Wanaccm wenzangu tambueni takwa la katiba Sio la CHADEMA ni la wananchi na wenye nchi ambao hata Mwenyekiti anawajibika kwao

Wanaccm wenzangu tambueni takwa la katiba Sio la CHADEMA ni la wananchi na wenye nchi ambao hata Mwenyekiti anawajibika kwao

NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2019
Posts
9,863
Reaction score
20,806
Makomredi
Tusipoteze muda kwa kupiga sarakasi na kufanya uharamia kwa vyama vya siasa vya upinzani nchini.

Tutambue takwa la katiba ni la wananchi na wenye nchi ambao Mwenyekiti wetu anawajibika kwao.

Tumshauri aachane na sarakasi za kuzuia mchakato huo kwa visingizio visivyo na mashiko mwambieni akubali asibishane na wakati.

Hata mzee Warioba ni mwanaccm na anajua wakati ni Sasa na huyo mzee hamzidi uzoefu wa kuwa mwanachama wa ccm ni mkongwe ndani ya chama ashirikiane nae Ili mchakato uanze sasa.

Ujanja ujanja wake utamkosanisha na wananchi na Wenye NCHI na kupoteza vingi!akubaliane na ukweli kuwa katiba Sio dudu linalo uma ni kitabu cha thamani KWA wananchi.

Sarakasi na uharamia havitomsaidia wala kisaidia chama zaidi ya kukiaibisha chama na Serikali.

Naamini katibu,makamu na mwenezi wa chama mtamfikia Mwenyekiti na kumwambia Mama wakati ni sasa!
Asanteni
 
je ni lini wananchi wameshirikishwa katika hili swala?

je ni lini wananchi wameamua sasa ni katiba mpya?

je ni lini wananchi wamepiga kura ya kutaka katiba mpya ili mchakato uanze?

je, mchakato una takiwa uanze kwa wananchi ndio uite katiba yao, sio kuwa shirikisha lakini ukweli ni katiba ya wanasiasa sio ya wananchi... katiba ya wananchi ifuate mchakato sahihi kwa wananchi kukubari suala lenyewe, hasa kwa kupiga kura ili tuweke taarifa sahihi ndio demokrasia. ata wakati wa chama kimoja walipiga kura ya kulidhia mfumo wa vyama vingi na maamuzi ya busara yalifanyika, na matunda tuna yaona...

hivyo tuwape wananchi haki yao na stahiki zao kama kweli tuna taka kufanya hivyo
 
Makomredi
Tusipoteze muda kwa kupiga sarakasi na kufanya uharamia kwa vyama vya siasa vya upinzani nchini.

Tutambue takwa la katiba ni la wananchi na wenye nchi ambao Mwenyekiti wetu anawajibika kwao.

Tumshauri aachane na sarakasi za kuzuia mchakato huo kwa visingizio visivyo na mashiko mwambieni akubali asibishane na wakati.

Hata mzee Warioba ni mwanaccm na anajua wakati ni Sasa na huyo mzee hamzidi uzoefu wa kuwa mwanachama wa ccm ni mkongwe ndani ya chama ashirikiane nae Ili mchakato uanze sasa.

Ujanja ujanja wake utamkosanisha na wananchi na Wenye NCHI na kupoteza vingi!akubaliane na ukweli kuwa katiba Sio dudu linalo uma ni kitabu cha thamani KWA wananchi.

Sarakasi na uharamia havitomsaidia wala kisaidia chama zaidi ya kukiaibisha chama na Serikali.

Naamini katibu,makamu na mwenezi wa chama mtamfikia Mwenyekiti na kumwambia Mama wakati ni sasa!
Asanteni
Semeni nyie. Sisi wajibu wetu tumeshafanya
 
Makomredi
Tusipoteze muda kwa kupiga sarakasi na kufanya uharamia kwa vyama vya siasa vya upinzani nchini.

Tutambue takwa la katiba ni la wananchi na wenye nchi ambao Mwenyekiti wetu anawajibika kwao.

Tumshauri aachane na sarakasi za kuzuia mchakato huo kwa visingizio visivyo na mashiko mwambieni akubali asibishane na wakati.

Hata mzee Warioba ni mwanaccm na anajua wakati ni Sasa na huyo mzee hamzidi uzoefu wa kuwa mwanachama wa ccm ni mkongwe ndani ya chama ashirikiane nae Ili mchakato uanze sasa.

Ujanja ujanja wake utamkosanisha na wananchi na Wenye NCHI na kupoteza vingi!akubaliane na ukweli kuwa katiba Sio dudu linalo uma ni kitabu cha thamani KWA wananchi.

Sarakasi na uharamia havitomsaidia wala kisaidia chama zaidi ya kukiaibisha chama na Serikali.

Naamini katibu,makamu na mwenezi wa chama mtamfikia Mwenyekiti na kumwambia Mama wakati ni sasa!
Asanteni
Alikuwapo kwenye Ile TUME wakazunguka Nchi nzima Kwa KODI zetu
 
je ni lini wananchi wameshirikishwa katika hili swala?

je ni lini wananchi wameamua sasa ni katiba mpya?

je ni lini wananchi wamepiga kura ya kutaka katiba mpya ili mchakato uanze?

je, mchakato una takiwa uanze kwa wananchi ndio uite katiba yao, sio kuwa shirikisha lakini ukweli ni katiba ya wanasiasa sio ya wananchi... katiba ya wananchi ifuate mchakato sahihi kwa wananchi kukubari suala lenyewe, hasa kwa kupiga kura ili tuweke taarifa sahihi ndio demokrasia. ata wakati wa chama kimoja walipiga kura ya kulidhia mfumo wa vyama vingi na maamuzi ya busara yalifanyika, na matunda tuna yaona...

hivyo tuwape wananchi haki yao na stahiki zao kama kweli tuna taka kufanya hivyo
Mkt wako alizunguka Nchi nzima kukusanya maoni, akiwa kwenye Tume iliyoongozwa na Judge Warioba, Muulize Wana CCM walienda Kutoa maoni juu ya nn!!

Katiba Si jambo la kisiasa pekee, Katiba ni maisha pia, Kila kinachotokea kiwe kizuri au kibaya kina mahusiano na Katiba.
 
Nikweli kunauhitaji wa katiba mpya, ila kwasasa 70% lengo la katiba ni kunufaika kisiasa.
 
Alisikika akisema Katiba mpya haitupi ugali.Ila katiba ya sasa inampa ugali na maziwa
 
Kawaida nchi za afrika mpaka zimwage damu ndio akili inafunguka ukiwaambia muda ni sasa hawakuelewi wakishaona watu 2987 wamekatwa vichwa na majengo kadhaa ya serikali yametiwa moto na ofisi zao za vyama ndio wanakumbuka katiba
 
Asanteni makomredi ujumbe mlifikisha leo mmetangaza rasmi kuanza KWA mchakato!!
KAZI ianze zuieni wahuni wasijetukwamisha mchakato ukiendelea.
Asanteni
 
Makomredi
Tusipoteze muda kwa kupiga sarakasi na kufanya uharamia kwa vyama vya siasa vya upinzani nchini.

Tutambue takwa la katiba ni la wananchi na wenye nchi ambao Mwenyekiti wetu anawajibika kwao.

Tumshauri aachane na sarakasi za kuzuia mchakato huo kwa visingizio visivyo na mashiko mwambieni akubali asibishane na wakati.

Hata mzee Warioba ni mwanaccm na anajua wakati ni Sasa na huyo mzee hamzidi uzoefu wa kuwa mwanachama wa ccm ni mkongwe ndani ya chama ashirikiane nae Ili mchakato uanze sasa.

Ujanja ujanja wake utamkosanisha na wananchi na Wenye NCHI na kupoteza vingi!akubaliane na ukweli kuwa katiba Sio dudu linalo uma ni kitabu cha thamani KWA wananchi.

Sarakasi na uharamia havitomsaidia wala kisaidia chama zaidi ya kukiaibisha chama na Serikali.

Naamini katibu,makamu na mwenezi wa chama mtamfikia Mwenyekiti na kumwambia Mama wakati ni sasa!
Asanteni
Yanaenda kutimia
 
Kawaida nchi za afrika mpaka zimwage damu ndio akili inafunguka ukiwaambia muda ni sasa hawakuelewi wakishaona watu 2987 wamekatwa vichwa na majengo kadhaa ya serikali yametiwa moto na ofisi zao za vyama ndio wanakumbuka katiba
Mungu aepushie mbali
 
je ni lini wananchi wameshirikishwa katika hili swala?

je ni lini wananchi wameamua sasa ni katiba mpya?

je ni lini wananchi wamepiga kura ya kutaka katiba mpya ili mchakato uanze?

je, mchakato una takiwa uanze kwa wananchi ndio uite katiba yao, sio kuwa shirikisha lakini ukweli ni katiba ya wanasiasa sio ya wananchi... katiba ya wananchi ifuate mchakato sahihi kwa wananchi kukubari suala lenyewe, hasa kwa kupiga kura ili tuweke taarifa sahihi ndio demokrasia. ata wakati wa chama kimoja walipiga kura ya kulidhia mfumo wa vyama vingi na maamuzi ya busara yalifanyika, na matunda tuna yaona...

hivyo tuwape wananchi haki yao na stahiki zao kama kweli tuna taka kufanya hivyo
Tuungane pamoja Tupate Katiba mpya Kwa maslah mapana ya nchi.

Wachache wenye hoja wanatosha kuangazia Nuru wengi sana wasio na upande. Amen
 
Kawaida nchi za afrika mpaka zimwage damu ndio akili inafunguka ukiwaambia muda ni sasa hawakuelewi wakishaona watu 2987 wamekatwa vichwa na majengo kadhaa ya serikali yametiwa moto na ofisi zao za vyama ndio wanakumbuka katiba
Unabii unatimia, Tuliomba nchi yetu tupate Katiba mpya bila kumwaga tone la Damu ya Ndugu zetu. Anajibu.. Amen
 
je ni lini wananchi wameshirikishwa katika hili swala?

je ni lini wananchi wameamua sasa ni katiba mpya?

je ni lini wananchi wamepiga kura ya kutaka katiba mpya ili mchakato uanze?

je, mchakato una takiwa uanze kwa wananchi ndio uite katiba yao, sio kuwa shirikisha lakini ukweli ni katiba ya wanasiasa sio ya wananchi... katiba ya wananchi ifuate mchakato sahihi kwa wananchi kukubari suala lenyewe, hasa kwa kupiga kura ili tuweke taarifa sahihi ndio demokrasia. ata wakati wa chama kimoja walipiga kura ya kulidhia mfumo wa vyama vingi na maamuzi ya busara yalifanyika, na matunda tuna yaona...

hivyo tuwape wananchi haki yao na stahiki zao kama kweli tuna taka kufanya hivyo
Unaonyesha unaakili ndogo sana hao wananchi 50milioni wanaamuaje bila political will ya wenye mamlaka? Ukitaka wananchi waamue bila mamlaka kuongoza mchakato ndio haya yanayoleta fujo kwenye nchi nyie ndio UVCCM mnaorukaruka mwendo wa mnyakuo huku akili ziro kabisa nakwambia bila utashi wa kisiasa wa wenye mamlaka hiki unachokisema hapa ni fujo! Ikiwa wanachama wa chadema wasiozidi 20 milioni mnawakataza wasifanye mihadhara ya wazi je hawa wananchi 50 milioni unataka wakutane wapi kuamua mustakabali wa katiba yao?
 
Back
Top Bottom