chama.

Maswali ya kujiuliza.
  1. Kwanini CCM wametikisika baada Lisu kutangaza nia ya kugombea uwenyekiti wa CHADEMA?
  2. CCM inafaidika na nini Mbowe kubakia mwenyekiti wa Chadema?
  3. Huu umoja wao wakati wa uchaguzi una mlengo gani haswa?

Soma pia (CCM lialia ameandika)

Chadema mnatafuta sababu za kumfukuza Lissu, CCM wanahusikaje? Ina maana Chadema hakiwezi kujisimamia hadi muwahusishe CCM?
 
Chadema mnatafuta sababu za kumfukuza Lissu, CCM wanahusikaje? Ina maana Chadema hakiwezi kujisimamia hadi muwahusishe CCM?
Tunashangaa urafiki wa CCM kwa timu Mbowe unatoka wapi? Kwanini CCM imuogope Lisu hadi iungane na timu Mbowe.
 
Tangu Lisu atangaze nia ya kugombea nafasi ya uwenyekiti ndani ya CHADEMA chama tawala hakina amani kabisa. WanaCCM wanaona bora Mbowe aendelee kuongoza chama.

Maswali ya kujiuliza.
  1. Kwanini CCM wametikisika baada Lisu kutangaza nia ya kugombea uwenyekiti wa CHADEMA?
  2. CCM inafaidika na nini Mbowe kubakia mwenyekiti wa Chadema?
  3. Huu umoja wao wakati wa uchaguzi una mlengo gani haswa?

Soma pia (CCM lialia ameandika)

Kuingiza Ccm katika mapambano yenu ni kutafuta huruma kwa wanachama wenu pambaneni wenyewe kwa wenyewe.
 
Lissu yupo serious na kwenda ikulu. Namshauri kama Chadema wakizingua aanzishe chama kipya fasta,2025 anaingia ikulu kwa kishindo cha asilimia 95%.
ALishalitolea ufafanuzi hilo la kusajili Chama kipya...Msajili wa vyama atakubali kusajili Chama cha Lisu??
 
Sio jipya. CDM iliwahi ungana na CCM dhidi ya Magufuli. Nadhani majizi yanalipana fadhila sasa.
 
Ni baada ya kutafakari hotuba ya Lissu,.ndio wamegunddua bora Mbowe kuliko Lissu.

CCM walipaswa kulijua hili mapema ila hiyo akili hawana.
Kwamba CCM wanaona ni rahisi kuhandle Mbowe kuliko Lisu ama?
 
Back
Top Bottom