Wanachadema walalamika kutoshirikishwa kabla ya viongozi makao makuu kutoa kauli ya "no reform, no election", wasema demokrasia imesiginwa

Katika mazingira ya sasa ya uchaguzi ni mwendawazimu pekee anayeweza kushiriki.
Wanachadema wanajitambua na hawako tayari kushiriki katika chaguzi za kihuni
 
Umeandika pumba tupu.
Mfumo wa uchaguzi ni wa kihuni na wenye akili wanalitambua hilo.
 
Umeandika pumba tupu.
Mfumo wa uchaguzi ni wa kihuni na wenye akili wanalitambua hilo.
Wewe kama wewe unataka kufanya nini?
Sidhani kama upstairs una kitu.
Stress zako sio solution .Sana sana ni kujiongezea maafa.
 
Ulitakiwa ujiulize hili swali huko Lumumba kwenu wakati chura kiziwi anajiteua kugombea urais hadi vidampa wa chini chini huko mlishirikishwa au ndio ule msemo wa CCM ina wenyewe?
 
Unamaanisha hao wanachadema wamesema hawajachoka kuchinjwa?
 
Invinsible futa uzii huu.Ametunga uongo mtupu
 
Kwa sehemu nakubaliana! Ilikuwa kwanza wasikilize wanachama wanasemaje baada ya hapo ndiyo waende kwa wananchi wapenzi wa chama kusikiliza wanasemaje!
Lakini hakuna kilichoharibika! Muda upo wa kutosha!
 
Viongozi wa Sasa wa CHADEMA hawana maarifa
 
Lissu alianza kulisema hili kabla hajawa mwenye liti, na aliinadi hyo kama sera yake ya uchaguzi, Na Wajumbe waka.pigia kura.

Sasa ameanza kutekeleza ahadi, Mmeanza kelele. Tulieni dawa iwaingie
 
We kwa akili yako CDM inaweza kuzuia watu kupiga kura. ZWatu watajizuia wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…