NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Makomredi
Tusipoteze muda kwa kupiga sarakasi na kufanya uharamia kwa vyama vya siasa vya upinzani nchini.
Tutambue takwa la katiba ni la wananchi na wenye nchi ambao Mwenyekiti wetu anawajibika kwao.
Tumshauri aachane na sarakasi za kuzuia mchakato huo kwa visingizio visivyo na mashiko mwambieni akubali asibishane na wakati.
Hata mzee Warioba ni mwanaccm na anajua wakati ni Sasa na huyo mzee hamzidi uzoefu wa kuwa mwanachama wa ccm ni mkongwe ndani ya chama ashirikiane nae Ili mchakato uanze sasa.
Ujanja ujanja wake utamkosanisha na wananchi na Wenye NCHI na kupoteza vingi!akubaliane na ukweli kuwa katiba Sio dudu linalo uma ni kitabu cha thamani KWA wananchi.
Sarakasi na uharamia havitomsaidia wala kisaidia chama zaidi ya kukiaibisha chama na Serikali.
Naamini katibu,makamu na mwenezi wa chama mtamfikia Mwenyekiti na kumwambia Mama wakati ni sasa!
Asanteni
Tusipoteze muda kwa kupiga sarakasi na kufanya uharamia kwa vyama vya siasa vya upinzani nchini.
Tutambue takwa la katiba ni la wananchi na wenye nchi ambao Mwenyekiti wetu anawajibika kwao.
Tumshauri aachane na sarakasi za kuzuia mchakato huo kwa visingizio visivyo na mashiko mwambieni akubali asibishane na wakati.
Hata mzee Warioba ni mwanaccm na anajua wakati ni Sasa na huyo mzee hamzidi uzoefu wa kuwa mwanachama wa ccm ni mkongwe ndani ya chama ashirikiane nae Ili mchakato uanze sasa.
Ujanja ujanja wake utamkosanisha na wananchi na Wenye NCHI na kupoteza vingi!akubaliane na ukweli kuwa katiba Sio dudu linalo uma ni kitabu cha thamani KWA wananchi.
Sarakasi na uharamia havitomsaidia wala kisaidia chama zaidi ya kukiaibisha chama na Serikali.
Naamini katibu,makamu na mwenezi wa chama mtamfikia Mwenyekiti na kumwambia Mama wakati ni sasa!
Asanteni