Katika mazingira ya sasa ya uchaguzi ni mwendawazimu pekee anayeweza kushiriki.Haki ya kupigiwa kura na kupiga kura ni haki ya kikatiba ya nchi haiwezekani kikundi kidogo cha viongozi Chadema wakazuia haki ya wanachama walio wengi wanaotaka kugombea ubunge na udiwani na wana wapiga kura wao ambao wako tayari kuwapigia kura kwenye maeneo yao
Huo udikiteta unatakiwa kupingwa na wana demokrasia walio.ndani ya Chadema
Wanachadema wanajitambua na hawako tayari kushiriki katika chaguzi za kihuni