Wanachadema wote waliosimama na wananchi wakati wa JPM majimbo Yao yanawasubiri warejeshewe Ubunge wao. Wana CCM waliobweteka mtaa unawasubiri

Wanachadema wote waliosimama na wananchi wakati wa JPM majimbo Yao yanawasubiri warejeshewe Ubunge wao. Wana CCM waliobweteka mtaa unawasubiri

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Kusimamia Haki kunalipa, kusimama na wanaoonewa kunalipa na siku zote wananchi awafundishwi kuchagua jema na baya Bali wanalazimishwa kuchagua wasichokitaka.

Majimbo mengi ambayo wagombea Ubunge WA pande zote walisimama na wananchi hakuna changamoto ya wagombea hao kushawishi Sana wapiga Kura....

Changamoto IPO Kwa wabunge waliopewa Ubunge na JPM, Hali si swari na nguvu kubwa wanayotumia inaweza isizae matunda.mfano mzuri NI spika WA Bunge. Hali yake jimboni pamoja na nafasi kubwa aliyonayo bado ni mbaya. Mrisho Gambo Hali Tete, majimbo ya iringa ,Kilimanjaro, ,Mtwara ,Kigoma, Shinyanga, mara, Morogoro, DSM NK Hali si shwari.....

Kabla ya mikutano ya adhara wabunge wa maeneo haya walijifungia DSM Kula bata, baada ya mikutano ya adhara akili zimewarudi wanakimbilia majimboni but too late.

Tegemeo lao KUSHINDA Ubunge limebaki Kwa Kailima na tume yake akisaidiwa na dola.
 
Tanzania ni nchi moja ya vichekesho sana Tena
Yaan Meko ndo aliwanyanganya Ubunge au ni ujinga wao? Ina maana mtakuwa watu wa kulakamika bila kuchukua hatua ?
 
Kusimamia Haki kunalipa, kusimama na wanaoonewa kunalipa na siku zote wananchi awafundishwi kuchagua jema na baya Bali wanalazimishwa kuchagua wasichokitaka.

Majimbo mengi ambayo wagombea Ubunge WA pande zote walisimama na wananchi hakuna changamoto ya wagombea hao kushawishi Sana wapiga Kura....

Changamoto IPO Kwa wabunge waliopewa Ubunge na JPM, Hali si swari na nguvu kubwa wanayotumia inaweza isizae matunda.mfano mzuri NI spika WA Bunge. Hali yake jimboni pamoja na nafasi kubwa aliyonayo bado ni mbaya. Mrisho Gambo Hali Tete, majimbo ya iringa ,Kilimanjaro, ,Mtwara ,Kigoma, Shinyanga, mara, Morogoro, DSM NK Hali si shwari.....

Kabla ya mikutano ya adhara wabunge wa maeneo haya walijifungia DSM Kula bata, baada ya mikutano ya adhara akili zimewarudi wanakimbilia majimboni but too late.

Tegemeo lao KUSHINDA Ubunge limebaki Kwa Kailima na tume yake akisaidiwa na dola.
Kwani katiba na tume huru zitakuwa zishapatikana?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kusimamia Haki kunalipa, kusimama na wanaoonewa kunalipa na siku zote wananchi awafundishwi kuchagua jema na baya Bali wanalazimishwa kuchagua wasichokitaka.

Majimbo mengi ambayo wagombea Ubunge WA pande zote walisimama na wananchi hakuna changamoto ya wagombea hao kushawishi Sana wapiga Kura....

Changamoto IPO Kwa wabunge waliopewa Ubunge na JPM, Hali si swari na nguvu kubwa wanayotumia inaweza isizae matunda.mfano mzuri NI spika WA Bunge. Hali yake jimboni pamoja na nafasi kubwa aliyonayo bado ni mbaya. Mrisho Gambo Hali Tete, majimbo ya iringa ,Kilimanjaro, ,Mtwara ,Kigoma, Shinyanga, mara, Morogoro, DSM NK Hali si shwari.....

Kabla ya mikutano ya adhara wabunge wa maeneo haya walijifungia DSM Kula bata, baada ya mikutano ya adhara akili zimewarudi wanakimbilia majimboni but too late.

Tegemeo lao KUSHINDA Ubunge limebaki Kwa Kailima na tume yake akisaidiwa na dola.
Una maana gani kusimama na wananchi. Unaota ndoto za mchana.
 
Kwani Chadema watashiriki chaguzi za 2024 na 2025 ?
 
Tanzania ni nchi moja ya vichekesho sana Tena
Yaan Meko ndo aliwanyanganya Ubunge au ni ujinga wao? Ina maana mtakuwa watu wa kulakamika bila kuchukua hatua ?
Iko wazi wewe mzee wa Scandinavia. Wabunge waliteuliwa na Magufuli wala hawakuchaguliwa na wananchi.
 
haswa.pia upinzani kukosekana Bungeni bunge limekosa balance hasa kwenye hoja.
Hata hao upinzani wakiwepo wote huwa wanapigania maslahi yao nakumbuka kuna Lecturer mmoja ni rafiki wa karibu wa ndugai aliwahi kutuambia alimuuliza ndugai enzi akiwa spika kwann kuna hoja zingine hazina mantiki kwa taifa wala wananchi lakini wabunge mnazing'ang'ania na zinazua mjadala kabisa ndugai akamjibu kuwa ubunge ni kazi kama kazi zingine so kadili wanavyochochea mada wanavyobishana siku za vikao zinaongezeka na wao wanapata posho zao na ndugai akamwambia hawezi kuzuia kwa sababu wabunge wote wana maslahi yao so kwangu mm ile kauli imenifanya nione kumbe bungeni huwa wanatufanyia maigizo tu hakuna cha maana
 
Tanzania ni nchi moja ya vichekesho sana Tena
Yaan Meko ndo aliwanyanganya Ubunge au ni ujinga wao? Ina maana mtakuwa watu wa kulakamika bila kuchukua hatua ?
Alinunua majimbo yoote alitaka yatawaliwe na CCM (nilivosikia 😃😃)

Alisema majimbo yenye wapinzani hayatapata huduma ndo chanzo CCM wrngi kushinda kuanzia udiwani hadi ubunge (nilivosikia lakini 😂😂)
 
Kusimamia Haki kunalipa, kusimama na wanaoonewa kunalipa na siku zote wananchi awafundishwi kuchagua jema na baya Bali wanalazimishwa kuchagua wasichokitaka.

Majimbo mengi ambayo wagombea Ubunge WA pande zote walisimama na wananchi hakuna changamoto ya wagombea hao kushawishi Sana wapiga Kura....

Changamoto IPO Kwa wabunge waliopewa Ubunge na JPM, Hali si swari na nguvu kubwa wanayotumia inaweza isizae matunda.mfano mzuri NI spika WA Bunge. Hali yake jimboni pamoja na nafasi kubwa aliyonayo bado ni mbaya. Mrisho Gambo Hali Tete, majimbo ya iringa ,Kilimanjaro, ,Mtwara ,Kigoma, Shinyanga, mara, Morogoro, DSM NK Hali si shwari.....

Kabla ya mikutano ya adhara wabunge wa maeneo haya walijifungia DSM Kula bata, baada ya mikutano ya adhara akili zimewarudi wanakimbilia majimboni but too late.

Tegemeo lao KUSHINDA Ubunge limebaki Kwa Kailima na tume yake akisaidiwa na d
Hivi kuna mwana CCM ambaye hajabweteka kweli,mimi hata nilitafuta sioni,hata akina Jo bado sioni🤔
 
Kusimamia Haki kunalipa, kusimama na wanaoonewa kunalipa na siku zote wananchi awafundishwi kuchagua jema na baya Bali wanalazimishwa kuchagua wasichokitaka.

Majimbo mengi ambayo wagombea Ubunge WA pande zote walisimama na wananchi hakuna changamoto ya wagombea hao kushawishi Sana wapiga Kura....

Changamoto IPO Kwa wabunge waliopewa Ubunge na JPM, Hali si swari na nguvu kubwa wanayotumia inaweza isizae matunda.mfano mzuri NI spika WA Bunge. Hali yake jimboni pamoja na nafasi kubwa aliyonayo bado ni mbaya. Mrisho Gambo Hali Tete, majimbo ya iringa ,Kilimanjaro, ,Mtwara ,Kigoma, Shinyanga, mara, Morogoro, DSM NK Hali si shwari.....

Kabla ya mikutano ya adhara wabunge wa maeneo haya walijifungia DSM Kula bata, baada ya mikutano ya adhara akili zimewarudi wanakimbilia majimboni but too late.

Tegemeo lao KUSHINDA Ubunge limebaki Kwa Kailima na tume yake akisaidiwa na dola.
Mungu ibariki CHADEMA
 
Kwani Chadema watashiriki chaguzi za 2024 na 2025 ?

Msimamo wa CDM kama chama hautabiriki, lakini sisi wapiga kura tunaojitambua bila tume huru ya uchaguzi au katiba mpya, hatutojitokeza kupiga kura kwenye huo upuuzi uitwao uchaguzi.
 
Tanzania ni nchi moja ya vichekesho sana Tena
Yaan Meko ndo aliwanyanganya Ubunge au ni ujinga wao? Ina maana mtakuwa watu wa kulakamika bila kuchukua hatua ?
Sometimes wee jamaa unajitoaga akili mazima!! Nikuteue mimi, nikulipe mimi, nikulipie umeme, maji, nikupe gar la kutembelea, halafu nije nisikie umemtangaza mpinzani!!!!
 
Back
Top Bottom