Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Wewe na nani?Huyo jpm tushamchoka
Na wanyongeWewe na nani?
Atachafukaje wakati hayupo? Wanaotaka kumchafua au kumsingizia wanapoteza muda japo alikuwa na mapungufu mengi kama vile kumteua na kumlea Bashit na kuhujumu uchaguzi wa wabunge na kupitisha mizogat kama Gwajima.WanaCCM wengi wamesusa kuchukua fomu na kishiriki chaguzi zinazoendelea.
CcM ya sasa imegeuka na kuwa CCM ya wajuaji na wapigaji.
WanaCCM wanaojitambua wameghazibika na sasa wameichukia CCM.
Hayati JPM hachafuki.
WanaCCM wanajua kabisa wanakiibarua cha kutoyaenzi mazuri ya hayati JPM.
WanaCCM wengi wamesusa kuchukua fomu na kishiriki chaguzi zinazoendelea.
CcM ya sasa imegeuka na kuwa CCM ya wajuaji na wapigaji.
WanaCCM wanaojitambua wameghazibika na sasa wameichukia CCM.
Hayati JPM hachafuki.
Vile vile na kujifunza kuwa na Demokrasia ndani ya Chama chao.WanaCCM wanajua kabisa wanakiibarua cha kutoyaenzi mazuri ya hayati JPM.
wagome me ndaenda kuchukua fomu na kugombeaWagome hadi CCM imfufue
Mleta mada unapaswa kufahamu hapa.WanaCCM wengi wamesusa kuchukua fomu na kishiriki chaguzi zinazoendelea.
CcM ya sasa imegeuka na kuwa CCM ya wajuaji na wapigaji.
WanaCCM wanaojitambua wameghazibika na sasa wameichukia CCM.
Hayati JPM hachafuki.
WanaCCM wanajua kabisa wanakiibarua cha kutoyaenzi mazuri ya hayati JPM.
WanaCCM wengi wamesusa kuchukua fomu na kishiriki chaguzi zinazoendelea.
CcM ya sasa imegeuka na kuwa CCM ya wajuaji na wapigaji.
WanaCCM wanaojitambua wameghazibika na sasa wameichukia CCM.
Hayati JPM hachafuki.
WanaCCM wanajua kabisa wanakiibarua cha kutoyaenzi mazuri ya hayati JPM.
Wale maskini kabisa wa hali ya chini sio?!Na wanyonge
Kumbe hajachafuka!Huwezi Kumchafua JPM.
Hivi unajua Nyankurungu2020 kichaa harogwi tena na mchafu hawezi kuchafuka tena?WanaCCM wengi wamesusa kuchukua fomu na kishiriki chaguzi zinazoendelea.
CcM ya sasa imegeuka na kuwa CCM ya wajuaji na wapigaji.
WanaCCM wanaojitambua wameghazibika na sasa wameichukia CCM.
Hayati JPM hachafuki.
WanaCCM wanajua kabisa wanakiibarua cha kutoyaenzi mazuri ya hayati JPM.
WanaCCM wengi wamesusa kuchukua fomu na kishiriki chaguzi zinazoendelea.
CcM ya sasa imegeuka na kuwa CCM ya wajuaji na wapigaji.
WanaCCM wanaojitambua wameghazibika na sasa wameichukia CCM.
Hayati JPM hachafuki.
WanaCCM wanajua kabisa wanakiibarua cha kutoyaenzi mazuri ya hayati JPM.
Sio kweli acha upotoshaji,l wa kijinga, Magufuli ndio amesababisha chaguzi za chama na nchi hii kupuuzwa. Na hayo unayoyaona ni cha mtoto, ngoja kwenye uchaguzi mkuu kama utaona watu wakijitokeza tena kupiga kura. Magufuli ndio muhusika namba moja wa watu kudharau chaguzi za nchi hii. Machafuko tu ndio suluhu ya hiki chama kichovu.
Huwezi Kumchafua JPM.