WanaCCM wengi wamesusa kuchukua fomu na kishiriki chaguzi zinazoendelea.
CcM ya sasa imegeuka na kuwa CCM ya wajuaji na wapigaji.
WanaCCM wanaojitambua wameghazibika na sasa wameichukia CCM.
Hayati JPM hachafuki.
WanaCCM wanajua kabisa wanakiibarua cha kutoyaenzi mazuri ya hayati JPM.
Mwana umoja party mwenzioWewe na nani?
Wewe na baba yako!Huyo jpm tushamchoka
Sijui wamekuelewa hapa???Unaijua CCM ? Au unadhani CCM imeanza 2015. Ilikuwepo na itakuwepo, mnamfanya Magufuli aonekane mkubwa CCM wakati hajawahi kuwa hata Mwenyekiti wa shina wa ccm. Nyie kaanzisheni chama muone Kama CCM Ni ndogo au kubwa.
Mnaosusia karibuni Chadema TU join the Chain.Ikiwa kama njia yakuwakumbusha juu ya chaguzi huru haki na za kidemukrasia.WanaCCM wengi wamesusa kuchukua fomu na kishiriki chaguzi zinazoendelea.
CCM ya sasa imegeuka na kuwa CCM ya wajuaji na wapigaji.
WanaCCM wanaojitambua wameghazibika na sasa wameichukia CCM.
Hayati JPM hachafuki.
WanaCCM wanajua kabisa wanakiibarua cha kutoyaenzi mazuri ya hayati JPM.
Mkuu walio zoea vya kunyonga sio rahisi kuipenda, kuihitaji wala kujifunza na kuendesha mambo kwa njia za ki- DemokrasiaVile vile na kujifunza kuwa na Demokrasia ndani ya Chama chao.
Kidumu!
Hamjamchoka chief, lite mngemchoka hata reply zenye jina lake msingeandika.Huyo jpm tushamchoka