WanaCCM wamechukia na hawashiriki chaguzi za ndani za CCM

WanaCCM wamechukia na hawashiriki chaguzi za ndani za CCM

WanaCCM wengi wamesusa kuchukua fomu na kishiriki chaguzi zinazoendelea.

CcM ya sasa imegeuka na kuwa CCM ya wajuaji na wapigaji.

WanaCCM wanaojitambua wameghazibika na sasa wameichukia CCM.

Hayati JPM hachafuki.

Wana
CCM wanajua kabisa wanakiibarua cha kutoyaenzi mazuri ya hayati JPM.

Unaijua CCM ? Au unadhani CCM imeanza 2015. Ilikuwepo na itakuwepo, mnamfanya Magufuli aonekane mkubwa CCM wakati hajawahi kuwa hata Mwenyekiti wa shina wa ccm. Nyie kaanzisheni chama muone Kama CCM Ni ndogo au kubwa.
 
Unaijua CCM ? Au unadhani CCM imeanza 2015. Ilikuwepo na itakuwepo, mnamfanya Magufuli aonekane mkubwa CCM wakati hajawahi kuwa hata Mwenyekiti wa shina wa ccm. Nyie kaanzisheni chama muone Kama CCM Ni ndogo au kubwa.
Sijui wamekuelewa hapa???
 
WanaCCM wengi wamesusa kuchukua fomu na kishiriki chaguzi zinazoendelea.

CCM ya sasa imegeuka na kuwa CCM ya wajuaji na wapigaji.

WanaCCM wanaojitambua wameghazibika na sasa wameichukia CCM.

Hayati JPM hachafuki.

Wana
CCM wanajua kabisa wanakiibarua cha kutoyaenzi mazuri ya hayati JPM.
Mnaosusia karibuni Chadema TU join the Chain.Ikiwa kama njia yakuwakumbusha juu ya chaguzi huru haki na za kidemukrasia.
 
Hahaha tuna imani na kinana kuliko wakati wowote. Mwenda zake kafa yuko anako staili kuwepo
 
Back
Top Bottom